Mkuu mubali usimubali mkeo analiwa kabsaaa. Usijipe moyo et kukata utepe ndo atatulia. Huenda ndo ulifungulia mbwa wafanye yao. Jaribu kufuatilia kimya kimya, utakuja kufuta huu uzi
Boss kwa swaga hizi utakuwa unagongewa sana trust me. Nilifikiri mkeo alikwambia kwamba jamaa anamtongoza, kumbe wewe ndio ulifumania mkonyezo. Huwezi jua labda almkonyeza kumkumbusha asisahau ahadi ya kukutana tena loji kama kawaida yao.
Bro nilikua nnawasiwasi umepita na wife naona umenithibitishia sasa we mwenyewe. Naomba uendelee tu maana saivi ananiheshimu sana, anahisi mimi najua chochote. We faidi mautamu ya wife
Hongera sana una roho mbaya kama yangu. Kuna zoba alipigia simu mke wangu saa 4 ya usiku akaanza tongoza. Jamaa anaishi Musoma kikazi na yeye kaoa. Nilichofanya nilimuuliza wife huyo nani akanijibu fulani.
Nilitumia njia za kigaidi nikazama mitandaoni kumtafuta, nikafika Meta nikacheck profile yake nikaona ana mke, nikamcheck mkewe tukaanza chart haikupita mwezi nikamvuta Dar nikaja kumuulia mtaani kwetu. Kwa sababu yeye alikuwa ajui nini kinachoendelea wala hakupinga kupiga picha za mahaba. Kumpa onyo nikamtumia yule bwege picha moja ya mkewe akiwa peke yake kitandani.
Nilichoshangaa jamaa kawa mkali kama pilipili, nikacheka saaaana.
pole kwa ni uzinzi. pia nakupa pole kwamba mkeo alikonyezwa na alikuwa na mazoea na huyo jamaa lakini wewe unajipa imani kwamba mkeo ni mwaminifu. kwa mwanamke mwaminifu ile kujaribu kumkonyeza tu utaomba poo. endelea kujipa moyo manake ukiyajua mengi utaumia moyo bure. tufanye mkeo ni mwaminifu na hajawahi gongwa na huyo jamaa. over.
Ukiachana na story za Jokajeusi hâta mimi siwezi kuliwa mke wangu.Atakae mla mke wangu basi atakuwa kajipanga sana kwenye kila idara, na akifanikisha basi itakuwa alidhamiria sana, kitu ambacho katika hali ya kawaida ni ngumu sana.
Kwanza swala la kunitongoza tu,mtageuka maadui wa kiwango cha SGR, lakini pia ili unitombee mke wangu na utoke salama kwenye mbususu unahitaji kujipanga haswa.
Kwahiyo sio kula mke wa mtu utaweza kumla, na ni ukweli BIKRA matters.
Ulipaswa umsamehe maana alikuomba msamaha! Usikubali kutumiwa na shetani! Uanamume rijali ni kuwa na uwezo wa kukataa na kushinda maovu! Uzinzi ni ishara ya wazi kabisa kwamba wewe ni dhaifu! Mwanaume wa nguvu hatekwi na wanawake kirahisi hivyo! Wanaume wa nguvu huona mwanamke mrembo na bado akasimama imara asianguke kwenye zinaa!
Sasa, kuwa mwanaume na ukamwombe msamaha! Pole.
Ulipaswa umsamehe maana alikuomba msamaha! Usikubali kutumiwa na shetani! Uanamume rijali ni kuwa na uwezo wa kukataa na kushinda maovu! Uzinzi ni ishara ya wazi kabisa kwamba wewe ni dhaifu! Mwanaume wa nguvu hatekwi na wanawake kirahisi hivyo! Wanaume wa nguvu huona mwanamke mrembo na bado akasimama imara asianguke kwenye zinaa!
Sasa, kuwa mwanaume na ukamwombe msamaha! Pole.
Believe me, hakuna unachofurahia! Believe me, bado hujayamudu maisha hata kidogo! Kuna watu walikuwa vitombi kukuzidi! Wewe ni mtoto mdogo sana kwao lakini mwisho waligundua wanapoteza muda! Kuna wakati unaweza kufikiri unatesa kumbe unateseka sema tu hujui! Muombe Mungu akufungue macho yako ya rohoni uone unavyoteseka!Wengine tumechagua njia hiyo.
Tunafurahia maisha na tunayamudu
Kwahiyo wewe kuamini mambo ya kufikirika ndio unaona ni utajiri?SAWA maana ni kawaida ya Masikini kufikiri Binadamu ni Sawa.
Tunadeal na mental case hapa.
Katika saiokolojia hua tunaambiwa kua macho na mtu anayetumia namba tatu kama hitimisho la muda wa tukio.
Mfano nikampiga ngumi tatu tu akaanguka. Au nikasubiri siku tatu ndiyo nikampigia. Hapa jamaa anasema katumia siku tatu.
Hii stori ni uongo ambacho ni ukweli ni kwamba mkewe kamegwa na jamaa wa hazina
Punguza jazba mkuu kuwa makini na mkeoHiyo mkeo tutamla we subiri nothing impossible, tena kula mke wa MTU m'bishi kama were ni fire sana, unakula huku unamwambia mtukane joka jeusi