Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
Mwandishi gani aliwahi kuhoji wazi wazi mambo ya EPA,Rochimond,BOT na wenzake....kama si zaidi ya Kubenea na mwanahalisi.....Waandishi wa Bongo Makanjanja wasome wapanue mawazo yao mgando......bravo MkuchikaWataka waandishi wasomi wakati hata hao wanaowaita hawajasoma wakiwauliza maswali muhimu wanabaki kurushiana mpira.