Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,427
- 10,749
Huku kwetu haka katabia Ka wizi kameisha!
Tulifanya hivi: tulianza kufanya Doria tukishirikiana na Polisi. Kila Polisi walipochelewa kwenye tukio, walichokuwa wanasaidia ni kupeleka Mochwari mwili wa kibaka. So, baada ya matukio kama ma4 ya Polisi kuchelewa basi na vibaka/wezi wakaamua kuhamia Sinza!
Tulifanya hivi: tulianza kufanya Doria tukishirikiana na Polisi. Kila Polisi walipochelewa kwenye tukio, walichokuwa wanasaidia ni kupeleka Mochwari mwili wa kibaka. So, baada ya matukio kama ma4 ya Polisi kuchelewa basi na vibaka/wezi wakaamua kuhamia Sinza!