Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,167
- 16,255
Wamepita kwetu cha ajabu sijawaona na sare maalum kama ilivyotangazwa! Hapo ndo serikali dhaifu inapoonekana!
Bado hawajapita sijui watakuja night!!!
Mi waliniuliza 'unandugu nje ya nchi' nkasema ndio. Anakaa ZANZIBAR!!!
mimi nimehasabiwa asubuhi na mapema kabla hata sijaenda church...
wana maswahi hao...
ooh una punda?...ngamia?...plau?...maksai?...una watoto wa nje?...wangap?...wamekufa wangapi kwa kaya hii mwaka huu...?oh kuna mataahira ktk ukoo wenu...je watu wenye matatizo ya uti wa mgongo....
aaaaarrrrggghhh!..yana lundo la maswali hayana hata LINK...
Mimi niko safarini na kwangu sijaacha mtu. Naikosa sensa bila kupenda.
Kwani na wewe uko tanzania?hata huku hakuna cha sensa wala nini au sijui geti kuna mpangaji kaweka tangazo la "sisi waislam hatutaki kuhesabiwa" ngoja nicheki
Eti "UNA MASWALI MENGI
KAMA KARANI WA SENSA",hii imetokea kitaani kwetu.Tupe yaliyojiri kitaan
kwenu
.. Una Pasi?
...ninayo ya mkaa ya umeme niliamua kuiuza kutokana na umeme wa kutoaminika
Mimi niko safarini na kwangu sijaacha mtu. Naikosa sensa bila kupenda.
Wewe sioyo Mtanzania.Jamani mbona sisi mpaka muda huu hatujahesabiwa nasi getini kwetu hakuna bandiko la kuwakataza?
Tujuzeni.