Kapata kazi kanitupa

Kapata kazi kanitupa

LUBEDE

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
4,322
Reaction score
6,694
Ama kweli "NO LIFE WITHOUT A WIFE, BUT A WIFE CAN BE A KNIFE TO CUT OFF YOUR LIFE" huyu mwanamke pamoja na kusimamia show zote tangu high school, chuo na kurudi mtaani hana muelekeo, nikatumia unguli wangu mjini kapata kazi T.R.A.

Nikaona ni wakati muafaka home wamjue mambo mengine ya kuwa pamoja milele yaendelee,wakamtambua na sifa tele kuwa najua kuchagua,mwisho wa siku hata posa hatujapeleka anasema alikurupuka nimuache, afanye kwanza kazi, anahisi kuwa single ni vizuri zaidi kwake, atanifikiria baada ya miaka miwili.

Sitaki tena kuoa?
 
Ni jukumu la wazazi kusomesha watoto wao...
 
Maisha nizaidi ya kuwa na mke, MUNGU anakuepusha na mabalaa ambayo endapo ungeendelea nae ungeyapata,tulia muombe MUNGU atakupa mke mpaka utaona huyo alikuwa akikupotezea muda,mwamini MUNGU nae hatakutupa hata siku moja
 
Kabla yake ulikuwa na maisha, mwache tu japo ni ngumu
 
Ama kweli"NO LIFE WITHOUT A WIFE,BUT A WIFE CAN BE A KNIFE TO CUT OFF YOUR LIFE"huyu mwanamke pamoja na kusimamia show zote tangu high school,chuo na kurudi mtaani hana muelekeo,nikatumia unguli wangu mjini kapata kazi T.R.A,nikaona ni wakati muafaka home wamjue mambo mengine ya kuwa pamoja milele yaendelee,wakamtambua na sifa tele kuwa najua kuchagua,mwisho wa siku hata posa hatujapeleka anasema alikurupuka nimuache,afanye kwanza kazi,anahisi kuwa single ni vizuri zaidi kwake,atanifikiria baada ya miaka miwili,natamani nimpe sumu wallah!!
Sitaki tena kuoa?!!!!

Pole sana, mwachie mungu. Kumbuka LIKUEPUKALO LINA HERI NA WEWE
 
Ama kweli"NO LIFE WITHOUT A WIFE,BUT A WIFE CAN BE A KNIFE TO CUT OFF YOUR LIFE"huyu mwanamke pamoja na kusimamia show zote tangu high school,chuo na kurudi mtaani hana muelekeo,nikatumia unguli wangu mjini kapata kazi T.R.A,nikaona ni wakati muafaka home wamjue mambo mengine ya kuwa pamoja milele yaendelee,wakamtambua na sifa tele kuwa najua kuchagua,mwisho wa siku hata posa hatujapeleka anasema alikurupuka nimuache,afanye kwanza kazi,anahisi kuwa single ni vizuri zaidi kwake,atanifikiria baada ya miaka miwili,natamani nimpe sumu wallah!!
Sitaki tena kuoa?!!!![/QUOTEDah


Pole sanha mkuuu @
 
POLE
Kila siku mnaaambiwa mchumba hasomeshwi mnanga'ng'ania
 
Kampata mkubwa kampa ahadi tamu zaidi yako, we chunguza utajua ukweli😀
 
Mkuu LUBEDE, kwanza kabisa pole kwa yaliyokukuta. Kwa kweli yakupasa umshukuru Mungu kwa kukufunulia na kukuonyesha tabia za huyo mwanamke ambaye wewe ulidhani ndio chaguo sahihi katika maisha yako.

Kuna msemo wa zungu unaosema "There are two things which defines a person. His/her patience when he has nothing and his/her attitude when he/she has everything." Kama hiyo kazi imemfanya huyo mwanamke akuone huna thamani kwake basi ujue huyo hakufai. Tabia ya wanawake kama hao ni ya wale ambao wanatanguliza fedha, mali na anasa za huu ulimwengu mbele kuliko utu. Kwa kweli badala ya kulalamika yakupasa umshukuru Mungu kwa kukuonyesha tabia ya huyo mwanamke before its too late maana huwezi jua, pengine huko mbeleni angeweza kukufanyia mamb makubwa na ya kukuumiza zaidi ya hili.

Mimi nakushauri mkuu usikate tamaa na badala yake usali na umuombe Mungu akujalie akujalie mke mwema ambaye alikuandalia tangu kuumbwa kwako.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom