Mi niko Kigoma mjomba acha fujoWewe huitaki hiyo laki moja.
Kafara zijipeleke zenyewe au sio.Enyi mnaosaka vibarua ndani ya JIJI la DAR, nendeni mkaombe vibarua hapo kwenye Jengo la Freemason Dar es salaam.
wanafanya maboresho ya Jengo zima kuanzia Ground Floor mpaka Paa.
Huwezi Jua labda Deiwaka ni laki moja kwa siku.
Hosea 4:6 “Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa;..”