Kona ya mabibo kuna petrol station...!!! Hahahahaha.
Ndoa ni taasisi ngumu, ila hpo pia tukumbuke kwmb tatizo sio ukosefu wa mapenzi, bali ni lack of friendship ndo inasababisha unhappy marriages. Ila ukweli ni kwamba HATUMSHIRIKISHI MUNGU WKT WA KUCHAGUA MUME/MKE. Wengi wanaolea genye na wanaangalia binti gani ni mzuri on bed. Baaaas..!!
Kma wanandoa wengi wangekuwa ni TRUE FRIENDS, namaanisha TRUE FRIENDS, ndoa ingekuwa ni a peaceful place to ease your pain na kuondoa stress zako za kila siku. Ila wengi hawana urafiki, na kwa wale wenye urafiki wengi wana urafiki wa kinafiki tu. Be true to ur man, be true to ur woman, utataman ungekuw umeoa toka ulipozaliwa na hutataman mwenzako afe.
Mbaya zaidi ni kwamba mkiwa marafiki sn, ikitokea mmoja ametangulia mbele ya haki, utaishi kwa shida sana.