agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,412
Sinza na mwananyamala kuna watu wanaofanana tabiaNlidhan huu wiz n wa mwananyamala
Tu kumbe had huko
Sinza na mwananyamala kuna watu wanaofanana tabiaNlidhan huu wiz n wa mwananyamala
Tu kumbe had huko
Hamia Nyumba zenye madirisha safi ya vioo huo ushamba wa kukaa Nyumba wamebandika manyamvu utazani banda la kuku!! Kama ni Nyumba yako toa huo uchafu weka kiooLeo imekuwa ni vilio na hamaki kwa raia wa hapa Sinza A, baada ya kuamka asubuhi na kukuta madirisha yao yametobolewa na kukatwa kwa nyavu.
Inasemekana, walipuliza dawa ya usingizi ndipo wakafanya unyama huo. Watu wameibiwa pesa, laptops, simu, vitu vya ndani kibao.
Hapo unapoishi, kuna wizi wowote umefanyika?
Anayejua jinsi ya kujikinga na hiyo sawa, atupe elimu hapa.
Poleni wahanga wote wa wizi huo.
Nawasilisha!
Duh unatufundisha kukojolea kwenye beseni usiku tukiamka? Acha tabiya ya kishamba ya kukojowa kwenye makopo!! Unalala na maji chumbani kwenye beseni Wewe samaki?Wanapokuja wezi kuwapulizia dawa ya usingizi kusudi mlale fofo na wizi ufanyike, fanyeni hivi kabla hamjalala!
Tia maji kwenye beseni lililo wazi kisha liweke chumbani kwako sehemu ya wazi, endapo wakija wakipulizia dawa tu, Yale maji yaliyopo kwenye ilo beseni basi litanyonya sumu yote iliyopulizwa humo ndani na kukuacha salama.
Na kwa njia iyo utaweza stuka mapema.
Camera zitaondolewa wakiiba kama kule Dodoma kwa lisuANAYEJUA JINSI YA KUJIKINGA”
Hilo ombi ni kuwa fungeni hidden cctv
Hata kwa mchango kila nyumba
Wekeni camera ndio dawa ya majizi
Mambo ya sungusungu yalishapitwa sasa ni camera tu
Wengine tumepangosha chumba tu au chumba na sebule. Ukiongea habari ya grill meenyenyumba snasema at your own costJF kuna wapumbavu wengi kweli, mada serious watu wanachangia ujinga hadi kero
Dawa ya kudhibiti wezi kama hao ni kuweka zile chuma za dirishani zikiwa zimebanana tu ili asiweze kupitisha simu
Madirisha mengi yana ma grill yenye nafasi kubwa sana na mengine hayana kabisa,
Inabidi kubadili staili ya ujengaji wa nyumba kukabiliana na hatari hii
sinza mapunga kibaoAcha ungese wewe, ina maana wakati mnapanga kwenda kuiba Sinza mlikubaliana sababu Sinza kumejaa mashoga? watu wapo serious wewe unaleta kashfa na matusi? Tumia hekima kwa kuwapa pole wahanga na kuchangia nini kifanyike.
simu weka chini ya mto,kitanda chako kichwa kiwe upande wa dirisha,hatoweza kuchukua simu wala laptopJF kuna wapumbavu wengi kweli, mada serious watu wanachangia ujinga hadi kero
Dawa ya kudhibiti wezi kama hao ni kuweka zile chuma za dirishani zikiwa zimebanana tu ili asiweze kupitisha simu
Madirisha mengi yana ma grill yenye nafasi kubwa sana na mengine hayana kabisa,
Inabidi kubadili staili ya ujengaji wa nyumba kukabiliana na hatari hii
polisi kesi za hivi huwa wanazuga tu,wanawaweka ndani kishkaji then mnaachiwa,afu wanawapongezaIpo siku mtapewa kesi ya mauaji mkafungwa maisha au kunyongwa
Kutokuweka vitu vidogovidogo vyenye thaman Karibu na madirisha. Hii inasaidia Sana.
Ushaambiwa nyumba za kupanga...JF kuna wapumbavu wengi kweli, mada serious watu wanachangia ujinga hadi kero
Dawa ya kudhibiti wezi kama hao ni kuweka zile chuma za dirishani zikiwa zimebanana tu ili asiweze kupitisha simu
Madirisha mengi yana ma grill yenye nafasi kubwa sana na mengine hayana kabisa,
Inabidi kubadili staili ya ujengaji wa nyumba kukabiliana na hatari hii
🤣🤣🤣🤣🤣 IkibidiKaribu na madirisha ziwekwe chupi tu
atakutemea mate usoni akishindwa kuibasimu weka chini ya mto,kitanda chako kichwa kiwe upande wa dirisha,hatoweza kuchukua simu wala laptop
Mwananyamala wanakaa waswahili kindaki ndaki.....Sinza na mwananyamala kuna watu wanaofanana tabia
Sio kwa polisi wa Tanzania. Wenyewe wamewachokaIpo siku mtapewa kesi ya mauaji mkafungwa maisha au kunyongwa
Kuna kipindi hili suala la dawa ya usingizi lilijadiliwa hapa JF. Ufumbuzi ukawekwa hapa jukwaani. Ni hivi, kwa kawaida maji yanafyonza hewa yenye sumu inayopulizwa na kama yataachwa wazi bila kufunikwa yanawezasaidia kuifanya hiyo dawa ishindwe kutoa kusudio lake. Wadau walishauri tukilala tuache ndoo ya maji wazi. Mimi najitahidi sana kutekeleza kufata huo ushauri ili kujilinda. Ingawa sijapata mrejesho wa mtu aliyeacha ndoo ya maji wazi na kuibiwa kwa kupuliziwa dawa ya usingizi, basi yawezekana kuna ukweli na uhalisia katika hilo!Leo imekuwa ni vilio na hamaki kwa raia wa hapa Sinza A, baada ya kuamka asubuhi na kukuta madirisha yao yametobolewa na kukatwa kwa nyavu.
Inasemekana, walipuliza dawa ya usingizi ndipo wakafanya unyama huo. Watu wameibiwa pesa, laptops, simu, vitu vya ndani kibao.
Hapo unapoishi, kuna wizi wowote umefanyika?
Anayejua jinsi ya kujikinga na hiyo sawa, atupe elimu hapa.
Poleni wahanga wote wa wizi huo.
Nawasilisha!
Msiwe mnalala bila ya kuwa na chombo cha wazi chenye maji mfano beseni ndogo iwe imejaa maji wakipuliza huwa inavuta yote na haiwaathiriLeo imekuwa ni vilio na hamaki kwa raia wa hapa Sinza A, baada ya kuamka asubuhi na kukuta madirisha yao yametobolewa na kukatwa kwa nyavu.
Inasemekana, walipuliza dawa ya usingizi ndipo wakafanya unyama huo. Watu wameibiwa pesa, laptops, simu, vitu vya ndani kibao.
Hapo unapoishi, kuna wizi wowote umefanyika?
Anayejua jinsi ya kujikinga na hiyo sawa, atupe elimu hapa.
Poleni wahanga wote wa wizi huo.
Nawasilisha!
Wakikudhamiria wanajiandaa. Hao mbwa utawakuta wamelala chali asbh, na wameiba walichotaka.Mimi nimefuga mbwa German sherphad, wapo dolia kila siku night, sasa wewe sogea
Mkuu ni Plan "A"Nilifikiria kuja kupanga Sinza, kumbe ushenzini sana. Asante kwa taharifa mkuu. Plain A nimeifuta, naendelea na plan B mbezi beach au Goba