Makari hodari
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 2,660
- 5,157
Umesahau USALAMA WA TAIFA na wanajeshi wa kawaidaMkuu pale wanaajiliwa wakiwa timamu kabisa ila mazingira ya kazi ndio yanayo wabadilisha.
Mfano tanesco ata ukienda mtakatifu vip ila ukiwa kitengo cha kupandisha mistimu au nguzo za umeme lazima upige makelele ili kupata molali ya kunyanyua ile nguzo.