Kaniacha kisa jana nimelala lock up.

Kaniacha kisa jana nimelala lock up.

Aisee nitakuona bonge la bwege ukianza kulialia ili uruduwe na huyo bitch asiyejitambua
 
Unahisi demu wako ni mmoja kati yetu humu?
Ngoja nimsaidie kujibu nlitaka kusema possibly yes lakin ngoja niende na probably yes sababu the gen pop of women act indifferent and most of the time apathy...
 
Tatizo ni hizi sheria za kijima za kupangia watu muda wa kunywa pombe.
 
Unatetea upuuzi, jamaa kasema hapo kwamba hana kazi (saa 7 mchana anafanya nini baa? Alikuwa anadanga?)
Hata kama mishe zako Ulinzi usiku kama unashindaa Baa saa 7 mchana then you're a loser aka lofa
Ni nadra kukutana mtu mwenye ratiba ya kipuuzi hivyo akafanya vya msingi maishani
you are correct..
tujitahidi kuelimisha kwa lugha ambayo ina match pace ya mhusika..mtu wa saa saba bar ukitumia lugha kali mno jua unapaisha penati...kimbiza mbuzi kimya kimya ,,choma dawa kimya kimya imuingie kimya kimya
 
Huenda wewe ni mlevi wa kupindukia hivyo alikuwa anatafuta pa kutokea.
 
Kuna sheria ya vileo ni ya kipuuzi sana wakiamua kuitumia huna pa kuponea. Inasema siku za kazi baa zifunguliwe saa kumi jioni na weekend ni saa sita mchana. imepitwa na wakati ila ipo maana haijawahi futwa.
 
Wakuu

Chemistry ya wanawake inanishangaza sana.

Well saivi me ni jobless tu niko kitaa naunga unga maisha baada ya kuzinguana na aliyekua mwajiri wangu.
Sasa jana mtaani kwetu sikujua kama kulikua na operation ya police kukamata wazururaji na watu wanaokunywa pombe muda wa kazi.

Me kwenye saa 7 hivi mchana nikawa bar flani napiga safari lager zangu.mara nikaona raia wanatoka nduki sijakaa sawa police hao wakaniweka chini ya ulinzi tukafungwa mashati tukapakizwa kwenye cruza yao mpaka kituo cha police golani tukapewa mashtaka ya uzembe na uzururaji tukapigwa lock up.nikampigia the so called baby wangu aje anitoe au aniletee msosi akapotezea akasema nitajijua mwenyewe huko.

Basi asubuhi ya leo nikawacheck washkaji zangu flani wakaja pale wakanitoa lockup.

Mwanamke kasikia nimetoka ndani kanitumia ujumbe kuwa mimi na yeye basi hanitaki tena eti namtia aibu.
Ni sahihi wakuu?
Chai
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom