Mswahili wa Bara
Senior Member
- Feb 10, 2013
- 111
- 39
Watu wa Mungu hawapayuki ovyo ovyo. Wanafanya tafiti kabla hawajasema. Pengo hawezi kuanza kupiga kelele ovyo ana washauri wake na itakapofika muda wake wa kuongea utamsikia. Je, hukuona kele mwanza wakati wa msiba wa marehemu askofu mkuu Mayala? Mimi nashauri, kanisa lifanye mafungo ya siku 9 kulaani vitendo hivi,kama serikali imeshindwa kufanya kazi. Tutaona mwisho wao.