KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 36,517
- 89,015
na we sindo unaelekea hukohuko😀Taabu ni pale utakapojikuta unapenda pale ambapo hukutarajia.
na we sindo unaelekea hukohuko😀Taabu ni pale utakapojikuta unapenda pale ambapo hukutarajia.
Naelekea wapi?na we sindo unaelekea hukohuko😀
Kupoteza fahamu😀Naelekea wapi?
hapo panakuwaga tabu kweli kweliTaabu ni pale utakapojikuta unapenda pale ambapo hukutarajia.
Kabla ya kuingia mzima mzima ni vyema kumchunguza kwanza, kujua kama ana mapenzi ya kweli, na hautachelewa kumjua. Ukiona hayuko serious unatupilia mbali na unasonga mbele, raha jipe mwenyewemkuu haiitaji kuwa serious sana kwenye maswala ya mahusiani
Hahaaaaa!! Khaaah yaani nipoteze fahamu kabisa! Ngoja lkn nibakize maneno maana sijapatwa. Maana haya mambo hayanaga mjanja bwana.Kupoteza fahamu😀
tena mwenyewe hasaKabla ya kuingia mzima mzima ni vyema kumchunguza kwanza, kujua kama ana mapenzi ya kweli, na hautachelewa kumjua. Ukiona hayuko serious unatupilia mbali na unasonga mbele, raha jipe mwenyewe
Mapenzi bwana, sijui kwanini!!!hapo panakuwaga tabu kweli kweli
usiseme hayanaga wajanja tupo tumetulia tuliii...Hahaaaaa!! Khaaah yaani nipoteze fahamu kabisa! Ngoja lkn nibakize maneno maana sijapatwa. Maana haya mambo hayanaga mjanja bwana.
hata mi sijui aisee.. sema mimi mwepesi kumpiga chini kama naona hana uwelekeo wa chapaaMapenzi bwana, sijui kwanini!!!
Ni kweli Kuna wengi walisema hivyo Lakini mapenzi wendawazimu, Kuna wengine wamekufa kabisa licha ya kupoteza fahamuHahaaaaa!! Khaaah yaani nipoteze fahamu kabisa! Ngoja lkn nibakize maneno maana sijapatwa. Maana haya mambo hayanaga mjanja bwana.
kabisaaaaaa halafu uliyempenda anageuzia gia angani ghafla.Taabu ni pale utakapojikuta unapenda pale ambapo hukutarajia.
Wewe unangalia chapaa na sio mapenzi ya kweli au ndio hakuna mapenzi bila chapaahata mi sijui aisee.. sema mimi mwepesi kumpiga chini kama naona hana uwelekeo wa chapaa
Unapiga chini unajisepea, kusubiri hadi uzimie wakati red flags unaziona kabisa jamani!!! Au ndio mapenzi upofu!hata mi sijui aisee.. sema mimi mwepesi kumpiga chini kama naona hana uwelekeo wa chapaa
Ni kweli, wengine hujiua kabisa.Ni kweli Kuna wengi walisema hivyo Lakini mapenzi wendawazimu, Kuna wengine wamekufa kabisa licha ya kupoteza fahamu
Hahahaaaa!! Hapo ndio utajua maharage ni kiungo cha kande.kabisaaaaaa halafu uliyempenda anageuzia gia angani ghafla.
Unapiga chini unajisepea, kusubiri hadi uzimie wakati red flags unaziona kabisa jamani!!! Au ndio mapenzi upofu!
hakuna mapenzi bila chapaa siweziWewe unangalia chapaa na sio mapenzi ya kweli au ndio hakuna mapenzi bila chapaa