LadyAJ
JF-Expert Member
- Oct 21, 2015
- 7,173
- 9,656
Walionazo huwa hawaulizi sh. Ngapi wao ni kushusha tu vibunda kwa mabundasema unataka sh. Ngapi ya kuanzia? Teh teh.
Walionazo huwa hawaulizi sh. Ngapi wao ni kushusha tu vibunda kwa mabundasema unataka sh. Ngapi ya kuanzia? Teh teh.
Ndiyo naweza.ha haha sasa kama hao wa vibomu vifupi huwezi .. tunaoomba makubwa utaweza kweli?
Sogea tukae zikiisha nendaPesa zikiisha unasepa sio!! Sasa mapenzi ya namna hii tunayaitaje
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sogea tukae zikiisha nenda
siyo wote wenye nazo, hutuma vibunda na mabunda bila kuuliza kwanza!! Wewe sema sh. Ngapi ili wadau tujue.Walionazo huwa hawaulizi sh. Ngapi wao ni kushusha tu vibunda kwa mabunda
Mapenzi ya kweli.Pesa zikiisha unasepa sio!! Sasa mapenzi ya namna hii tunayaitaje
BASI SAWA NJOO TENA PM nakusubiriaNdiyo naweza.
Kwanini nisiweze?
Mtu anayeomba makubwa na akafanya makubwa huwa namkubali sana naweza nikamsapoti asilimia 100%.
Ila siyo yule wa vibomu vidogo vidogo vinakera sana.
Utamu wa pesa acha kabisa.Mjini kitamu pesa
Hapana si kweli ni mapenzi maslahiMapenzi ya kweli.
Sasa hivi vijana bora mjitolee kupenda pesa, haya mengine ni uzushi mtupu na kuumizanaHapana si kweli ni mapenzi maslahi
Kwa tafsiri yako, ila hayo ndio mapenzi ya kweli, hakuna kudanganyana, pesa ikiisha unasepa kwann ubaki huku ukigugumia!!!!Hapana si kweli ni mapenzi maslahi
Nashukuru kwa kunikaribisha tena huko.BASI SAWA NJOO TENA PM nakusubiria
Relationship have so much power to bring joy into our lives, but at the same time have such a power to bring severe hurt as well. Rafiki, mapenzi yanaumiza sana mtu asikwambie labda kama wewe ujapenda. Kuna watu wamekufa kwa sababu ya mapenzi, Kuna watu wamekuwa vichaa kwa sababu ya kupenda, Kuna watu wamekatishwa tamaa ya kutopenda tena, Kuna watu wamekunywa sumu kwa sababu ya mapenzi, Kuna watu wamefilisika kwa sababu ya kupenda, Kuna watu wamekana hata wazazi wao kwa sababu ya mapenzi, naona wewe bado mtoto kwenye vitu hivi, bado unakuwa utayaona.KUMBE KUNA WATU BADO WANAZIMIA KWA AJILI YA MAPENZI DUH POLE YAKE
Siku akipenda... ndio ataelewa.. the meaning of true loveRelationship have so much power to bring joy into our lives, but at the same time have such a power to bring severe hurt as well. Rafiki, mapenzi yanaumiza sana mtu asikwambie labda kama wewe ujapenda. Kuna watu wamekufa kwa sababu ya mapenzi, Kuna watu wamekuwa vichaa kwa sababu ya kupenda, Kuna watu wamekatishwa tamaa ya kutopenda tena, Kuna watu wamekunywa sumu kwa sababu ya mapenzi, Kuna watu wamefilisika kwa sababu ya kupenda, Kuna watu wamekana hata wazazi wao kwa sababu ya mapenzi, naona wewe bado mtoto kwenye vitu hivi, bado unakuwa utayaona.
Ni kweli mkuu huyu bado ajapenda kwa hiyo hawezi kujua maumivu ya mapenzi yalivyo.Siku akipenda... ndio ataelewa.. the meaning of true love
Mapenzini mtu anazama mzima mzima, moyo wote unatuama, wengine kwake hawaoni tena, ajali Wala asikii, matokeo yake yule uliyemwamini anakuja kukupa adhabu, mateso, karaha, maumivu, Majuto, anaona si kitu kwake, anashindwa kuthamini Wala kujali hisia za mwenzake, inauma sana mkuu.Yaani hayo ndo madhara ya kupenda mzima mzimaa. Unaweza kufa