Mwanaume halilii mke, acha kuzalilisha jinsi yetu.
Hao unaokutana nao hawakupendi ndio maana hutoa hizo sababu
Nimebaini kuwa unatongoza vitoto visivyojua maisha.
Alafu unaonekana huna pesa za kutosha maana sisi watu wafupi kidogo huwa lazima tuwe na sifa za ziada ndio watupende lasivyo hutompata wakumuoa ndio maana wafupi tunasifiwa kuhandle, kugegeda, na aina yoyote ile ya kumthamini Lady.
Ila kumbuka kuwa wanawake wanavutwa sana na mwanaume smart na nadhifu pia elimu na kipato.
Sasa fikiri kaka ucje kuta huna cfa na unataka makubwa.
Wanawake wote duniani wanataka kuolewa na wanaume waliowazidi kila kitu, kuanzia urefu, pesa, elimu, n.k lakini kama huja mzidi jipange kaka kumshawishi kwa namna nyingine
Ila uoe kijana