Kanikuta nanunua boksa ya mtumba

Kanikuta nanunua boksa ya mtumba

Boxer ya mtumba?

Sikujua kama zama hizi bado kuna watu wananunua undergarments zilizokwishatumika!

Ni umaskini au......?
 
Ukikuta imefutikwa kama kiroba cha maharage utaanza kulalamika ooho inatoa uvundo asa kanyelamomo limerahisisha maisha unaikuta imeshapulizwa na upepo wa mungu dushe linaingia bila kukunja sura

Heehhee...ila kwa kweli dushe lingekua na macho mawili sijui ingekuaje...maana unaweza kutana na pori balaa.....mimi ndio maana siku hizi natembea na toothpick..manaa ukinyonya papuchi lazima utoetoe ma*uzi kwenye meno kama umetoka kula nyama vile.
 
Boxer ya mtumba?

Sikujua kama zama hizi bado kuna watu wananunua undergarments zilizokwishatumika!

Ni umaskini au......?

Ni umasikini baba...si unaona kila siku wanaongeza bei ya bia.....nasevu ili ninywe bia.
 
Heehhee...ila kwa kweli dushe lingekua na macho mawili sijui ingekuaje...maana unaweza kutana na pori balaa.....mimi ndio maana siku hizi natembea na toothpick..manaa ukinyonya papuchi lazima utoetoe ma*uzi kwenye meno kama umetoka kula nyama vile.

Ha ha ha haaa mi simooo napita tuu
 
uliingia kwa mbwembwe gani mkuuu....

Kwi,kwi,kwi....si unajua mjini hapa, window shopping A'Ks, manunuzi mwenge au karume kwenye mitumba......alijua niko juu. Bila kujifanya matawi hapa mjini kwa kweli papuchi utachora chini
 
Kwi,kwi,kwi....si unajua mjini hapa, window shopping A'Ks, manunuzi mwenge au karume kwenye mitumba......alijua niko juu. Bila kujifanya matawi hapa mjini kwa kweli papuchi utachora chini
aaah!aaaah!nilijua tu.....
 
Kwi,kwi,kwi....si unajua mjini hapa, window shopping A'Ks, manunuzi mwenge au karume kwenye mitumba......alijua niko juu. Bila kujifanya matawi hapa mjini kwa kweli papuchi utachora chini

Mbona mi nakependea hizo hizo pamba zako za karume na ilala boma
 
Mbona mi nakependea hizo hizo pamba zako za karume na ilala boma

Hahahhaa...du unajua vichochoro wewe...sasa utukute tunavyotembea kama maroboti huku samora......dah! nilihuzunika sana soko lilivyoungua
 
Kwa hiyo bora angekuta unanunua boxer ya sh.ngapii!!'
 
Nilipomuona mdada anakuja kwa mbali huku akinengua,basi mimi nikamrushia muuza mitumba boksa yake na kuanza kutembea huku nazuga ili mdada asinishtukie.......Huju jamaa muuza mitumba si akaanza kunikimbilia huku kaishika ile boksa juu....eti, "sema kaka una shilingi ngapi" Najifanya kama sio mimi vile mara akanipita akasimama mbele yangu, "Haya nipe basi hiyo buku mbili" bint huyu hapa kashafika, alichokifanya ni kunitabasamia tu.

Sipati picha hiyo boksa ilivokukaa kama nyanya Puzo....
 
Nilipomuona mdada anakuja kwa mbali huku akinengua,basi mimi nikamrushia muuza mitumba boksa yake na kuanza kutembea huku nazuga ili mdada asinishtukie.......Huju jamaa muuza mitumba si akaanza kunikimbilia huku kaishika ile boksa juu....eti, "sema kaka una shilingi ngapi" Najifanya kama sio mimi vile mara akanipita akasimama mbele yangu, "Haya nipe basi hiyo buku mbili" bint huyu hapa kashafika, alichokifanya ni kunitabasamia tu.

Hahahahhaaaa hahahaaaa hahahahhaaaaaaaa kho kho khooo khooooo!
 
Back
Top Bottom