Msanii ni kioo kwa jamii inayomzunguka, hivyo maneno yake ama matendo yake yanaweza kuwa na athari kubwa kwa jamii ama kuathiri kazi yake ya sanaaa.
Mimi nikiwa mmoja wa watanzania wanaohusudu sana kazi za kanumba hivi majuzi nilishutushwa sana na kauli za nguli huyu wa sanaa alizomtupia mama yake wa kambo na baba yake mzazi kupitia kipindi cha luninga.
Aisee ni bonge ya ukosefu wa busara kuropoka vitu vile kwenye media... Tena vitu vya kipuuzi. Etiiii mama yake kamkosea sanaaaa.... Kwa vile......
Aliambiwa akachunge mbuzi mchana wa jua kali........ Hivi wewe kilaza mbuzi wanachungwa usiku wa giza????
Aliambiwa akaopoe maganda ya viazi shimoni kwa vile aliambiwa akawape mbuzi yeye akayatupa hivyo akaambiwa ayatoe humo shimoni ....... Hapa inaonyesha jinsi kanumba ulivyokuwa jeuri na mtovu wa nidhama, kwa maelezo haya nimegundua kanumba ni kama taahira fulani haelewi hata anachokisema.
Usijione leo umefanikiwa sana ndugu yangu... Usitukane mamba kabla hujavuka mto..... Hujafa hujaumbika.... Mdogo wangu ulichomfanyia baba yako na mama yako sio fair. Vihella vyenyewe vya kuigiza??? Je ungekuwa umezipata kwa kusoma si ndio ungeeenda kumchapa risasi kabisa. Naona wewe huwajui wasukuma... Utatatembe uchiiiiiii...... Mpaka ukome.
Sisi tulilelewa na mama zetu wa kambo na malezi makali kuliko yako.... Lakini leo hiii tumewajenge mijengo mikali na wanaishi kifahari ile mbaya maana sijui kesho kutakuchaje.
Umenitibua sana maana mama woote wa kambo sasa hivi hwakupendi.
Umejenga chuki kati ya watoto wa kambo na mama zao huko majumbani.....
Unaeneza roho ya chuki miongoni mwa wanafamilia.....
Umeboa saaaaana...... Watu wameuchuna tu ila mimi nimeona nikupe laivu......
Jiangalie sana au nenda kabisa kwa yule mganga wako..... Maana dingi ataku.............. Nawasilisha
Mimi nikiwa mmoja wa watanzania wanaohusudu sana kazi za kanumba hivi majuzi nilishutushwa sana na kauli za nguli huyu wa sanaa alizomtupia mama yake wa kambo na baba yake mzazi kupitia kipindi cha luninga.
Aisee ni bonge ya ukosefu wa busara kuropoka vitu vile kwenye media... Tena vitu vya kipuuzi. Etiiii mama yake kamkosea sanaaaa.... Kwa vile......
Aliambiwa akachunge mbuzi mchana wa jua kali........ Hivi wewe kilaza mbuzi wanachungwa usiku wa giza????
Aliambiwa akaopoe maganda ya viazi shimoni kwa vile aliambiwa akawape mbuzi yeye akayatupa hivyo akaambiwa ayatoe humo shimoni ....... Hapa inaonyesha jinsi kanumba ulivyokuwa jeuri na mtovu wa nidhama, kwa maelezo haya nimegundua kanumba ni kama taahira fulani haelewi hata anachokisema.
Usijione leo umefanikiwa sana ndugu yangu... Usitukane mamba kabla hujavuka mto..... Hujafa hujaumbika.... Mdogo wangu ulichomfanyia baba yako na mama yako sio fair. Vihella vyenyewe vya kuigiza??? Je ungekuwa umezipata kwa kusoma si ndio ungeeenda kumchapa risasi kabisa. Naona wewe huwajui wasukuma... Utatatembe uchiiiiiii...... Mpaka ukome.
Sisi tulilelewa na mama zetu wa kambo na malezi makali kuliko yako.... Lakini leo hiii tumewajenge mijengo mikali na wanaishi kifahari ile mbaya maana sijui kesho kutakuchaje.
Umenitibua sana maana mama woote wa kambo sasa hivi hwakupendi.
Umejenga chuki kati ya watoto wa kambo na mama zao huko majumbani.....
Unaeneza roho ya chuki miongoni mwa wanafamilia.....
Umeboa saaaaana...... Watu wameuchuna tu ila mimi nimeona nikupe laivu......
Jiangalie sana au nenda kabisa kwa yule mganga wako..... Maana dingi ataku.............. Nawasilisha