Kardinali Pengo, Simama au na wewe staafu kama yamekuzidi...

Alikuwepo Askofu Mkuu Oscar Romero; alisimama dhidi ya utawala wa kidikteta na akatoa ujumbe wa kinabii (prophetic message). Alifanya hivyo baada ya mapadre wake kuuawa na utawala dhalimu. Pengo amezoea kukaa katika starehe mno, kula na kunywa na wakubwa na ameacha kusimama kama nabii. Anapenda heshima. Wakati umefika kwa Pengo kuonesha kuwa anastahili cheo alichonacho.

Tunahitaji Oscar Romero wetu... vinginevyo huku tunakokwenda kubaya. Oooh ninavyoogopa kusikia Shehe kauawa; Msidhani haiwezi kutokea au kwamba hawa Wakristu ambao ndani ya wiki moja viongozi wao wawili wameuawa nao wataendelea kukaa kimya..

Pengo... utafanya nini....

Mm, ni kama tunahitaji Zaidi ya kauli ya Pengo, tunahitaji mjadala na muafaka wa kitaifa juu ya Nafasiya dini ya mtu katika mfumo wa U-Tanzania,
1. Waislam wamelalamika sana uonevu wakati wa Mwlm Nyerere,, sisi kama Taifa tume-Li-address vipi hilo
2. Wakristo wamelalamika sana kila atawalapo Rais Muislam, kama Taifa tume-address vipi?
3. Waliuliwa wapemba katika chaguzi, tumefanya nini kama Taifa
4. Mwembechai?
5. Hizi MOU zinazolalamikiwa kila Siku, ni nani ndani ya Serikali amejaribu kulieleza, walau kauli?
6. Baraza la mitihani?
7. Uteuzi wa upendeleo?
8. Kuongezeka kwa Taasisi za Kikristo, hasa vyuo vikuu, je Tuna sera inayopaswa kuratibu ongezeko hilo
10. Manung'uniko yanayoendelea katika pande zote juu ya nani anaiibia nchi?
11. Kuchinja wanyama,, au ya Pinda, wasira, yanatosha?
By the way unaweza kuwa na Taifa lisilo na common values? Inawezekana kama Taifa ndo mwanzo wa kudadisi what are our.values.
Sidhan Kauli ya Pengo itajibu hayo
 
Si viongozi wa serikali wala viongozi wakuu wa kidini kutoa (kulaani) mapema matukio yanayoligawa taifa, badala yake wakijivuta kulaani kitu ambacho hupelekea wananchi (wanakondoo) kuamua kujichukulia sheria mikononi.
Ingalikuwa ni sheikh ameuwawa...mara moja serikali ingalishapanga vikosi vyake vya ulinzi na usalama maana waislam hawana masikhara hata kidogo kusubiria jambo lililowazi eti 'lipikwe' kwanza.

CC: Jakaya Kikwete (Unalipeleka wapi taifa hili ulilokabidhiwa katika mikono salama isiyo na chembe kubwa za udini? JITOKEZE) taifa likusikie.

don't ever think about this shadow dhaifu, think as we don't have rais
 
Alikuwepo Askofu Mkuu Oscar Romero; alisimama dhidi ya utawala wa kidikteta na akatoa ujumbe wa kinabii (prophetic message). Alifanya hivyo baada ya mapadre wake kuuawa na utawala dhalimu. Pengo amezoea kukaa katika starehe mno, kula na kunywa na wakubwa na ameacha kusimama kama nabii. Anapenda heshima. Wakati umefika kwa Pengo kuonesha kuwa anastahili cheo alichonacho.

Tunahitaji Oscar Romero wetu... vinginevyo huku tunakokwenda kubaya. Oooh ninavyoogopa kusikia Shehe kauawa; Msidhani haiwezi kutokea au kwamba hawa Wakristu ambao ndani ya wiki moja viongozi wao wawili wameuawa nao wataendelea kukaa kimya..

Pengo... utafanya nini....
Mkuu wangu hili sio swala la Pengo baliu lako wewe na mimi ambao tunapenda sana kuuchochea UDINI kiasi kwamba sasa umeshika moto.. Na wala sii kosa la wananchi wanaoua maadam ukisha waonyesha uhalali wa kufanya hayo wanayoyafanya...

Tanzania imeharibika, imefika mahala kila mtu anachukua sheria mkononi, vibaka wanapigwa mawe na kuchomwa moto la tairi hakuna anayesema hilo ni kosa ama tatizo bali tunasema - Wakome wamezoea!..Hivyo, kama tunataka mabadiliko basi yataanza na sisi jinsi tunavyouzungumzia Uislaam na Ukristu...The truth makes authority, not Authority is the truth!..
 
Mwenye akili ndogo pekee ndie atakaetembea na maoni ya Mzee Mwanakijiji kichwani .Tanzania hatuko vitani,na wala hatutafuti nani ni bora au zaidi,tuko katika maisha ya kila siku ya kijamii.Kubomoa ni rahisi kuliko kujenga naona Mzee Mwanakijiji umeanza kulewa sifa na kutumia nafasi yako ya ushawishi kwa baadhi ya watu wachache kuleta maafa.Hakuna kundi lililopendezwa,kujinadi wala kufurahishwa na mauaji haya kila mpenda amani na mshikamano analaani mauaji haya ni bora tukaviachia vyombo husika waka deal na hili tatizo.Ni imani yangu kubwa kwamba kanisa na Kardinali Pengo wanapata taarifa za uchunguzi kadri zinavyovifikia vyombo husika.SIUNGI MKONO UDINI,SIVUMILII KASHFA ZA KIDINI, SIFURAHISHWI NA MAUAJI YA MTANZANIA YEYOTE ASIEKUWA NA HATIA.
 
kwa hili mimi ninafuraha kubwa sana kwani hawa hawa maaskofu waliipongeza serikali kwa kuwaua waislamu msikitini mwembechai wacha na wao wauliwe tu tena natoa wito kwa wale wanaohitaji mafunzo ya kijeshi wanitafute

Ni vema ukavaa bomu ujilipue!
 
Sio kosa lako, wakati yale mauji yanafanyika na Pengo kutoa hilo tamko hakuna hata ndugu yako mmoja aliyeuwawa ndio maana hukujali hata nini vile kinaendelea

Au vinginevyo ulikuwa busy na mtihani wako wa form 4. Nenda library utayakuta magazeti yaliyomnukuu akitoa hayo matamshi yake



Lakini usijali Jamaa zako TEC leo wataiagiza serikali kwa kuipa siku ya kufanya uchunguzi na kuwakamata wauaji na watakwenda misikitini yoote Zanzibar na kumchukua wanayemtaka kuwa ndie Muuaji hata kama hajui kuitumia bunduki

Nshazoeaaa ILA siku inakujaa


Fixer damu ya binadamu kumwagwa bila hatia inauma sana na haiitaji kumjua au kumfahamu mtu. Mimi unayedai nilikuwa nafanya mtihani wa Form 4 nilikuwa na umri wa miaka 34 na sikufurahishwa na sitawahi kufuruhishwa. Pili hatubishanii kuuawa tunaangalia kiongozi wa dini usiyemtambua uwepo wake kuwa angetoa tamko la kulaani mauaji. Sasa wewe humtambui kwanini unataka favourable remarks. Kama hakutoa tamko lenye kukufurahisha lakini bado usipandikize maneno kinywani mwake. Kama ambavyo nimekwambia kuwa nilishakuwa mtu mzima wakati mauaji ya Mwembechai yanatokea na huwezi kunichagulia ndugu wale kwa sababu tu kwamba walikuwa Watanzania wenzangu walikuwa ni ndugu zangu na zaidi kama wanadamu wanabaki kuwa ndugu zangu. Kama una chuki na Karidinali Pengo mchukie lakini usipandikize kile ambacho hajawahi kusema. Tatu unataka niende library kutafuta tamko la Pengo, hiyo iko wapi and which channel ina tamko hulo-DVD, CD nina shaka zilikuwa hazijakuwepo. A tape? Nani aliweka kumbukumbu hizo naalikuwa objective kiasi gani to the extent hazikuwa cooked. Gazeti siwezi kuliamini maana magezeti yote yenye reliable nd hard news nilikuwa nayasoma na leo ninayo in my home library
 
Maoni yake binafsi yapo moyoni mwake na ni hiyari yake kuyatoa ama la. Wewe ni nani hata ushinikize Pengo atoe ya moyoni mwake? Kwani wewe huna ya moyoni mwako? Toa hayo yako inatosha. Kanisa halina msemaji kwa sababu kazi ya kanisa sio kusemasema, bali kuhubiri injili ya Yesu na kuokoa roho za waumini. Ukitaka huduma hizo nenda parokiani au kigangoni lakini ukitaka kauli ya Pengo utasubiri sana

Maoni yake yapo moyoni mwake: ndio mkuu kila mtu ana maoni yake, lakini kumbuka huyu pengo ni kadinari wa nchi nzima na yupo peke yake nchi nzima... labda anawaza ya conclave tu wakati huu ambapo wachungaji zetu wanapopukutishwa....

Mimi ni nani: mimi ni muumini kama walivyo waumini wengine na ninahitaji leadership/muongozo sio kuona kila siku mapadri wanauwawa halafu leadership ya kanisa inakaa kimya na keundelea kuomba mungu.. hata mungu mwenyewe alisema asiye jisaidia hawezi kusaidiwa.

Kanisa halina msemaji: sio kweli kwamba kanisa halina msemaji.. najua yupo na nimemsahau tu jina lake... kama hayupo si aseme basi hata huyo katibu wa ATEC...

kanisa sio kusemasema: SIO KWELI Maana hata kuhubiri injili ni kusema sema pia na bila kusema sema ukweli hakika kanisa haliwezi kupata waumini na hii ndio kazi ya kuhubiri injili ya Yesu na kuokoa roho za waumini...

Ukitaka huduma hizo nenda parokiani au kigangoni: HAKUNA sehemu yoyote inaposema kwamba muumini akitaka huduma ya kichuingaji lazima aende huko vigangoni, au parokiani maana huduma ya yesu ipo kila sehemu , kwenye mtandao kama hapa, paraokiani na vigangoni ulipopataja au redion na kwenye TV kama REDIO MARIA NA nyinginezo za namna hiyo.

Ukitaka kauli ya Pengo utasubiri sana: kWA NINI sis waumini tusibiri sana kauli ya kiongozi wetu mkuu wa kanisa TAnzania? ina maana kanisa halina uongozi thabiti au ni uongozi lele mama na dhaifu wa kuwaza tu kifo cha pope na conclave?
 
Mwenye akili ndogo pekee ndie atakaetembea na maoni ya Mzee Mwanakijiji kichwani .Tanzania hatuko vitani,na wala hatutafuti nani ni bora au zaidi,tuko katika maisha ya kila siku ya kijamii.Kubomoa ni rahisi kuliko kujenga naona Mzee Mwanakijiji umeanza kulewa sifa na kutumia nafasi yako ya ushawishi kwa baadhi ya watu wachache kuleta maafa.Hakuna kundi lililopendezwa,kujinadi wala kufurahishwa na mauaji haya kila mpenda amani na mshikamano analaani mauaji haya ni bora tukaviachia vyombo husika waka deal na hili tatizo.Ni imani yangu kubwa kwamba kanisa na Kardinali Pengo wanapata taarifa za uchunguzi kadri zinavyovifikia vyombo husika.SIUNGI MKONO UDINI,SIVUMILII KASHFA ZA KIDINI, SIFURAHISHWI NA MAUAJI YA MTANZANIA YEYOTE ASIEKUWA NA HATIA.

inaonekana baadhi ya wanasiasa wanafurahia kimoyomoyo matukio aya il wapate point,
 
Hakuna mfuasi wa Pengo tu wafuasi wa Kristu aliye hai. Sijaona ulege wa Pengo usemwao zaidi ya upuuzi wa Serikali...Pengo hayuko katika vita ya mwili na wala hatupiganii hayo. Atasema yatosha, anyanyue upanga? Najua kinachotazamwa ni shinikizo la kukomesha haya na amini nakwambia tayari shinikizo lipo na laja zaidi si kutoka kwa Wakatoliki tu bali kwa wapenda haki wote

Ungekuwepo karibu yangu ningekuchumu well said Dom
 
Ni ukweli usiopingika swala la udini limepaliliwa na viongozi wa ccm inabidi wananchi tuwe makini kwani hatuna mtetezi ccm na serikali yake hakuna kitu
 
Pengo ni mtumishi kama ulivyo wewe Mzee Mwanakijiji
Wapo wenye majukumu ya kulinda usalama wa raia na mali zao
ambao hata katiba inawatambua,
sasa Pengo asimama aende wapi?
au naye ahamie huko magogoni.
 
Last edited by a moderator:
Rev Pengo, the Catholics Community in Tanzania want to hear something from you...

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mtoa mada naomba nikuambie kidogo kuwa pengo akitoa tamko litakuwa siyo la kanisa tamko la kanisa linatolewa na raisi/mwenyekiti wa baraza la maaskofu ambaye kwa sasa ni askofu wa jimbo la iringa mh. Talcius ngalalekumtwa.....so kama unahitaji tamko la kanisa katika hilo huyo ndiye msemaji wake na hata toa tamko kama yeye atatoa tamko lka baraza la maaskofu katoliki tanzania siyo tamko lake....!!!
Asante...!!

mkuu hapo umenena
 
lakini kumbuka huyu pengo ni kadinari wa nchi nzima - HAKUNA KADINARI WA NCHI NZIMA, PENGO NI ASKOFU MKUU WA DSM - REKEBISHA KUMBUKUMBU ZAKO

ninahitaji leadership/muongozo sio kuona kila siku mapadri wanauwawa halafu leadership ya kanisa inakaa kimya
MUONGOZO KATIKA JAMBO HILI UPO KATIKA BIBLIA, KAMA KWELI WEWE NI MUUMINI NA SIO MAMLUKI

najua yupo na nimemsahau tu jina lake...
NADHANI SASA UNACHANGANYA KANISA NA MSIKITI, RUDI TENA BAADAE

hata kuhubiri injili ni kusema sema
KUMBE ULITAKA KUSIKIA INJILI AU TAMKO?

huduma ya yesu ipo kila sehemu , kwenye mtandao kama hapa
YAONEKANA ULIBATIZWA KWENYE MTANDAO NA HUTAKI KWENDA KANISANI, SIJUI NITAKUSAIDIAJE ZAIDI

kWA NINI sis waumini tusibiri sana kauli ya kiongozi wetu
USISEME SISI WAUMINI, JISEMEE MWENYEWE. MIMI NI MKATOLIKI NA KWA HILI LA ZANZIBAR SIHITAJI TAMKO LOLOTE. NAJUA NAPASWA KUFANYA NINI

.......uongozi lele mama na dhaifu wa kuwaza tu kifo cha pope na conclave?
NINA MASHAKA NA UKATOLIKI WAKO. MKATOLIKI GANI ANAKASHIFU VIONGOZI WA KANISA LAKE? NENDA ZAKO SHETANI
 
kumbe huyu mwanakijiji nae ni bure kabisa kama mitoto mingine ya CHADEMA. Nani kakuambia Mushi kauawa na serikali au sababu za kidini? Pengine ni ugoni au wamedhulumiana kwenye ujambazi unajuaje? Acha kupotosha umma

Kama kauliwa na serikali hilo hatuwezi kujua, ila kama ni sababu za kidini; hilo halina shaka na wahusika tunajua ni waislamu. Kama ni ugoni kamuulize mama yako na kama ni ujambazi kamuulize baba yako mwenye fani hiyo. Wewe ndiye unataka kupotosha umma
 
Pengo au katibu wa TEC wakitoa tamko na kuwakumbusha wauimi juu ya umuhimu wa sara hasa za rosari inaweza kusaidia kupunguza hasira za waumini wa katoliki.. kumbuka kwa kwamba Rosari ina ahadi 15 kama hapa chini...

The 15 Promises of the Rosary - YouTube

Tamko si lazima liwe ni kulaani, tamko laweza kuwa la kuomba wasali.. sasa sijui hapo unasemaje... tamko likitolewa na mtu kama pengo litakuwa na uzito mkubwa kuliko kama likitolewa na askofu yeyote yule...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom