jMali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 8,412
- 5,013
Wale waprotestan na wakatoliki wanaouwana kule Ireland ya Kaskazini,na wale Lord Resistence Army kina Koseph Kony,na Wale wa Sudan ya kusini,wanaouwa watu wasio na hatia walifundishwa na nani,wacha kichwa maji.Akili ni nyele kila mtu ana zake.
Hao ulowataja wanaua kupigania dini zao? au wana matatizo yao binafsi? mbona unachanganya mambo? Lini umesikia Kony kalipua bomu nchi nyingine zaidi ya Uganda?