Kanikuta nanunua boksa ya mtumba

Kanikuta nanunua boksa ya mtumba

Tatizo mnajifanya matawi sana...sasa huyu bidada nnavyomjua lazima ataenda kuntangaza..."mwaname mwenyewe anavaa boksa za mtumba nimpeleke wapi?"

Kutangazwa kwa mazuri au mabaya inategemea na kujiamini kwako hayaa wee mwenyewe kumsogolea na boxer ya mitumba miguu ilishakosa balance asa usitangazwe unaogopwa kwa lipi
 
benteke usione soo..sagula sagula...
images
 
Kutangazwa kwa mazuri au mabaya inategemea na kujiamini kwako hayaa wee mwenyewe kumsogolea na boxer ya mitumba miguu ilishakosa balance asa usitangazwe unaogopwa kwa lipi

Haya bwana...
 
Yaani wewe bwana hueshi vituko....Mkwara wako ukaikataa kama haikuhusu wakati umepunguziwa hadi elfu 2!
 
Yaani wewe bwana hueshi vituko....Mkwara wako ukaikataa kama haikuhusu wakati umepunguziwa hadi elfu 2!

Yaani...sasa muuza mitumba kauzu kweli....kainyua mbele ya uso wangu. kidogo nimzabe kibao
 
Nilipomuona mdada anakuja kwa mbali huku akinengua,basi mimi nikamrushia muuza mitumba boksa yake na kuanza kutembea huku nazuga ili mdada asinishtukie.......Huju jamaa muuza mitumba si akaanza kunikimbilia huku kaishika ile boksa juu....eti, "sema kaka una shilingi ngapi" Najifanya kama sio mimi vile mara akanipita akasimama mbele yangu, "Haya nipe basi hiyo buku mbili" bint huyu hapa kashafika, alichokifanya ni kunitabasamia tu.

Be yourself don't fake life
 
He!? hewa tena..mi naongelea sehemu ya kupitishia dushe.

Ukikuta imefutikwa kama kiroba cha maharage utaanza kulalamika ooho inatoa uvundo asa kanyelamomo limerahisisha maisha unaikuta imeshapulizwa na upepo wa mungu dushe linaingia bila kukunja sura
 
Back
Top Bottom