Kanisa lingine lachomwa moto Vingunguti

Kanisa lingine lachomwa moto Vingunguti

Status
Not open for further replies.
Nilikua na sikiliza BBC Swahili muda si mrefu kuja na aliejiunga na alshabaab bila kujua alikua anaeleza!! Alibadili dini na kuanza kusoma ili aujue uislamu wakampeleka Somalia amejifunza hadi ugaidi na ahadi kibao kua akifa anakwenda mbinguni Kama shahidi! Na kua family yake italipwa vzr!! Sasa Yale mafunzo Ndio yalimtisha alikua anaanmbiwa uislam ni mzuri unaraha sasa zile raha Hakuna zaidi ya mafunzo ya kuua watu dogo kwa msaada wa mzee mwingine akatoroka kurudi Kenya!! Waislam muogopeni Mungu kuua watu wasio na hatia Ndio pepo huyo Mungu wenu a nashangaa!!
 
Teh teh teh !
Mkuu kumbe unawajua eeee!.

Duhh hawa jamaa wakikujua watakulaani vibaya!
Mkuu mimi sitii neno hapa..naweza kulambwa BAN..maana MODS siwaelewi kabisa..watu wanautukana uislamu kana kwamba imekuwa proved kuwa waliochoma ni waislamu..na bado Mods wanashindwa kuufunga uzi unaozidi kututukana that means nawao wanafurahia hizi kejeli na matusi dhidi ya waislamu...nakosa imani na Mods..
 
Nilikua na sikiliza BBC Swahili muda si mrefu kuja na aliejiunga na alshabaab bila kujua alikua anaeleza!! Alibadili dini na kuanza kusoma ili aujue uislamu wakampeleka Somalia amejifunza hadi ugaidi na ahadi kibao kua akifa anakwenda mbinguni Kama shahidi! Na kua family yake italipwa vzr!! Sasa Yale mafunzo Ndio yalimtisha alikua anaanmbiwa uislam ni mzuri unaraha sasa zile raha Hakuna zaidi ya mafunzo ya kuua watu dogo kwa msaada wa mzee mwingine akatoroka kurudi Kenya!! Waislam muogopeni Mungu kuua watu wasio na hatia Ndio pepo huyo Mungu wenu a nashangaa!!
Na wewe una amini hivyo mkuu..?
 
Watakuwa wanagombania madaraka kati yao. Ila namuonea huruma yule Mungu wao aliyevalishwa chupi pale msalabani kuungua Very sad! Mungu kashindwa kujitetea?

al Akhy naomba nikusahihishe kidogo.ile sio CHUPI ile ni NEPI .labda kondoo wa bwana watusaidie.
 
hapo utasikia wamelichoma wenyewe ili wapate huruma ya serikali kujengewa lingine. Hii inanikumbusha eti Pnetagoni wajiripua wenyewe na ndeg za kivita ili kupata rehusa ya kuichapa Afaghanstani
 
Unajua Jamaa yangu remote hakuna kitu raha kama revenge!
Tena kuna msemo unasema "revenge is a food better serve cold!"
Nyie mkiskia chochote kinachohusu waislamu basi mnakuja kama sungusungu! Mnashambulia huku na huko!
Mkitutukana na kutukejeli kwa nguvu zote!
Sasa na mimi najaribu kuwaiga nyie! Kila penye soo la wagalatia na mimi napiga za kichwa!
Mpaka nyie muache ku enjoy to make fun of us!
I will keep on enjoying this game!

Now chill out put new battery in your Remote and enjoy the game!!

Sasa kwanini makanisa yanachomwa maeneo ya pwani, yaani dar, zanzibar na mombasa. Unaamaanisha insurance fraud inafanyika coast areas peke yake tena transnational insurance fraud. And from the way you said you will keep enjoying this game tells me you must be insane. Kibaya zaidi mijitu kama nyie mna mitoto kibao alafu munaifundisha huo ujinga. Aisee angalia sana unaweza kuua mtoto wako akitokea kuwa na akili kukuzidi wewe
 
Last edited by a moderator:
If this is true tanzania is on the verge of civil and religion war. But let us pray for our country not to be like nigeria.
 
remote,the day is coming when u'll regret the fate of u're hatre to u're fellow christians"watchout"

Tell him !

Teh teh teh teh!

This Remote is nasty! If you saw him! Mkojolee kabisa manake ana sura nyingi mno! Au ukiskia fununu kuna kanisa litachomwa basi we muagize kitu halafu akiingia funga kufuli kwa nje! Aungue na yeye!

Teh teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
hawana jipya lazma ni hawa ndugu zetu wa side"B", Hawajifunzi kwa wenzao libya,afganstn,iraq,SIWAPENDAGI HAWA WATOTO WA NYUMBA NDOGO.
Hawajifunzi Ireland ya Kaskazini waprotestant na Wakatoliki wanavyomalizana,na Uganda,na Sudan Kusini
 
Hahah, there you're. Those things existed before Jesus, now to us it is an History. Jesus revealed the true Love of GOD who sent him. You have even forgotten that before Jesus people could get married to more than more woman. Also women were hit to death when found doing sex with a married man. Most people don't understand the series of the Bible

Hahaha. Now we are enjoying the world of true Love our the father. We are out of the darkness

He preached and leave people judge his logic and follow him. He did not course even a single drop of blood, killing people forcing them to go to paradise. That is why he known as a KING OF PEACE. Tanzania and the world today is peaceful because of his preachings, his followers do not revenge. hahaha

Dont force yourself to laugh!
Are you telling the people here that BIBLE IS FROM TWO DIFFERENT PEOPLES??
ONE LAW FOR ISRAELIS AND THE OTHER FOR CHRISTIANS? ?
If that is the case! I want you to provide evidence of your claims!
And also you mention about wifes!
Show me the evidence that jesus said! You are not allowed to mary more that one wife!!
Go on little Kakende !
I am waiting!
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh teh!
Al murad CHAMVIGA umepiga ikulu!
Tih tih tih tih!
Hawa walianza wao kuwakejeli waislamu,zinapokuja post kuhusu uislamu,utaona kejeli nyingi,sasa wao wanakejeliwa wanaumia.WAPO AMBAO WALIKUWA WAKILETA KEJELI HAWAONEKANI.Acheni kuwakejeli waislamu,ili nao wasiwakejeli.
 
Last edited by a moderator:
Nawasiwasi na kambi ile iliyopo pale Njia ya kwenda Yombo kuna kituo kinaitwa Chadema kwa mbele kuna msikiti na kambi kubwa sana ya Mujaheedin wanachofanya mule hakijulikani wamejizungushia ukuta mkubwa sana... wanastahili kuondolewa mule
 
Kwa sababu linampinga shetani
Kwa hiyo shetani amewazidi nguvu,mpaka akawachomea kanisa?Huwa mwamuogopa sana ndio mana anawachezea.Mbona hata wahindu wanampinga shetani lakini haendi kuwachomea mahekalu yao.
 
Mkuu mimi sitii neno hapa..naweza kulambwa BAN..maana MODS siwaelewi kabisa..watu wanautukana uislamu kana kwamba imekuwa proved kuwa waliochoma ni waislamu..na bado Mods wanashindwa kuufunga uzi unaozidi kututukana that means nawao wanafurahia hizi kejeli na matusi dhidi ya waislamu...nakosa imani na Mods..

Mkuu wangu wala uskasirike! Na mods wako safi tu!
Mi nakwenda nao sambamba hawa wagalatia mpaka yesu atakapo rudi!
Waislamu kutukanwa ni kama kunywa juice wala si jambo geni lkn cha ajabu wagalatia wana silimu kama wanalipwa!
Ndio utakapoona raha hapo!
Wee vuta kiti, kaa halafu angalia game tu!.wala ustie shakka!
Mi nimesoma shule ya kigalatia toka nina miaka 5 mpaka secondary na college yao pia!
Hapa nilipo nimejaa damu ya bwana kupita kiasi. Nnacho fanya ni kuwagawia hio damu kidogo kidogo!.
tuko pamoja.
 
Nilikua na sikiliza BBC Swahili muda si mrefu kuja na aliejiunga na alshabaab bila kujua alikua anaeleza!! Alibadili dini na kuanza kusoma ili aujue uislamu wakampeleka Somalia amejifunza hadi ugaidi na ahadi kibao kua akifa anakwenda mbinguni Kama shahidi! Na kua family yake italipwa vzr!! Sasa Yale mafunzo Ndio yalimtisha alikua anaanmbiwa uislam ni mzuri unaraha sasa zile raha Hakuna zaidi ya mafunzo ya kuua watu dogo kwa msaada wa mzee mwingine akatoroka kurudi Kenya!! Waislam muogopeni Mungu kuua watu wasio na hatia Ndio pepo huyo Mungu wenu a nashangaa!!

Habari za 72 virgins hizo, eti ukifa unakwenda kufanya ngono mbinguni
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom