Primitive
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 222
- 45
kuna vitu tunatakiwa kushukuru(everything happen 4 a reason) uwezi jua labda hayo mteso ndo yamjenga kiasi cha kuwa makini na maisha na kupelekea mafanikio aliopata mpaka! sisi wengine tumelelewa na mama haohao wa kambo na kwa mateso makubwa, leo tunashukuru kwani ndio yametukomaza kimaisha!