permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 12,333
- 15,040
Ungetaja na bei mkuuKiboko yao ni kuFunga system ya Intruder Alarm kutoka KK Security / Gardaworld, ukipuliza dawa System hailali, akiingiza mkono au kichwa inapiga King'ora, na unaweza kuchagua system itume sms kwenye simu ya watu wako wakaribu kadhaa, pia kwa ulinzi kamili ni kuunganisha system hiyo na control Room yetu ili pindi king'ora kinapolia wanatuma gari yenye Askari wa KK/Gardaworld kwaajili yakuangalia usalama kwenye eneo lako, inafungwa maofisini,nyumbani na pia inaweza kuunganishwa kwenye electricic fence yako. Wasiliana nami kwa WhatsApp number 0743171049 au email victor.valence@garda.com Nchi nzima.
Kuna namna ingine, grill yako iweze kufunguka kwa ndani. Yaani unapodesign dirisha lako, unahakikisha grill inafungukia ndani. Then baada ya grill ndio unaweka aluminium frame. Hizo grill ziwe na kikomeo kwa ndani kwa ajili ya kulockgrill pana inawashawishi wezi wapate tamaa ya kuiba mpaka sofa
Siku hizi haujitaji "hidden" cctv. Hata ikiwa inaonekana ni ulinzi tosha. Maana watahofia hata kusogeleaANAYEJUA JINSI YA KUJIKINGA”
Hilo ombi ni kuwa fungeni hidden cctv
Hata kwa mchango kila nyumba
Wekeni camera ndio dawa ya majizi
Mambo ya sungusungu yalishapitwa sasa ni camera tu
Leo imekuwa ni vilio na hamaki kwa raia wa hapa Sinza A, baada ya kuamka asubuhi na kukuta madirisha yao yametobolewa na kukatwa kwa nyavu.
Inasemekana, walipuliza dawa ya usingizi ndipo wakafanya unyama huo. Watu wameibiwa pesa, laptops, simu, vitu vya ndani kibao.
Hapo unapoishi, kuna wizi wowote umefanyika?
Anayejua jinsi ya kujikinga na hiyo sawa, atupe elimu hapa.
Poleni wahanga wote wa wizi huo.
Nawasilisha!
Kamjulishe makonda yaani asubuhi wezi watadakwaPoleni! hakuna hata nyumba ya mchawi mmoja au mwenye CCTV mtaan kwenu ? akawaokoa? ila nishajizoesha kuficha kila kitu uvunguni tangu niibiwe kwa style hiyo
Wafuge mbwa Koko nyumba moja ikivamiwa tote tunabweka mtaa mzima, uzuri wa Koko huwa anabweka huku anagonga mlango tayari kukimbilia ndani kumbe ndio anakuamshaMimi nimefuga mbwa German sherphad, wapo dolia kila siku night, sasa wewe sogea
Muwe mnaweka ndoo au mabeseni yaliyojaa maji angalau vyumbani plastic au beseni moja la maji kila chumba pia sebuleni inasaidia ku difuse dawa ya usingizi endapo mtapuliziwa kupitia madirishani
Inahusiana nini na kuibiwa?sinza tatizo kumejaa mashoga shoga mengi mno
Mnofu freshi wa paja la ngombe linawangojea.Mimi nimefuga mbwa German sherphad, wapo dolia kila siku night, sasa wewe sogea
Hata wewe hujatoa suluhisho au niseme suluhisho lako halitekelezeki, asilimia kubwa ya watu wa huko wamepanga kwa hiyo wawe wanatembea na madirisha wakifika kwenye nyumba wanaweka madirisha yao?JF kuna wapumbavu wengi kweli, mada serious watu wanachangia ujinga hadi kero
Dawa ya kudhibiti wezi kama hao ni kuweka zile chuma za dirishani zikiwa zimebanana tu ili asiweze kupitisha simu
Madirisha mengi yana ma grill yenye nafasi kubwa sana na mengine hayana kabisa,
Inabidi kubadili staili ya ujengaji wa nyumba kukabiliana na hatari hii
jaribu kutafakari utaelewaInahusiana nini na kuibiwa?