Kichwamoto
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 3,353
- 4,535
Duuh wagonjwa wengi kuna ligi za ajabu ungetupia kwa mpalange kama wote. Ndezi wa aina hii ni wa kuwapa hadi sumu au tindikali
Hajui anajifariji, watu kama yeye hajui wanawake walivyo...huyu ni maboya katika maboya..Boss kwa swaga hizi utakuwa unagongewa sana trust me. Nilifikiri mkeo alikwambia kwamba jamaa anamtongoza, kumbe wewe ndio ulifumania mkonyezo. Huwezi jua labda almkonyeza kumkumbusha asisahau ahadi ya kukutana tena loji kama kawaida yao.
Baharia wew ni mwamba ila ulichofanya ni upuuzi tuu, naamini huyo unaemsifu mzuri na kutishia watu kuwalia wake zao ipo siku utafurahi katika nafsi...Habari Wakuu!
Moja Kwa moja kwenye Uzi!
Kuna kajamaa kana fanya kazi pale Hazina, ninakaa mtaa mmoja nako, kalianza mazoea na Mke wangu, kana mchekea chekea,
Kama mshobokea, na kujifanya kana-Care. Sasa hakakujua kanadili na Jokajeusi lisilo na huruma, lenye hila za kiwango cha lami.
Nilitamani mshikaji asome zile simulizi za Nondo MLA watu huenda angekaa mbali na Mke wangu.
Subili yatakukutaHabari Wakuu!
Moja Kwa moja kwenye Uzi!
Kuna kajamaa kana fanya kazi pale Hazina, ninakaa mtaa mmoja nako, kalianza mazoea na Mke wangu, kana mchekea chekea,
Kama mshobokea, na kujifanya kana-Care. Sasa hakakujua kanadili na Jokajeusi lisilo na huruma, lenye hila za kiwango cha lami.
Nilitamani mshikaji asome zile simulizi za Nondo MLA watu huenda angekaa mbali na Mke wangu.
Ingawaje mke wangu naye kazidi uzuri Hali inayowavuta wanaume wakware WA mjini.
Sasa mshikaji wiki mbili zilizopita nikamfuma anamkonyeza mke wangu, hapohapo nikamwambia Kama unahamu ya kuliwa Mke wako useme. Maana mke wangu huwezi na ndio maana umehangaika hii zaidi ya wiki tatu. Nikamwambia Ninajua kila kinachoendelea, hivyo ajiandae kujibiwa na Jokajeusi. Nilimuambia kuna project naimalizia huko Dodoma, nikiimaliza nitaanza kumjibu Kwa nguvu zote. Akawa ananicheka CHEKA akiwa na mtoto wake wa miaka Kama nane hivi. Anajifanya anaomba Radhi, nikamwambia huna haja ya kuomba radhi kwani maji umeyavulia nguo sharti uyaoge.
Mke wangu nilimchukua Brand New, mpya kabisa nikakata utepe mwenyewe. Sina wasiwasi na yeye kwani Mali hii naijua. Imetoka kiwandani ikafikia kwangu, mnyamwezi.
Sasa nimerudi Dsm wiki iliyopita nikiwa nimemaliza Project ya Dodoma, mashambulizi yote nikayaelekezea huko Kwa jirani yangu wa Hazina.
Ndani ya siku tatu tuu nikawa nimeteka Mji, vita ninavijua, sio ardhini, majini au angani. Mke wake amesalimu amri kaninyoshea mikono juu. Nimemsaura juzi jumamosi, Nimepiga nikajipigia.
Alafu nilidhani vita yangu ingechukua siku Saba mpaka kumi lakini kumbe nilikadiria tofauti. Ndani ya siku tatu tuu nikaangusha ngome.
Sasa Jana jtumetoka kanisani, mshikaji ananivuta pembeni ananiomba radhi Kwa Yale yaliyotokea wiki mbili zilizopita, kuhusu kumkonyeza mke wangu. Nikamwambia nimeshamaliza project ya Dodoma hivyo ategemee lolote yangu niliporudi. Akaleta habari za Ukristo na wanafunzi wake, mara sijui tusamehe Saba mara sabini.
Nikamjibu nikamwambia Mimi sio Mfuasi wala sio mwanafunzi WA Kristo, Mimi ni Mfuasi wa Musa, natumia kanuni ya Jino Kwa jino. Hivyo ategemee kujibiwa au huenda nimeshajibu shambulizi.
Mke wake alikuwa kwenye Gari ananitazama Kwa wasiwasi sijui alidhani nitasema au tumeshtukiwa!
Jioni yake ananitumia sms Kwa namba ngeni ananiuliza tuliyokuwa tunazungumza, nikampandia hewani tukaongea weewh! Tumepata jumatano tena tukakiwashe tena. Mtoto kadai kanogewa.
Kanikonyezea mke, Mimi nimemlia mke wake. Na akicheza nitamtia mimba ili iwe fundisho Kwa wengine wanaoingia anga za wahuni, majoka ya kale yanayoishi Zama hizi.
Mtu akimtongoza Mkeo, wala usihangaike naye, nenda kamlale mke wake, na kama anawatoto wakubwa piga wote.
Hashangai Kwa nini mke wangu mtaani anaogopwa Kama ukoma na Wanaume. Kwa sababu nilishaongea kwenye mtaa kabisa kuwa atakayekutwa na Mke wangu ategemee kujibiwa Kwa nguvu zote.
Bikra matter's
Habari Wakuu!
Moja Kwa moja kwenye Uzi!
Kuna kajamaa kana fanya kazi pale Hazina, ninakaa mtaa mmoja nako, kalianza mazoea na Mke wangu, kana mchekea chekea,
Kama mshobokea, na kujifanya kana-Care. Sasa hakakujua kanadili na Jokajeusi lisilo na huruma, lenye hila za kiwango cha lami.
Nilitamani mshikaji asome zile simulizi za Nondo MLA watu huenda angekaa mbali na Mke wangu.
Ingawaje mke wangu naye kazidi uzuri Hali inayowavuta wanaume wakware WA mjini.
Sasa mshikaji wiki mbili zilizopita nikamfuma anamkonyeza mke wangu, hapohapo nikamwambia Kama unahamu ya kuliwa Mke wako useme. Maana mke wangu huwezi na ndio maana umehangaika hii zaidi ya wiki tatu. Nikamwambia Ninajua kila kinachoendelea, hivyo ajiandae kujibiwa na Jokajeusi. Nilimuambia kuna project naimalizia huko Dodoma, nikiimaliza nitaanza kumjibu Kwa nguvu zote. Akawa ananicheka CHEKA akiwa na mtoto wake wa miaka Kama nane hivi. Anajifanya anaomba Radhi, nikamwambia huna haja ya kuomba radhi kwani maji umeyavulia nguo sharti uyaoge.
Mke wangu nilimchukua Brand New, mpya kabisa nikakata utepe mwenyewe. Sina wasiwasi na yeye kwani Mali hii naijua. Imetoka kiwandani ikafikia kwangu, mnyamwezi.
Sasa nimerudi Dsm wiki iliyopita nikiwa nimemaliza Project ya Dodoma, mashambulizi yote nikayaelekezea huko Kwa jirani yangu wa Hazina.
Ndani ya siku tatu tuu nikawa nimeteka Mji, vita ninavijua, sio ardhini, majini au angani. Mke wake amesalimu amri kaninyoshea mikono juu. Nimemsaura juzi jumamosi, Nimepiga nikajipigia.
Alafu nilidhani vita yangu ingechukua siku Saba mpaka kumi lakini kumbe nilikadiria tofauti. Ndani ya siku tatu tuu nikaangusha ngome.
Sasa Jana jtumetoka kanisani, mshikaji ananivuta pembeni ananiomba radhi Kwa Yale yaliyotokea wiki mbili zilizopita, kuhusu kumkonyeza mke wangu. Nikamwambia nimeshamaliza project ya Dodoma hivyo ategemee lolote yangu niliporudi. Akaleta habari za Ukristo na wanafunzi wake, mara sijui tusamehe Saba mara sabini.
Nikamjibu nikamwambia Mimi sio Mfuasi wala sio mwanafunzi WA Kristo, Mimi ni Mfuasi wa Musa, natumia kanuni ya Jino Kwa jino. Hivyo ategemee kujibiwa au huenda nimeshajibu shambulizi.
Mke wake alikuwa kwenye Gari ananitazama Kwa wasiwasi sijui alidhani nitasema au tumeshtukiwa!
Jioni yake ananitumia sms Kwa namba ngeni ananiuliza tuliyokuwa tunazungumza, nikampandia hewani tukaongea weewh! Tumepata jumatano tena tukakiwashe tena. Mtoto kadai kanogewa.
Kanikonyezea mke, Mimi nimemlia mke wake. Na akicheza nitamtia mimba ili iwe fundisho Kwa wengine wanaoingia anga za wahuni, majoka ya kale yanayoishi Zama hizi.
Mtu akimtongoza Mkeo, wala usihangaike naye, nenda kamlale mke wake, na kama anawatoto wakubwa piga wote.
Hashangai Kwa nini mke wangu mtaani anaogopwa Kama ukoma na Wanaume. Kwa sababu nilishaongea kwenye mtaa kabisa kuwa atakayekutwa na Mke wangu ategemee kujibiwa Kwa nguvu zote.
Bikra matter's
Jomba punguza hasira japo umechapiwa,umeandika thd kwa hasira iliyopitiliza na mikwala yako ya Shule ya msingi.
Wakubwa tumekuelewa.
Kapigiwa huyu tayari, vijana wamemaliza kazi. Bikra sio kigezo cha kutotafunwa.Boss kwa swaga hizi utakuwa unagongewa sana trust me. Nilifikiri mkeo alikwambia kwamba jamaa anamtongoza, kumbe wewe ndio ulifumania mkonyezo. Huwezi jua labda almkonyeza kumkumbusha asisahau ahadi ya kukutana tena loji kama kawaida yao.
Safi sana Mkuu, nilikuwa nasoma hapa kitabu cha 33 strategies of War, nilipoiona hii post nikasitisha kidogo kusoma kitabu hiki, sasa nimemaliza kusoma post yako nimerudi tena kusoma hiki kitabu huku nikitabasamu.Habari Wakuu!
Moja Kwa moja kwenye Uzi!
Kuna kajamaa kana fanya kazi pale Hazina, ninakaa mtaa mmoja nako, kalianza mazoea na mke wangu, kana mchekeachekea, kana mshobokea na kujifanya kana-care. Sasa hakakujua kanadili na Jokajeusi lisilo na huruma, lenye hila za kiwango cha lami.
Nilitamani mshikaji asome zile simulizi za Nondo MLA watu huenda angekaa mbali na mke wangu.
Ingawaje mke wangu naye kazidi uzuri hali inayowavuta wanaume wakware wa mjini.
Sasa mshikaji wiki mbili zilizopita nikamfuma anamkonyeza mke wangu, hapohapo nikamwambia kama una hamu ya kuliwa mke wako useme. Maana mke wangu huwezi na ndio maana umehangaika hii zaidi ya wiki tatu. Nikamwambia Ninajua kila kinachoendelea, hivyo ajiandae kujibiwa na Jokajeusi. Nilimuambia kuna project naimalizia huko Dodoma, nikiimaliza nitaanza kumjibu kwa nguvu zote. Akawa ananicheka CHEKA akiwa na mtoto wake wa miaka kama nane hivi. Anajifanya anaomba radhi, nikamwambia huna haja ya kuomba radhi kwani maji umeyavulia nguo sharti uyaoge.
Mke wangu nilimchukua Brand New, mpya kabisa nikakata utepe mwenyewe. Sina wasiwasi na yeye kwani mali hii naijua. Imetoka kiwandani ikafikia kwangu, mnyamwezi.
Sasa nimerudi DSM wiki iliyopita nikiwa nimemaliza Project ya Dodoma, mashambulizi yote nikayaelekezea huko kwa jirani yangu wa Hazina.
Ndani ya siku tatu tuu nikawa nimeteka Mji, vita ninavijua, sio ardhini, majini au angani. Mke wake amesalimu amri kaninyoshea mikono juu. Nimemsaura juzi Jumamosi, nimepiga nikajipigia.
Halafu nilidhani vita yangu ingechukua siku saba mpaka kumi lakini kumbe nilikadiria tofauti. Ndani ya siku tatu tuu nikaangusha ngome.
Sasa jana tumetoka kanisani, mshikaji ananivuta pembeni ananiomba radhi kwa yale yaliyotokea wiki mbili zilizopita, kuhusu kumkonyeza mke wangu. Nikamwambia nimeshamaliza project ya Dodoma hivyo ategemee lolote yangu niliporudi. Akaleta habari za Ukristo na wanafunzi wake, mara sijui tusamehe Saba mara sabini.
Nikamjibu nikamwambia mimi siyo mfuasi wala siyo mwanafunzi wa Kristo, mimi ni Mfuasi wa Musa, natumia kanuni ya Jino Kwa jino. Hivyo ategemee kujibiwa au huenda nimeshajibu shambulizi.
Mke wake alikuwa kwenye gari ananitazama kwa wasiwasi sijui alidhani nitasema au tumeshtukiwa!
Jioni yake ananitumia SMS kwa namba ngeni ananiuliza tuliyokuwa tunazungumza, nikampandia hewani tukaongea weewh! Tumepata Jumatano tena tukakiwashe tena. Mtoto kadai kanogewa.
Kanikonyezea mke, mimi nimemlia mke wake. Na akicheza nitamtia mimba ili iwe fundisho Kwa wengine wanaoingia anga za wahuni, majoka ya kale yanayoishi Zama hizi.
Mtu akimtongoza Mkeo, wala usihangaike naye, nenda kamlale mke wake, na kama anawatoto wakubwa piga wote.
Hashangai kwa nini mke wangu mtaani anaogopwa kama ukoma na Wanaume. Kwa sababu nilishaongea kwenye mtaa kabisa kuwa atakayekutwa na Mke wangu ategemee kujibiwa Kwa nguvu zote.
Bikra matter's
Ngoja siku ufumuliwe marinda tuone huo u joka jeusi wako.Tena unafumuliwa na mkeo akiwa anaona.Habari Wakuu!
Moja Kwa moja kwenye Uzi!
Kuna kajamaa kana fanya kazi pale Hazina, ninakaa mtaa mmoja nako, kalianza mazoea na mke wangu, kana mchekeachekea, kana mshobokea na kujifanya kana-care. Sasa hakakujua kanadili na Jokajeusi lisilo na huruma, lenye hila za kiwango cha lami.
Nilitamani mshikaji asome zile simulizi za Nondo MLA watu huenda angekaa mbali na mke wangu.
Ingawaje mke wangu naye kazidi uzuri hali inayowavuta wanaume wakware wa mjini.
Sasa mshikaji wiki mbili zilizopita nikamfuma anamkonyeza mke wangu, hapohapo nikamwambia kama una hamu ya kuliwa mke wako useme. Maana mke wangu huwezi na ndio maana umehangaika hii zaidi ya wiki tatu. Nikamwambia Ninajua kila kinachoendelea, hivyo ajiandae kujibiwa na Jokajeusi. Nilimuambia kuna project naimalizia huko Dodoma, nikiimaliza nitaanza kumjibu kwa nguvu zote. Akawa ananicheka CHEKA akiwa na mtoto wake wa miaka kama nane hivi. Anajifanya anaomba radhi, nikamwambia huna haja ya kuomba radhi kwani maji umeyavulia nguo sharti uyaoge.
Mke wangu nilimchukua Brand New, mpya kabisa nikakata utepe mwenyewe. Sina wasiwasi na yeye kwani mali hii naijua. Imetoka kiwandani ikafikia kwangu, mnyamwezi.
Sasa nimerudi DSM wiki iliyopita nikiwa nimemaliza Project ya Dodoma, mashambulizi yote nikayaelekezea huko kwa jirani yangu wa Hazina.
Ndani ya siku tatu tuu nikawa nimeteka Mji, vita ninavijua, sio ardhini, majini au angani. Mke wake amesalimu amri kaninyoshea mikono juu. Nimemsaura juzi Jumamosi, nimepiga nikajipigia.
Halafu nilidhani vita yangu ingechukua siku saba mpaka kumi lakini kumbe nilikadiria tofauti. Ndani ya siku tatu tuu nikaangusha ngome.
Sasa jana tumetoka kanisani, mshikaji ananivuta pembeni ananiomba radhi kwa yale yaliyotokea wiki mbili zilizopita, kuhusu kumkonyeza mke wangu. Nikamwambia nimeshamaliza project ya Dodoma hivyo ategemee lolote yangu niliporudi. Akaleta habari za Ukristo na wanafunzi wake, mara sijui tusamehe Saba mara sabini.
Nikamjibu nikamwambia mimi siyo mfuasi wala siyo mwanafunzi wa Kristo, mimi ni Mfuasi wa Musa, natumia kanuni ya Jino Kwa jino. Hivyo ategemee kujibiwa au huenda nimeshajibu shambulizi.
Mke wake alikuwa kwenye gari ananitazama kwa wasiwasi sijui alidhani nitasema au tumeshtukiwa!
Jioni yake ananitumia SMS kwa namba ngeni ananiuliza tuliyokuwa tunazungumza, nikampandia hewani tukaongea weewh! Tumepata Jumatano tena tukakiwashe tena. Mtoto kadai kanogewa.
Kanikonyezea mke, mimi nimemlia mke wake. Na akicheza nitamtia mimba ili iwe fundisho Kwa wengine wanaoingia anga za wahuni, majoka ya kale yanayoishi Zama hizi.
Mtu akimtongoza Mkeo, wala usihangaike naye, nenda kamlale mke wake, na kama anawatoto wakubwa piga wote.
Hashangai kwa nini mke wangu mtaani anaogopwa kama ukoma na Wanaume. Kwa sababu nilishaongea kwenye mtaa kabisa kuwa atakayekutwa na Mke wangu ategemee kujibiwa Kwa nguvu zote.
Bikra matter's
Vuguvugu la kuteka miji ya UkraineHabari Wakuu!
Moja Kwa moja kwenye Uzi!
Kuna kajamaa kana fanya kazi pale Hazina, ninakaa mtaa mmoja nako, kalianza mazoea na mke wangu, kana mchekeachekea, kana mshobokea na kujifanya kana-care. Sasa hakakujua kanadili na Jokajeusi lisilo na huruma, lenye hila za kiwango cha lami.
Nilitamani mshikaji asome zile simulizi za Nondo MLA watu huenda angekaa mbali na mke wangu.
Ingawaje mke wangu naye kazidi uzuri hali inayowavuta wanaume wakware wa mjini.
Sasa mshikaji wiki mbili zilizopita nikamfuma anamkonyeza mke wangu, hapohapo nikamwambia kama una hamu ya kuliwa mke wako useme. Maana mke wangu huwezi na ndio maana umehangaika hii zaidi ya wiki tatu. Nikamwambia Ninajua kila kinachoendelea, hivyo ajiandae kujibiwa na Jokajeusi. Nilimuambia kuna project naimalizia huko Dodoma, nikiimaliza nitaanza kumjibu kwa nguvu zote. Akawa ananicheka CHEKA akiwa na mtoto wake wa miaka kama nane hivi. Anajifanya anaomba radhi, nikamwambia huna haja ya kuomba radhi kwani maji umeyavulia nguo sharti uyaoge.
Mke wangu nilimchukua Brand New, mpya kabisa nikakata utepe mwenyewe. Sina wasiwasi na yeye kwani mali hii naijua. Imetoka kiwandani ikafikia kwangu, mnyamwezi.
Sasa nimerudi DSM wiki iliyopita nikiwa nimemaliza Project ya Dodoma, mashambulizi yote nikayaelekezea huko kwa jirani yangu wa Hazina.
Ndani ya siku tatu tuu nikawa nimeteka Mji, vita ninavijua, sio ardhini, majini au angani. Mke wake amesalimu amri kaninyoshea mikono juu. Nimemsaura juzi Jumamosi, nimepiga nikajipigia.
Halafu nilidhani vita yangu ingechukua siku saba mpaka kumi lakini kumbe nilikadiria tofauti. Ndani ya siku tatu tuu nikaangusha ngome.
Sasa jana tumetoka kanisani, mshikaji ananivuta pembeni ananiomba radhi kwa yale yaliyotokea wiki mbili zilizopita, kuhusu kumkonyeza mke wangu. Nikamwambia nimeshamaliza project ya Dodoma hivyo ategemee lolote yangu niliporudi. Akaleta habari za Ukristo na wanafunzi wake, mara sijui tusamehe Saba mara sabini.
Nikamjibu nikamwambia mimi siyo mfuasi wala siyo mwanafunzi wa Kristo, mimi ni Mfuasi wa Musa, natumia kanuni ya Jino Kwa jino. Hivyo ategemee kujibiwa au huenda nimeshajibu shambulizi.
Mke wake alikuwa kwenye gari ananitazama kwa wasiwasi sijui alidhani nitasema au tumeshtukiwa!
Jioni yake ananitumia SMS kwa namba ngeni ananiuliza tuliyokuwa tunazungumza, nikampandia hewani tukaongea weewh! Tumepata Jumatano tena tukakiwashe tena. Mtoto kadai kanogewa.
Kanikonyezea mke, mimi nimemlia mke wake. Na akicheza nitamtia mimba ili iwe fundisho Kwa wengine wanaoingia anga za wahuni, majoka ya kale yanayoishi Zama hizi.
Mtu akimtongoza Mkeo, wala usihangaike naye, nenda kamlale mke wake, na kama anawatoto wakubwa piga wote.
Hashangai kwa nini mke wangu mtaani anaogopwa kama ukoma na Wanaume. Kwa sababu nilishaongea kwenye mtaa kabisa kuwa atakayekutwa na Mke wangu ategemee kujibiwa Kwa nguvu zote.
Bikra matter's
Habari Wakuu!
Moja Kwa moja kwenye Uzi!
Kuna kajamaa kana fanya kazi pale Hazina, ninakaa mtaa mmoja nako, kalianza mazoea na mke wangu, kana mchekeachekea, kana mshobokea na kujifanya kana-care. Sasa hakakujua kanadili na Jokajeusi lisilo na huruma, lenye hila za kiwango cha lami.
Nilitamani mshikaji asome zile simulizi za Nondo MLA watu huenda angekaa mbali na mke wangu.
Ingawaje mke wangu naye kazidi uzuri hali inayowavuta wanaume wakware wa mjini.
Sasa mshikaji wiki mbili zilizopita nikamfuma anamkonyeza mke wangu, hapohapo nikamwambia kama una hamu ya kuliwa mke wako useme. Maana mke wangu huwezi na ndio maana umehangaika hii zaidi ya wiki tatu. Nikamwambia Ninajua kila kinachoendelea, hivyo ajiandae kujibiwa na Jokajeusi. Nilimuambia kuna project naimalizia huko Dodoma, nikiimaliza nitaanza kumjibu kwa nguvu zote. Akawa ananicheka CHEKA akiwa na mtoto wake wa miaka kama nane hivi. Anajifanya anaomba radhi, nikamwambia huna haja ya kuomba radhi kwani maji umeyavulia nguo sharti uyaoge.
Mke wangu nilimchukua Brand New, mpya kabisa nikakata utepe mwenyewe. Sina wasiwasi na yeye kwani mali hii naijua. Imetoka kiwandani ikafikia kwangu, mnyamwezi.
Sasa nimerudi DSM wiki iliyopita nikiwa nimemaliza Project ya Dodoma, mashambulizi yote nikayaelekezea huko kwa jirani yangu wa Hazina.
Ndani ya siku tatu tuu nikawa nimeteka Mji, vita ninavijua, sio ardhini, majini au angani. Mke wake amesalimu amri kaninyoshea mikono juu. Nimemsaura juzi Jumamosi, nimepiga nikajipigia.
Halafu nilidhani vita yangu ingechukua siku saba mpaka kumi lakini kumbe nilikadiria tofauti. Ndani ya siku tatu tuu nikaangusha ngome.
Sasa jana tumetoka kanisani, mshikaji ananivuta pembeni ananiomba radhi kwa yale yaliyotokea wiki mbili zilizopita, kuhusu kumkonyeza mke wangu. Nikamwambia nimeshamaliza project ya Dodoma hivyo ategemee lolote yangu niliporudi. Akaleta habari za Ukristo na wanafunzi wake, mara sijui tusamehe Saba mara sabini.
Nikamjibu nikamwambia mimi siyo mfuasi wala siyo mwanafunzi wa Kristo, mimi ni Mfuasi wa Musa, natumia kanuni ya Jino Kwa jino. Hivyo ategemee kujibiwa au huenda nimeshajibu shambulizi.
Mke wake alikuwa kwenye gari ananitazama kwa wasiwasi sijui alidhani nitasema au tumeshtukiwa!
Jioni yake ananitumia SMS kwa namba ngeni ananiuliza tuliyokuwa tunazungumza, nikampandia hewani tukaongea weewh! Tumepata Jumatano tena tukakiwashe tena. Mtoto kadai kanogewa.
Kanikonyezea mke, mimi nimemlia mke wake. Na akicheza nitamtia mimba ili iwe fundisho Kwa wengine wanaoingia anga za wahuni, majoka ya kale yanayoishi Zama hizi.
Mtu akimtongoza Mkeo, wala usihangaike naye, nenda kamlale mke wake, na kama anawatoto wakubwa piga wote.
Hashangai kwa nini mke wangu mtaani anaogopwa kama ukoma na Wanaume. Kwa sababu nilishaongea kwenye mtaa kabisa kuwa atakayekutwa na Mke wangu ategemee kujibiwa Kwa nguvu zote.
Bikra matter's
Huna utakalo mwambia Jokajeusi.
Njoo umle na wewe, hii ni Mali kutoka kiwandani, haijapitia Kwa wachuuzi.
Pia ukisoma vizuri utaelewa kuwa nimesema huyu mtu wa Hazina kamfuatilia mke wangu zaidi ya wiki tatu kaambulia patupu.
Huwaga majoka hatusubiri tuambiwe na wanawake, bali Sisi wenyewe kupitia uchunguzi wetu tunajua kila kinachoendelea
Karibu umtongoze mke WA Jokajeusi nawe uliwe Mkeo na wewe mwenyewe
Wewe Muongo Mke wako analiwa sana tuu tena Kisela…
Unedanganya watu hapa…eti Umemla Mke wa Jamaa…100% Huna Miaka hata 5Kwwnye Ndoa wewe ndio Maana Unasema haya…Oooh sijui Mke wangu…Mke wangu…Mke wangu nampenda Kuliko chochote duniani…na Blaa blaa zingine
Ngoja siku ufumuliwe marinda tuone huo u joka jeusi wako.Tena unafumuliwa na mkeo akiwa anaona.
Ushauri wangu.
Usipende kulipiza kisasi kwasababu kuna wakulungwa Wana mioyo ya ajabu, Yaani anamkaza mkeo,wewe,wanao halafu anamalizia kwa kukuondoa roho.
Baharia wew ni mwamba ila ulichofanya ni upuuzi tuu, naamini huyo unaemsifu mzuri na kutishia watu kuwalia wake zao ipo siku utafurahi katika nafsi...