Kwanza kabisa sikubaliani na watu wanaosambaza uzushi wa aina yoyote ikiwemo kuwalisha watu maneno kwa njia yoyote ile, ila pia nadhani Gwajima alitakiwa kukanusha uzushi kwa maneno mafupi sana kuwa, Sijawahi kutoa kauli hiyo na pia si sahihi kusambaza taarifa za uzushi iwapo kulikuwa na ulazima sana wa kukemea poster hiyo.
Lakini alichokifanya hapo kwenye kanusho lake kinaongea kuwa kwanza alipaniki kuona kuwa kahusishwa na mtu ambaye ukihusishwa naye pengine nawe waweza kuwa hatarini iwapo utasema kuwa hakuwa mtu mbaya,
Majibu yake yanaonesha kupaniki, kukosa busara na mtu ambaye anaona kabisa kibarua chake kiko hatarini kama uhai na maisha yake, yanatoa jibu kuwa huenda aliyefanya Polepole asiwepo ni yule anayedhaniwa maana sio kwa hofu hiyo.
Hapa chini ni kanusho lake na baadhi ya majibu kwa waliochangia mada yake, yapo mengi sana
Lakini alichokifanya hapo kwenye kanusho lake kinaongea kuwa kwanza alipaniki kuona kuwa kahusishwa na mtu ambaye ukihusishwa naye pengine nawe waweza kuwa hatarini iwapo utasema kuwa hakuwa mtu mbaya,
Majibu yake yanaonesha kupaniki, kukosa busara na mtu ambaye anaona kabisa kibarua chake kiko hatarini kama uhai na maisha yake, yanatoa jibu kuwa huenda aliyefanya Polepole asiwepo ni yule anayedhaniwa maana sio kwa hofu hiyo.
Hapa chini ni kanusho lake na baadhi ya majibu kwa waliochangia mada yake, yapo mengi sana