Kapoteza fahamu baada ya kuachwa

Kapoteza fahamu baada ya kuachwa

Pole sana Marry mapenzi haya kwa nini Lakin? Nakumbuka demu Wangu miaka hiyo aliponiacha nilitaka kunywa sumu kisa mapenzi. Baada ya miaka miwili baada ya kuona maisha yangu yamenyooka akataka turudiane wakati mimi nimeisha vuta Jiko na mimba juu, nilimfukuza kama mbwa
Hahahaha has umenichekesha Sanaa navuta picha ulivyomtimua
 
Hadi anazimia kisa mwanaume!!!! Yupo weak sana
 
Mpe Pole sana Kama ulivosema awali kila kitu kinatokea kwa sababu naamini kuna kitu au vitu atajifunza kupitia hili na atakuwa binti mpya kabisa na mwenye kujua thamani yake zaidi.
 
pouwa mkuu sasa wewe unakuja pm na hadithi nyingi.. me hapana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Kwahiyo mtu akija PM siyo kuja kibwege.

Ni kuja kutoa tu mkwanja mkuu.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Kwahiyo mtu akija PM siyo kuja kibwege.

Ni kuja kutoa tu mkwanja mkuu.
ndiyo unakuja upo vizuri .. si unakuja na nyimbo ya hali ngumu .. kama hali ngumu umekuja kufanya nini huku?
 
ndiyo unakuja upo vizuri .. si unakuja na nyimbo ya hali ngumu .. kama hali ngumu umekuja kufanya nini huku?
Sasa si anakuwa mkweli juu yako?

Maana wanawake wa siku hizi ni nouma.

Utaombwa asubuhi, jioni, mchana mpaka kero.

Mpaka mtu unaogopa kumjulia mpenzi wako hali.

Maana ukimtext tu Meseji ya tatu utaambiwa sina hela ya kusuka au nimeona nguo nzuri niongezee hela.
 
Sasa si anakuwa mkweli juu yako?

Maana wanawake wa siku hizi ni nouma.

Utaombwa asubuhi, jioni, mchana mpaka kero.

Mpaka mtu unaogopa kumjulia mpenzi wako hali.

Maana ukimtext tu Meseji ya tatu utaambiwa sina hela ya kusuka au nimeona nguo nzuri niongezee hela.
ha haha sasa kama hao wa vibomu vifupi huwezi .. tunaoomba makubwa utaweza kweli?
 
Back
Top Bottom