Kama hakuna backup huwa kasheshe... Kuna marehemu macho yao hutoa mwanga
Kafara lake ni kubwa sikushauri kabisa.. Omba tu Mungu atatendaMkuu hivi wapi nitapata uchawi wa kumroga mtu yeyote ata kama amejizindika vya kutosha.
Sababu huyu mtu anafanya madhambi makubwa makubwa kila kukicha.
Nilisikia ukiwa mtenda dhambi za kuua watu,kinga za kishirikina zinaishiwa nguvu?
mkuu umenikumbusha kuna siku tuliombwa na nesi wa zamu tumsaidie kumpeleka mtu mochwari maana nilikuwa na mgojwa hodini nilikubali ila wengine waligoma, tukafika kwenye chumba cha kuhifadhia miili ya waliofariki mara pa umeme huo ukakatika hapo mwili ilikuwa ndo tumeuweka kwenye zile bati ili tupandishe kwenye fregi nilijikuta nipo mwenyewe ndani kila nikitaka kukimbia nagongana na makabati ilinibidi nijibanze kwenye kona mpk walipoenda washa genereta ila nusu kujikojoleaMochwari umeme ukikatika kunakuwaje?
Kuna siku nilipeleka maiti ya ndugu yangu Lugalo, wakafungua tu Kabati Na kuiingiza humoMwili wowote lazima kwanza ukae nje kwa muda kabla ya kuuingiza kwenye jokofu
Hizi siri usizitoe hapa lohMm swali langu linahusu wale manyau nyau waliokuja msata mwaka jana mwezi wa 6 mpaka 7 niliona wakitoa vibuyu matunguli na majitu ya ajabu ajabu maeneo mengi je ni kweli au mazingaumbwe ?
Nashangaa wakitoka kutoa manyanga tunakutana pale kwa manka tunakunywa bia
Naomba ufafanuzi tafadhali
Mwili wowote lazima kwanza ukae nje kwa muda kabla ya kuuingiza kwenye jokofu
Na huyu anayejaribu kupotosha ukweli kuwa ni CHADEMA ndio walirusha risasi karma itakuwa ikimchekea tu Na kumuacha aendelee Na ulevi wa mvinyo wa madaraka?Mpigaji