Promo hyo,bt pole kwa uchumba sugu/tasaIlo nalo neno nina boyfriend ni mwaka Wa saba huu, hata nyumbani kwao hataki kunipeleka, najuana na marafiki zake tu..najipa moyo eti namsubiri akiwa tayari ila naona muda kwake haufiki..nazeeka buree...mambo haya magumu sana
Jiko ni jiko tu mradi dona liivela mkaa,la kuni au la gesi....lakin la gesi ndo linapika fasta eti mkuu?
Ha haa huenda kafunuliwaMshana hii thread umeniandikia mimi nini?
![]()
Mwaka wa 7 aisee R.I.P endelea kusubiria meli airportIlo nalo neno nina boyfriend nimwaka Wa saba huu, hata nyumbani kwao hataki kunipeleka, najuana na marafiki zake tu..najipa moyo eti namsubiri akiwa tayari ila naona muda kwake haufiki..nazeeka buree...mambo haya magumu sana
Duh! Mwaka wa saba hata kwao hujulikani?Ilo nalo neno nina boyfriend ni mwaka Wa saba huu, hata nyumbani kwao hataki kunipeleka, najuana na marafiki zake tu..najipa moyo eti namsubiri akiwa tayari ila naona muda kwake haufiki..nazeeka buree...mambo haya magumu sana
Mshana hii thread umeniandikia mimi nini?
![]()
Pole sana Dada miaka 7 sio mchezo! but jitafakari na uchukue maamuzi sahihi juu ya mustakabali wa maisha yako ya baadae isijekuwa anakupotezea muda tuu wakati ww umri unaenda; mwanamme na mwanamke in tofauti yy anaweza kuona at any age but ww chance ya kuolewa inazizid kupungua kadri umri unavyokwendaIlo nalo neno nina boyfriend ni mwaka Wa saba huu, hata nyumbani kwao hataki kunipeleka, najuana na marafiki zake tu..najipa moyo eti namsubiri akiwa tayari ila naona muda kwake haufiki..nazeeka buree...mambo haya magumu sana
Ilo nalo neno nina boyfriend ni mwaka Wa saba huu, hata nyumbani kwao hataki kunipeleka, najuana na marafiki zake tu..najipa moyo eti namsubiri akiwa tayari ila naona muda kwake haufiki..nazeeka buree...mambo haya magumu sana
Mwaka wa 7 aisee R.I.P endelea kusubiria meli airport
Duh! Mwaka wa saba hata kwao hujulikani?
Ni hatua gani ya maisha sasa miliyopo ie Bado wanafunzi au tayari mlishamaliza shule?
Kuna shida mahali, mahusiano ya miaka saba bila kujua kwao na pengine bila mtoto! Wanaokujua ni marafiki tuu ambao kiuhalisia ni watu baki...walau angekuwa keshakutambulisha kwao kungekuwa na chembe ya tumainiPole sana Dada miaka 7 sio mchezo! but jitafakari na uchukue maamuzi sahihi juu ya mustakabali wa maisha yako ya baadae isijekuwa anakupotezea muda tuu wakati ww umri unaenda; mwanamme na mwanamke in tofauti yy anaweza kuona at any age but ww chance ya kuolewa inazizid kupungua kadri umri unavyokwenda
Mim nilkua nae for good ten years na kwao alintambulisha lkn kujpanga kuja om ndo kujipanga..nkapata mwngn withn a year katangaza nia nikasepa... Shtuka bestIlo nalo neno nina boyfriend ni mwaka Wa saba huu, hata nyumbani kwao hataki kunipeleka, najuana na marafiki zake tu..najipa moyo eti namsubiri akiwa tayari ila naona muda kwake haufiki..nazeeka buree...mambo haya magumu sana
Uchumba sugu siku hizi ndo fasheni, mwanaume anakwambia bado hajajipanga!Mim nilkua nae for good ten years na kwao alintambulisha lkn kujpanga kuja om ndo kujipanga..nkapata mwngn withn a year katangaza nia nikasepa... Shtuka best