Kamwe usilazimishe mahusiano/ndoa

Kamwe usilazimishe mahusiano/ndoa

Tulianza tukiwa chuo 1st yr now in 4 yrs tumemaliza chuo na wote tunafanya kazi nzuri tu, ila huyu bwana hana mpango kanisaa tho wrote no under 30yrs may be he is too young but Kwa msichana umri unapepea
Mume wako yuko mahali ana mwingine ila hamjakutana tuu n trust me atakuwa mkubwa kwako si chini ya miaka 5
 
Pole sana Dada miaka 7 sio mchezo! but jitafakari na uchukue maamuzi sahihi juu ya mustakabali wa maisha yako ya baadae isijekuwa anakupotezea muda tuu wakati ww umri unaenda; mwanamme na mwanamke in tofauti yy anaweza kuona at any age but ww chance ya kuolewa inazizid kupungua kadri umri unavyokwenda
Haha chance itapungua endapo na mwanadada hajitengenezei kipato cha kujikrep na kufanya maendeleo yake binafsi
 
.
tapatalk_1565782453280.jpeg
 
 
Back
Top Bottom