dracular
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 769
- 1,073
Kuna kitu kimoja cha muhimu sana watu tunashindwa kukijua,,,ambacho ni lengo la sisi kuishi hapa duniani,,, kitu muhimu sana kwa maisha ya binadamu ni furaha na amani,,, tunaenda shule kusoma ili tupate elimu ili ije itusaidie kutupa furaha na amani,, tunafanya kazi ngumu ili tupate pesa then mwisho wa siku tupate furaha na amani,,, USIKUBALI kumpa mtu dhamana yako ya furaha na amani,,, narudia tena epuka kabisa kitu kitakacho kunyima furaha maana utakuwa mtumwa wa kujitakia so tusi force love kwa ajiri ya amani na furaha yetu hapa duniani,,, tujikubali sisi ni wa thamani sana na tuna stahili kupendwa na kuheshimiwa!!!!
