Kanikataa kwa sababu ya Ufupi...!!

Kanikataa kwa sababu ya Ufupi...!!

Protection ipi mnayoitaka...?? Nina mafunzo ya Kumfu na Jaikondo,... Hiyo protection ni ya aina gani labda...??
Hujawahi ona wanaume warefu waoga..?? Tena ndo wengi wao
Sikia wewe sisi hatutaki overprotection ya manguvu mliyo nayo
Tunataka ulinzi katika kipato (uwezo)
Ulinzi katika muonekano (yaani unatembea huku uko comfortable kabisaa)n.k n.k n.k
Nguvu mwachie Matumla
 
Nimekuzidi kidogo mwenzako ft5n cm 11 lakini sina tatizo hilo pole sana mfupi mwenzangu
 
Back
Top Bottom