Kanisa katoliki hatarini kuingia mikononi mwa mayahudi. Papa mtarajiwa ni adui kwa wapalestina na rafiki wa Isaac Herzog

Kanisa katoliki hatarini kuingia mikononi mwa mayahudi. Papa mtarajiwa ni adui kwa wapalestina na rafiki wa Isaac Herzog

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
10,488
Reaction score
16,646
Ule uchuro wa rais Donald Trump wa Marekani wa kuvaa mavazi ya papa wakati wakristo wakiomboleza unaonesha aliufanya kwa malengo maalum kwani unaonekana kujidhihirisha katika ukweli.

Kwa mara nyengine mafunzo ya kanisa katoliki yanaelekea kuvurugwa na mafunzo ya kiyahudi na huenda ikawa ndio mkorogo wa moja kwa moja kwani kadinali anayepewa nafasi kubwa kushinda upapa amekulia kwenye mazingira ya mayahudi na ni rafiki mkubwa wa raisi wa sasa wa Israel Isaac Herzog.

Kardinali Pierbattista Pizzaballa aliyezaliwa mwaka 1965 misimamo yake kuhusiana na masuala mengi ya kimataifa ni tofauti na papa Francis ambaye alifariki wiki mbili zilizopita.Sifa yake nyengine ni mtaalamu mkubwa wa lugha ya kiyahudi.

Kwa mfano Papa Francis mpaka anakufa alikuwa akiwahurumia sana wananchi wa Palestina na hasa Gaza.Kwa upande wake kardinali Pizzaballa mwaka 2023 aliwafurahisha sana viongozi wa Israel pale aliposema alitaka yeye achukue nafasi ya waliotekwa na Hamas ili mateka waachiwe.

Mbali na misimamo yake hiyo inayowapendelea mayahudi kardinali huyo hata mavazi yake na mitindo ya nywele yamefanana sana na mavazi ya yanayopendelewa na vijana wa cowash wa Marekani pamoja na rais Trump.
1746539985653.png

The Franciscan Cardinal Pierbattista Pizzaballa, who has served as the Latin patriarch of Jerusalem since 2020, has emerged as one of the top candidates to succeed the late Pope Francis.

The conclave will select the new Pope in Rome for the world’s more than 1 billion Catholics on Wednesday.

The Jesuit Pope Francis made Pizzaballa a cardinal in September 2023. The following month, Hamas terrorists invaded Israel, slaughtered more than 1,200 people and took more than 250 people hostage. Just a few weeks later, Pizzaballa declared he would offer himself as a hostage to the jihad terrorist movement Hamas in the Gaza Strip in exchange for the release of children kidnapped by the radical Islamists.

Source: Yahoo News
 
Hilo waachie wenyewe wakatoliki
Sisi sote ni ndugu.Haipendezi unamuona mwenzako anadidimia na wewe unazugazuga huku na kule bila kumsaidia kumpelekea mti.
Maaskofu walio nyumbani wamplelekee salamu kadinali Rugambwa haraka asije akapoteza kura yake.
 
Kachagueni na nyie kiongozi wenu atakaye futa ile maneno machafu machafu dhidi ya wakristo na wayahudi... vitabu vyenu vijamaa maneno ya laana dhidi ya wasio waislam.. eti Papa aliyepita aliwapenda Wapalestina kwa lipi haswa? maana ya Waabu kuitaka ardhi ya Israel mnamaanisha Waisrael wote muwaue waishe kabisa kwa maagizo ya Allah.. Papa alisema hayo lini? zaidi alizungumzia kipigo tu mnachokula kila day. kuwa Israel ni kama anaua mosquito kwa Nyundo tu maana yake na si vinginevyo...

Trump mwenyewe kasema hata haelewi hiyo picha imetoka wapi na alikuja taarifiwa tu na mkewe ambaye alisema anadhani mkewe aliipenda
 
Ndugu Webabu mimi nataka nikuhakikishie kwamba Pope hachaguliwi kama anavyochaguliwa kiongozi wa BAKWATA au Shura ya Maimamu hapo Tanzania.

Liweke hili kichwani litakusaidia hata siku nyengine kuacha kuandika vitu usovyovijua wala visivyokuhusu.
Si vibaya ukapiga hatua kidogo kutuelimisha kwa kutufafanulia zaidi tofauti zilizopo.
 
Ule uchuro wa rais Donald Trump wa Marekani wa kuvaa mavazi ya papa wakati wakristo wakiomboleza unaonesha aliufanya kwa malengo maalum kwani unaonekana kujidhihirisha katika ukweli.

Kwa mara nyengine mafunzo ya kanisa katoliki yanaelekea kuvurugwa na mafunzo ya kiyahudi na huenda ikawa ndio mkorogo wa moja kwa moja kwani kadinali anayepewa nafasi kubwa kushinda upapa amekulia kwenye mazingira ya mayahudi na ni rafiki mkubwa wa raisi wa sasa wa Israel Isaac Herzog.

Kardinali Pierbattista Pizzaballa aliyezaliwa mwaka 1965 misimamo yake kuhusiana na masuala mengi ya kimataifa ni tofauti na papa Francis ambaye alifariki wiki mbili zilizopita.Sifa yake nyengine ni mtaalamu mkubwa wa lugha ya kiyahudi.

Kwa mfano Papa Francis mpaka anakufa alikuwa akiwahurumia sana wananchi wa Palestina na hasa Gaza.Kwa upande wake kardinali Pizzaballa mwaka 2023 aliwafurahisha sana viongozi wa Israel pale aliposema alitaka yeye achukue nafasi ya waliotekwa na Hamas ili mateka waachiwe.

Mbali na misimamo yake hiyo inayowapendelea mayahudi kardinali huyo hata mavazi yake na mitindo ya nywele yamefanana sana na mavazi ya yanayopendelewa na vijana wa cowash wa Marekani pamoja na rais Trump.
View attachment 3326226

From the Holy Land to the Holy See: Cardinal Pizzaballa emerges as papal candidate

HAKUNA KARDINALI ANAYETEGEMEWA, HAPA SIYO CCM NA SAMIA KUWA ATARUBUNI KILA SECTOR, HAPANA.NI ROHO MTAKATIFU
 
Kobazi wanateseka,tulieni dozi iingie,papacy ndio mfumo mnao tamani uanguke ili mueneze uchuro wenu duniani kwa urahisi.
 
Back
Top Bottom