Kapuya; Nihurumieni jamani


haya sasa, mabo yanazidi kukorogeka...kumbe mabinti waliwekwa dodoma kwa gharama za bunge? kwanini Bi kiroboto asiunganishwe katika kesi hii kwa kutumia fedha za umma kinyume cha sheria?
 
haya sasa mahakamani tena..huko ndo kwenyewe
 
dah tz daima kama kabakwa mbowe wanavyoshupalia
 

Bubu dada, hapa ninakupa A+++

Cheers.
 
kwa hali halisi ilivo kwa sasa,mtu mwenye akili timam na uelewa wa kufikiri kwa kina atagundua kuna mchezo hapa.hakuna sms ya kapuya wala nn hapo I.T imetumika kufanya namba ionekane n ya kapuya .nawapa siku 6ukwel utajulikana na mtaona nn kinaendelea na nani ni wahusika wa kumchafua huyu babu.

ni kwel kabisa kwamba alikimega kila kidada poli,lakin hii sms ina iliootoka
 
Kapuya kashikwa Pumbu zote mbili, safari hii atajinasua itakuwa kwa msaada wa uonevu na udharimu wa serikali ya CCM vinginevyo pumbu zake zote mbili ni mali yetu.
 
Tanzania Daima limeshuka heshima san kwa kushadadia mambo ya kipuuz kama haya,

Yan katika mambo yote ya umuhimu wao wakaona hii ni yenye tija kuwaandikia watanzania??

Hovyo sana
 
Sasa huyu alhaji kama anaamini kuwa jina lake linachafuliwa ni kwa nini asiwahi mahakamani?


Muzeeehe.. Purofesaee omba msamaha faster, yaishe, achia ubunge wao, jipange upya kimaisha.. Unapozidi kukaidi Walah..! Hawa watu wanazidi kutuporomoshea mipicha kede kede wanasema ya "X" wataanza hivi punde kuileta uraiani.. Patakuwa padogo..! Nsikilizie..!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…