Kaniacha kisa jana nimelala lock up.

Kaniacha kisa jana nimelala lock up.

kimbiza mbuzi kimya kimya ,,choma dawa kimya kimya imuingie kimya kimya
Ni kweli unaloongea, kwa bahati mbaya as I get older nimechoka kuwa nice asee
Yaani nakaa na mtu ambaye umri unaendana na wangu lakini vitu anavyovifanya unajiuliza hivi wengine tumenyimwa uwezo wa kujitafakari?!
 
Na ukiniita loser nacheka tu, kwasababu watu mnaofanyakazi 9 to 5 Dar es salaam mna maisha magumu sana kuliko mpiga debe. Kwahiyo nikinywa bia asubuhi ujue sina boss kama wewe
Let me guess..... How is your life at the moment?
Are you a well rounded individual au bado unashinda baa na Marafiki mchana?
 
Aisee nitakuona bonge la bwege ukianza kulialia ili uruduwe na huyo bitch asiyejitambua
Asiyejitambua? Hiyo mwanamke kakwepa risasi asee
Atakuaje na bwana anakunywa bia saa 7 mchana na hana kazi; we huoni kajitua mzigo wa misumari?
 
Let me guess..... How is your life at the moment?
Are you a well rounded individual au bado unashinda baa na Marafiki mchana?

Bro, I'm settled and living above the evarage. Ndio maana nikasema acheni kukariri maisha
 
Sasa unataka sisi tumkatalie kwamba sio sahihi.

Keshasema unamtia aibu, hicho ndio sahihi kwake. Au unabisha?

Weka namba yake tumpigie tukupe ushahidi

Wakuu

Chemistry ya wanawake inanishangaza sana.

Well saivi me ni jobless tu niko kitaa naunga unga maisha baada ya kuzinguana na aliyekua mwajiri wangu.
Sasa jana mtaani kwetu sikujua kama kulikua na operation ya police kukamata wazururaji na watu wanaokunywa pombe muda wa kazi.

Me kwenye saa 7 hivi mchana nikawa bar flani napiga safari lager zangu.mara nikaona raia wanatoka nduki sijakaa sawa police hao wakaniweka chini ya ulinzi tukafungwa mashati tukapakizwa kwenye cruza yao mpaka kituo cha police golani tukapewa mashtaka ya uzembe na uzururaji tukapigwa lock up.nikampigia the so called baby wangu aje anitoe au aniletee msosi akapotezea akasema nitajijua mwenyewe huko.

Basi asubuhi ya leo nikawacheck washkaji zangu flani wakaja pale wakanitoa lockup.

Mwanamke kasikia nimetoka ndani kanitumia ujumbe kuwa mimi na yeye basi hanitaki tena eti namtia aibu.
Ni sahihi wakuu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom