Kanipigia simu anaomba kesho Jumapili tuonane

Kanipigia simu anaomba kesho Jumapili tuonane

mlikutana kwenye daladala alikuwa na jamaa yake, ukalipa nauli ukarudishiwa elfu tano lakini bado ulifanikiwa kupata namba ya simu? halafu kwa bahati uliyonayo siku nyingine tena mkakutana bar ukila yeye yuko na bwanaake ikabidi akutambulishe (sjui nani mgeni nani mwenyeji?!) hapo hapo tena ukabahatika kuchungulia kiunoni/mfukoni kwa jamaa ukaona bastola?!...sounds legit.

Cjakuelewa unakotaka kuelekea mkuu hebu funguka ili tueleweshane
 
Acha uzembe wa kufikiria. Kwani mwanamke ni huyo tu. Nenda ukafe kama siyo kuliwa mande.
 
Watu wangekuwa woga wote, hakuna ambaye angesafiri na meli. Lakini tunawashukuru waliojitoa kusafiri mpaka mbali na kurudi kuwaeleza wenzao kuwa huko nako kuna watu.
Nenda shujaa, kama huna nia mbaya haofu ni nini? Pia, elewa kuwa ulifanya jema saana kumlipia nauli, anataka akulipe fadhila hofu yako ni nini?
Kama ukifanyiwa tofauti weye mkumbushe mdada kuwa hukutenda hiana iweje weye ulipwe hiana? Basi watakuachia tu. Wakikupiga picha bila pichu waambie huogopi kuonyeshwa humu jf kwani tuna habari zako na jinsi ulivyotenda mema.
 
Jaman hapa kinachotakiwa kwangu ni ushauri wenu tu baaaaaaasi.

Nikirejea nyuma kdg....kuna yule mdada niliyewahi kuwapa story zake hapa kuwa nilimlipia nauli kwny daladala then jamaa yake akanirudishia sh elfu 5, baada ya cku kadhaa tukaonana tena akaninunulia na bua moja ya kucndikiza lunch, baadae akanitambulisha tena kwa jamaa yake, jamaa akaniangalia kwa dharau sana hadi nikatamani kumnasa makofi baadae nikagundua kumbe dharau zake ni kwa sababu anamiliki bastola.

Hiyo sio habar niliyokuja nayo leo...hapo nilikuwa najaribu kuwarudisha nyuma ili muelewe ninachotaka kukiuliza kwenu, kama mtakumbuka yule mdafada alinipa simu yake nikaandika namba za simu yangu.

Sasa leo kwny saa 5 hivi asubuhi kanipigia na kuniomba kuwa nifanye niwezavyo lakin nihakikishe kesho tunaonana....... sasa hicho ndo ninachoomba ushauri kwenu wakuu, hivi niende au nisiende maana nahofia isijekuwa naingizwa kwny mtego mbaya.

Yan bastola ndio inampa huyo jamaa kiburi ??? Dah Sasa angekua pande zetu huku si ndio angetukana na watu barabarani. Mbna mambo madogo sana hayo. Hajakutana na wabishi tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom