Kardinali Pengo, Simama au na wewe staafu kama yamekuzidi...

UKITAKA KUJUA mambo ya katoliki yanavyokwenda kaka hebu angalia hapa chini...#

Fatima Your Last Chance 2012:The Third Secret Contents Regarding the Church - Fr Gruner - YouTube

Waumini lazima wamfie mungu wao na sio kukaa kimya... mfano wasia dini wa Uganda na wengineo wa namna hiyo.. siwezi sema zaidi ya hapo... pengio akitoa tamko , atasaidia kupunguza upuuzi huu wa wajinga wachache na kuiamusha serikali...

Bro, sina haja ya kujifunza ukatoliki kupitia bandiko la youtube. Halina imprimatur yoyote na hivyo linakosa uhalali wa kuitwa la kikatoliki hata kama anayeongea hapo ni askofu. Sasa wacha mimi nikufunze kitu. UKITATOLOKA KUJUA MAMBO YA KIKATOLIKI KUPITIA MTANDAO NENDA

The Holy See

hii ndiyo tovuti rasmi ya kanisa letu na matamko utayapa huko, achana na kudai tamko la Pengo kwa sasa tunafanya mipango ya mazishi.
 
Alikuwepo Askofu Mkuu Oscar Romero; alisimama dhidi ya utawala wa kidikteta na akatoa ujumbe wa kinabii (prophetic message). Alifanya hivyo baada ya mapadre wake kuuawa na utawala dhalimu. Pengo amezoea kukaa katika starehe mno, kula na kunywa na wakubwa na ameacha kusimama kama nabii. Anapenda heshima. Wakati umefika kwa Pengo kuonesha kuwa anastahili cheo alichonacho.

Tunahitaji Oscar Romero wetu... vinginevyo huku tunakokwenda kubaya. Oooh ninavyoogopa kusikia Shehe kauawa; Msidhani haiwezi kutokea au kwamba hawa Wakristu ambao ndani ya wiki moja viongozi wao wawili wameuawa nao wataendelea kukaa kimya..

Pengo... utafanya nini....
Hizi ni nyakati za viongozp wa kanisa na watawala kuwa kitu kimoja na kudumu sana katika starehe za mvinyo na vyakula vinono; walioko nje ya fungate hili kazi yao ni kulia na kusaga meno.
 
Naomba kumtetea MwNakijiji.
Tunapenda sana kuhitimisha kabla hata kumaliza kusoma bandiko, na hata kuchukua nukta kumtafakari alichomaanisha mwandishi. Si kosa kanisa kupitia kwa mchungaji wake mkuu ktuoa hisia za kanisa bayana yaani tamko kutokana na mazingira ya mashambulizi bayana ya matatu ya wacungaji ndani ya miezi si zaidi ya mitatu. wawili zzbar moja Geita.
sidhani kama MM alimaanisha kuamuru vizasasi bali ni msimamo na anvalizo kwa watawala endapo hakuna juhudi zaidi ya zinazofanyika kucontain situation.
Hivi kwa haya yaliyotokea zanzbar nani ameshinda.kifua kutotoa dukuduku, Mm katoa lake
 
Nawashangaa sana mnaolalamikia serikali ya Kikwete, mlishaambiwa Raisi ni dhaifu halafu mnategemea mambo mazuri kutoka serikali dhaifu. Haya yote ni matokeo ya serikali dhaifu. To end this silly business is only possible through leadership change.
 
Alikuwepo Askofu Mkuu Oscar Romero; alisimama dhidi ya utawala wa kidikteta na akatoa ujumbe wa kinabii (prophetic message). Alifanya hivyo baada ya mapadre wake kuuawa na utawala dhalimu. Pengo amezoea kukaa katika starehe mno, kula na kunywa na wakubwa na ameacha kusimama kama nabii. Anapenda heshima. Wakati umefika kwa Pengo kuonesha kuwa anastahili cheo alichonacho.

Tunahitaji Oscar Romero wetu... vinginevyo huku tunakokwenda kubaya. Oooh ninavyoogopa kusikia Shehe kauawa; Msidhani haiwezi kutokea au kwamba hawa Wakristu ambao ndani ya wiki moja viongozi wao wawili wameuawa nao wataendelea kukaa kimya..

Pengo... utafanya nini....

teh teh teh....Kwani ana vita nyingine zaidi ya ile ya Fr. Nkwera na wanamaombi?
 
Mm, ni kama tunahitaji Zaidi ya kauli ya Pengo, tunahitaji mjadala na muafaka wa kitaifa juu ya Nafasiya dini ya mtu katika mfumo wa U-Tanzania,
1. Waislam wamelalamika sana uonevu wakati wa Mwlm Nyerere,, sisi kama Taifa tume-Li-address vipi hilo
2. Wakristo wamelalamika sana kila atawalapo Rais Muislam, kama Taifa tume-address vipi?
3. Waliuliwa wapemba katika chaguzi, tumefanya nini kama Taifa
4. Mwembechai?
5. Hizi MOU zinazolalamikiwa kila Siku, ni nani ndani ya Serikali amejaribu kulieleza, walau kauli?
6. Baraza la mitihani?
7. Uteuzi wa upendeleo?
8. Kuongezeka kwa Taasisi za Kikristo, hasa vyuo vikuu, je Tuna sera inayopaswa kuratibu ongezeko hilo
10. Manung'uniko yanayoendelea katika pande zote juu ya nani anaiibia nchi?
11.am Kuchinja wanya,, au ya Pinda, wasira, yanatosha?
By the way unaweza kuwa na Taifa lisilo na common values? Inawezekana kama Taifa ndo mwanzo wa kudadisi what are our.values.
Sidhan Kauli ya Pengo itajibu hayo

Wewe kweli zezeta watu wanazungumzia msiba wewe unaleta chuki zenu zawazi msibani mi ningekuwa karibu ningekufumua ya chembe kwenuye hilo domo lako la chai jaba. 1.malalamiko juu ya nyerere siwezi shangaa kwa watu wenye hila na chuki kama ninyi hebu fuatlia baraza la mawaziri la nyerer uone mchanganyiko uliopo pia nyerer aliopoenda libya aliulizwa anaomba libya impatie kitu gani akaomba ajengewe msikiti mkubwa mmusoma mjini ambao mnautumia mpaka leo kwa nini hakuomba kanisa je angekuwa shehe wenu wa magogoni angeomba nini au suti 6.baraza la mitihani yupo mama yetu ndalichako na utendaji wake uliotukuka hizon ni hila zenu na kwa dalili hizi siku akiingia shehe pale mtatufanyia hila sana ninyi.7.uteuzi wa upendeleo ----- wewe nenda NSSF ukaone yule mdini kitu anachofanya pale kila wafanyakazi 16 mkrito 1 au 0,nenda chuo cha majanga UDOM kwanzia mfagiaji mpaka juu wanavaa kanzu na hijabu palipo watu 20 wakristo 3 matokeo yake dada zetu wanalazimishwa kuvaa hijabu ,,..ujinga tu,wafanyakazi malecturer wakristo wanafanyiwa hila wengi wanakimbia.8.kuongezeka kwa taasisi...kama misaada inatoka vatican kwa ajili hiyo mlitaka tugawane au mbona ndugu zenu oman wanamavisima ya mafuta au mnazipiasu ga p11.kuku wangu uje unichinjie ujinga huo,...tukikubali wakristo huo ni unyonge wa hali ya juu kila hao wawe na bucha zao tukitembeleana tule mchicha kama vipi kwani mpaka tule nyama,kauli ya pengo ni muhimu sana kwa hili
 
Mauaji ya padri ni kitendo cha kinyama kinachostahili kufanyiwa uchunguzi na wale wote watakaopatina na hatia ni lazima wachukuliwe hatua kali. Kadinali pengo ni kiongozi mwenye busara ya hali ya juu, anajua nini cha kufanya na anatambua kuwa kuchochea vurugu zaidi siyo utatuzi wa tabia hii ya kighaidi inayofanywa huko Zanzibar.

Wewe bwana ni mnafiki grade ya juu kabisa na ni mdini nambari moja. Mambo unayoongea hapa hayafanani na vitu ninavyokuona unaposti kila siku hapa ukishirikiana na kina Zomba,mohamed said ,mingoi na wengineo. Bora unyamaze tu kama walivyonyamaza wenzio maana sasa hivi wanafurahia mnachoshirikiana kuhubiri day in day out. Wapuuzi wakubwa nyie.
 
Wakati umefika wa nchi kumwaga damu zaidi, maana tayari ardhi imeshapokea damu za wapakwa mafuta wa Mungu.Waislam wajue vita havina macho, na wala wasifikili ni washindi... daima watashindwa katka vita hii waliyo ianzisha...
 
Wewe bwana ni mnafiki grade ya juu kabisa na ni mdini nambari moja. Mambo unayoongea hapa hayafanani na vitu ninavyokuona unaposti kila siku hapa ukishirikiana na kina Zomba,mohamed said ,mingoi na wengineo. Bora unyamaze tu kama walivyonyamaza wenzio maana sasa hivi wanafurahia mnachoshirikiana kuhubiri day in day out. Wapuuzi wakubwa nyie.

Unaweza luleta mfano wa kitu kimoja tu kinachokupa wasiwasi juu ya msimamo wangu kwenye ninayoandika. Ukipata angalau KIMOJA tu kilete kama mfano. Posts zangu zote zipo unaweza kuzitembelea uone where I stand on issues.
Dont be too quick to judge, collect your facts first...
 
utasikia kesho waislam wametoa tamko na kukana kutohusika na haya mauaji,na serikali nayo itaunga mkono.
swali; Kwanini wanauawa ni Wakristo pekee?
 
Wakristo tujihadhari na maneno yenye kujenga tabaka la watu na waumini. kwa hii issue mahali tulipofikia kama wakristo maandiko matakatifu ya biblia yanatupa mwongozo wa kusali na kuomba, tena kwa kufunga. Tusiigeuze dini kama taasisi za kisiasa.
Mungu ametupa maarifa nyingi kujua mema na mabaya.
Ukiona dhiki inazidi kuongezeka basi ujue neema inakuja kwa kasi ya ajabu.
TUMSIFU YESU KRISTO
BWANA YESU ASIFIWE

Mungi
You deserve honor. Ndio maana nimemjibu Mzee Mwanakijiji kama ifuatavyo:
Binafsi nisingependa kuweka hisia binafsi kama Mzee Mwanakijiji ulivyofanya bila kufanya utafiti, labda umebuni au kuambiwa napengine kuyachukua ya vijiweni.Kanisa haliendeshi shughuli zake kiasa bali kiimani na kwa busara ya hali ya juu kwa kufuata kanuni zake.

Nina mashaka kama Mzee Mwanakijiji unajua utaratibu wa Kanisa Katoliki, kama hujui bora ungeuliza kwa wanaofahamu wafahamishe.

Anavyoropoka Aux. of Bukoba Kilaini ni kinyume cha taratibu za kanisa. Kanisa Katoliki lina utaratibu wa kutoa kauli iliyoakisiwa na balaza la Maaskofu Katoliki pale Tanzania Episcopal Conference, ni kauli ya pamoja chini ya uongozi wa Mwenyekiti wa Baraza hilo ambalo Cardinal ni member. Hana utaratibu kila askofu au Cardinal kuibuka na kutoa matamko katika mambo mazito kama haya. Naona umeteleza
Mzee Mwanakijiji.

Wakatoliki hawakurupuki tu kutoa kauli, wanatulia, wanakutana kushauriana na kupima cha kuzungumza na ndipo kauli inayotolea inaeleweka kwa kila mmoja wao kwa msimamo wa pamoja si mtindo wa wengine kusikia kwenye vyombo vya habari.

Canon Law ndio msingi wa uongozi si cheo cha mtu katika ukatoliki


Mzee Mwanakijiji is rubbing Catholic Authority by this Topic on wrong way.
 
Kweli! Something has to be done. Ila tumefika hapa tulipo kutokana na mafundisho tunayoyapata katika nyumba za ibada. Wahubiri/Mashehe badala watangaze mazuri ya dini zao wao wanatumia muda mwingi kusema dini zenye msimamo kinyume na wao. Kila dini inajiona bora kuliko nyingine. Hali ni mbaya zaidi kwa wenzetu wa kiislamu, kwa kweli wanakosa uvumilivu. Huwa napenda kusikiliza radio Imani na haya yanayotokea ni reflection ya ninachokisikia. Huwezi amini radio ni ya waislamu lakini huenda wanataja ukristo mara nyingi kuliko wanavyotaja uislamu! Mpaka nikajiuliza, hivi kama serikli ilifungia gazeti la mwanaHalisi kwa sababu za uchochezi (kama wasemavyo), serikali hiyo inasubiri nini kuifungia radio imani kwa sababu hizo hizo?

Nina uhakika angelikuwa Shehe kauwawa hapa, sasa hivi pengine tungekuwa tunazungumza mengine.
Vitendo hivi vinapaswa kukemewa na watanzania wote.

Hii ni moja kati ya sentensi za kiseng** nisizo taka kuzisikia.
KUKEMEA NDO USHENZI GANI SASA?

Kemeeni sasa hadi sauti zikauke,shika panga,jino kwa jino.
 
Walipofuatwa Waislamu msikitini na kuwawaa pale Mwembechai, Mtukufu Pengo alitoa tamko kuwa wale waliuwawaa ni wahuni, hakujua anachokipanda na PHD zake za Theolojia

Leo mmeanza kuona kumbe Waumini wenu wakiuwawa inaumaaa eenh ? Mkuki kwa Noah.....

Ni dhahiri hekima, busara, uvumilivu, na upole tulionao umetufikisha pabaya; Cha msingi ni Wakristu wote walioko Zanzibar warudi bara na Wazanzibar walioko bara warudi kwao, tufunge mjadala wa Muungano.
 
Hawa waislamu wanadhani wapo juu ya sheria. ipo siku watajua kuwa wakristu tuna nguvu na akili sana. dawa ni kujipanga na kuto mchagua Rais mwislamu tena.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom