Mwizukulu wa Buganda
JF-Expert Member
- Nov 19, 2024
- 786
- 1,988
Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo yaomba Tsh Bilioni 525,327,857,000 kwa ajili ya kutekeleza majukumu ya wizara kwa mwaka wa fedha 2026/2027
Pia soma Didier Drogba atinga bungeni kushuhudia uwasilishwaji wa bajeti ya Wizara ya Habari
Mchanganuo
1. Tsh Bilioni 39,071,597,000 kwa ajili ya mishahara
2. Tsh bilioni 28,065,472,000 ni matumizi mengineyo
3. Tsh bilioni 458,190,778,000 kwa ajili ya miradi ya maendeleo