Kardinali Pengo, Simama au na wewe staafu kama yamekuzidi...

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,498
40,047
Alikuwepo Askofu Mkuu Oscar Romero; alisimama dhidi ya utawala wa kidikteta na akatoa ujumbe wa kinabii (prophetic message). Alifanya hivyo baada ya mapadre wake kuuawa na utawala dhalimu. Pengo amezoea kukaa katika starehe mno, kula na kunywa na wakubwa na ameacha kusimama kama nabii. Anapenda heshima. Wakati umefika kwa Pengo kuonesha kuwa anastahili cheo alichonacho.

Tunahitaji Oscar Romero wetu... vinginevyo huku tunakokwenda kubaya. Oooh ninavyoogopa kusikia Shehe kauawa; Msidhani haiwezi kutokea au kwamba hawa Wakristu ambao ndani ya wiki moja viongozi wao wawili wameuawa nao wataendelea kukaa kimya..

Pengo... utafanya nini....
 
Umesema vema lazima tufike mwisho wa huu uovu, tukichelea tutafika pabaya.
 
Alikuwepo Askofu Mkuu Oscar Romero; alisimama dhidi ya utawala wa kidikteta na akatoa ujumbe wa kinabii (prophetic message). Alifanya hivyo baada ya mapadre wake kuuawa na utawala dhalimu. Pengo amezoea kukaa katika starehe mno, kula na kunywa na wakubwa na ameacha kusimama kama nabii. Anapenda heshima. Wakati umefika kwa Pengo kuonesha kuwa anastahili cheo alichonacho.

Tunahitaji Oscar Romero wetu... vinginevyo huku tunakokwenda kubaya. Oooh ninavyoogopa kusikia Shehe kauawa; Msidhani haiwezi kutokea au kwamba hawa Wakristu ambao ndani ya wiki moja viongozi wao wawili wameuawa nao wataendelea kukaa kimya..

Pengo... utafanya nini....

Kwani kuna padri ameuawa na utawala dhalimu Tanzania?
 
Pengo anaona ufahali kuendeshwa kwenye shangingi na kuabudiwa.

Ameshindwa ata kumuita Pinda chemba na kumweleza matamko yake hayaendani na Biblia, ukizingatia pindi alishawahi kuwa mseminari.
 
Ni kweli kabisa wandugu kwani tulipofika ni pabaya hasa upande wa pili utakapoamua kujibu mapigo pale wanapoona viongozi wao wa kiimani wakikaa kimya matokeo yake itakuwa liwalo na liwe .tusiombe ifike huko
 
Suspect namba moja ni Ilunga wa Mwanza na serikali inajua .Lakini hagusiwi hata mara moja .It is about time Catholics kusimama ama wakristo wasimame labda kutakuwa na nafuu baada ya hapo .
 
Si viongozi wa serikali wala viongozi wakuu wa kidini kutoa (kulaani) mapema matukio yanayoligawa taifa, badala yake wakijivuta kulaani kitu ambacho hupelekea wananchi (wanakondoo) kuamua kujichukulia sheria mikononi.
Ingalikuwa ni sheikh ameuwawa...mara moja serikali ingalishapanga vikosi vyake vya ulinzi na usalama maana waislam hawana masikhara hata kidogo kusubiria jambo lililowazi eti 'lipikwe' kwanza.

CC: Jakaya Kikwete (Unalipeleka wapi taifa hili ulilokabidhiwa katika mikono salama isiyo na chembe kubwa za udini? JITOKEZE) taifa likusikie.
 
Inawezekana naye ni 'dhaifu'. Kuna mambo hayatakiwi kuwa. Msipoangalia convent ya watawa itavamiwa watu watachinjwa halafu atakuja mtu kutupa hotuba ya 'jamani udini kitu kibaya'. Ngoja tumwone atakavyoanza kumuita Nyerere "Baba wa Taifa"...
Mwaka jana padre alishambuliwa na kujeruhiwa kwa risasi, leo padre kauawa huko huko Unguja. Tunaenda wapi?
 
Alikuwepo Askofu Mkuu Oscar Romero; alisimama dhidi ya utawala wa kidikteta na akatoa ujumbe wa kinabii (prophetic message). Alifanya hivyo baada ya mapadre wake kuuawa na utawala dhalimu. Pengo amezoea kukaa katika starehe mno, kula na kunywa na wakubwa na ameacha kusimama kama nabii. Anapenda heshima. Wakati umefika kwa Pengo kuonesha kuwa anastahili cheo alichonacho.

Tunahitaji Oscar Romero wetu... vinginevyo huku tunakokwenda kubaya. Oooh ninavyoogopa kusikia Shehe kauawa; Msidhani haiwezi kutokea au kwamba hawa Wakristu ambao ndani ya wiki moja viongozi wao wawili wameuawa nao wataendelea kukaa kimya..

Pengo... utafanya nini....

Kweli! Something has to be done. Ila tumefika hapa tulipo kutokana na mafundisho tunayoyapata katika nyumba za ibada. Wahubiri/Mashehe badala watangaze mazuri ya dini zao wao wanatumia muda mwingi kusema dini zenye msimamo kinyume na wao. Kila dini inajiona bora kuliko nyingine. Hali ni mbaya zaidi kwa wenzetu wa kiislamu, kwa kweli wanakosa uvumilivu. Huwa napenda kusikiliza radio Imani na haya yanayotokea ni reflection ya ninachokisikia. Huwezi amini radio ni ya waislamu lakini huenda wanataja ukristo mara nyingi kuliko wanavyotaja uislamu! Mpaka nikajiuliza, hivi kama serikli ilifungia gazeti la mwanaHalisi kwa sababu za uchochezi (kama wasemavyo), serikali hiyo inasubiri nini kuifungia radio imani kwa sababu hizo hizo?

Nina uhakika angelikuwa Shehe kauwawa hapa, sasa hivi pengine tungekuwa tunazungumza mengine.
Vitendo hivi vinapaswa kukemewa na watanzania wote.
 
Ngoja waje wafuate yeye mwenyewe maana naona mapadri wanapuputika na vifo sana amebaki yeye

ASIPOSIMAMA KAMA KIONGOZI YATAMKUTA!!
 
Kwani kuna padri ameuawa na utawala dhalimu Tanzania?

kaka upo nchi gani? Serikali dhalimu ya Tanzania imeridhia mauaji ya padri leo asubuhi zanzibar Kwa risasi ya kichwa na zeezi limekamilika. Wiki kadhaa pia iliridhia mauaji ya fr ambrose.. Bado yupo hospitali. Tunamtaka Pengo atoe tamko, tuingie barabarani au magogoni.
 
Walipofuatwa Waislamu msikitini na kuwawaa pale Mwembechai, Mtukufu Pengo alitoa tamko kuwa wale waliuwawaa ni wahuni, hakujua anachokipanda na PHD zake za Theolojia

Leo mmeanza kuona kumbe Waumini wenu wakiuwawa inaumaaa eenh ? Mkuki kwa Noah.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom