Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 4,126
- 9,593
Kipindi cha nyuma kumpata mgombea ubunge wa Jimbo kupitia CCM ilikuwa inahusisha wajumbe wachache, hii ilitoa mwanya Kwa wenye Hela, mawaziri na wabunge wazoefu kuhonga wajumbe.
Kanuni mpya za CCM wajumbe wa kupiga kura za kumpata mgombea wa ubunge wa CCM idadi Yao imeongezwa,unakuta jimbo Moja Lina wajumbe mpaka 14,000. So kuwaonga wote inakuwa ngumu sana.
Kwa hizi kanuni siwaoni Hawa wakipenya kwenye kura za maoni.
Innocent Bashungwa
Simbachawene
Mwita Waitala
Patrobas Katambi
Byabato
DEO Sanga
Naibu waziri Mollel
Babu Tale
Mwana FA
Silinde ...n.k
Kutakuwa na kilio na kusaga meno kwa Wabunge na mawaziri wa CCM.
Kanuni mpya za CCM wajumbe wa kupiga kura za kumpata mgombea wa ubunge wa CCM idadi Yao imeongezwa,unakuta jimbo Moja Lina wajumbe mpaka 14,000. So kuwaonga wote inakuwa ngumu sana.
Kwa hizi kanuni siwaoni Hawa wakipenya kwenye kura za maoni.
Innocent Bashungwa
Simbachawene
Mwita Waitala
Patrobas Katambi
Byabato
DEO Sanga
Naibu waziri Mollel
Babu Tale
Mwana FA
Silinde ...n.k
Kutakuwa na kilio na kusaga meno kwa Wabunge na mawaziri wa CCM.