Kapata kazi kanitupa

Kapata kazi kanitupa

Ama kweli "NO LIFE WITHOUT A WIFE, BUT A WIFE CAN BE A KNIFE TO CUT OFF YOUR LIFE" huyu mwanamke pamoja na kusimamia show zote tangu high school, chuo na kurudi mtaani hana muelekeo, nikatumia unguli wangu mjini kapata kazi T.R.A.

Nikaona ni wakati muafaka home wamjue mambo mengine ya kuwa pamoja milele yaendelee,wakamtambua na sifa tele kuwa najua kuchagua,mwisho wa siku hata posa hatujapeleka anasema alikurupuka nimuache, afanye kwanza kazi, anahisi kuwa single ni vizuri zaidi kwake, atanifikiria baada ya miaka miwili.

Sitaki tena kuoa?


Tumia unguri uliotafutia kazi hili kumuachisha kazi kwa uguri huo huo
 
Duh acha roho mbaya bhana, mungu anasema samehe mara saba sabini.
 
Mwanangu ukiona hivyo ujue kuna bonge la zari linakuja kwako. Achana naye chapa kazi kwa umakini mkubwa..
 
Siku hizi hakuna mwanamke anaye aminika so ukitaka kujengs trust kwa mwanamke ambaye una malengo naye mpige mimba za fastafasta akishapoteza mvuto atakuwa wako daima.
 
Pole sana mkuu achana nae labda hakuwa chaguo lako muombe mungu utapata Mke mwema
 
Mbona kila mada inayokuja huku wanaume wote mmewapatia wanawake zenu kazi TRA, sielewi ni coincidence ya aina gani? nway poleni sana ndio maisha
 
Back
Top Bottom