Kampuni za simu zaiangukia Serikali tozo ya miamala. TPSF yataka benki zisiachwe

lazima walalamike kwasababu watu wakisusia kutuma miamala, kampuni za simu zinapungua mapato sana. walikuwa wanapiga sana pesa kwenye maMPESA huko, sasa watu kama hawatumi tena ndani ya wiki tu hapa wamepoteza mabilioni, bila hata sababu ya msingi. walitakiwa kushirikishwa halafu waweke reasonable rate ambayo haitaleta maumivu. reasonable rate ikiwepo na kwa watu wengi zitakusanywa nyingi. excessive rate ikiwepo watu watakatwa nyingi ila watumiaji watakuwa wachache hivyo utapata kidogo kuliko ile rate ya chini. akili kumkichwa.
Mbona vifurushi vya bando walipandisha na wamekataa kurudisha kama mwanzo? Wenyewe wezi tu
 
Sasa kumbe unabisha kitu usicho kijua

Mfn... Kutuma Laki kampuni inakata 1000 na apo kuna kod ya serikali ndan yake, kuna kamishen ya wakala, kuna operation costs na faida...

Afu kuna jitu likaeka tozo 2530
Kwa iyo jumla ni 3530..

Wanakuibia Nini? Kama unaibiwa si uache kutumia kama watu wanavoacha kueka ela kweye simu
Mimi naona tatizo sio TOZO mpya, tatizo kwenye system ya kutuma na kupokea pesa i.e Mpesa,tigopesa etc etc WATU WA KATI WENGI sana wanachukua ASILIMIA kwa pesa za WANANCHI.

Serikali ingewapunguza kwanza WATU WA KATI halafu ndio WANGE impose TOZO
 
Tokea lini kampuni za simu zikawaonea huruma wateja wake?

Mama anaupiga mwingi

Kazi iendelee
Elewa jambo kabla ya kujibu,hayo makampuni yanalalamikia kushuka kwa mapato yao yanayotokana na gharama wanazotoza katika miamala baada ya watu kususia kutuma hela kwa njia ya simu.
 
Naona Server mauzo yametingishikaaa hasaaaa walidhanii watu hawana acc za bank wakafurahi kumbe ndo inakula kwao watu hawataki ujinga.
Wanasema weekend nzima watu walikua wanatoa tu hakuna anaeingiza salio jipya.
 
Elewa jambo kabla ya kujibu,hayo makampuni yanalalamikia kushuka kwa mapato yao yanayotokana na gharama wanazotoza katika miamala baada ya watu kususia kutuma hela kwa njia ya simu.
Na wewe elewa swali pia huruma kushuka kwao tu mapato, je mabando ya dhulma wanavyowafanyiwa wateja wao wapo sawa?
 
Ukweli serikali ilikurupuka kwenye hizo tozo zao, watua wakirudi kwenye njia za zamani za kifedha bado serikali itaumia kwa kupoteza mapato bado warudi nyuma wajitathimini kabla mambo hayajawa hivyo.
Madhara ya hizo tozo Ni mengi Sana.
1)kwanza Ni kupunguza mapato kwa makampuni ya simu yatayopelekea kupunguza wafanyakazi.
2)serikali kupoteza mapato kutokana na mzungungo wa pesa kuipitia mitandao ya simu kushika chini.
3) kuua biashara za mitandaoni maana hakuna mtu atalipa kwa njia ya mtandao kuhofia makato.
Kuua ajira kwa vijana waliojiajiri kwenye mawakala
4)kupunguza mazunguko wa fedha hasa maeneo ya vijijini kwa kuwa wengi hutegemea pesa (remitances) zinazotoka mijini kwa vijana wao ambazo nyingi huwafikia kwa njia ya mawakala Hilo litaongeza umasikini na ufukara huko tutokako vijijini
5 uharifu kwa kuwa pesa itakuwa kwa mikononi kwa watu ikiwa cash/ taslimu
6) serikali kuchukiwa kwa sababu hizi tozo hazijazingatia uhalisia wa uchumi wa mtu mmoja mmoja hasa kwa walioweki ambao Ni watumiaji wa hizi huduma Ni watu wa kipato Cha chini na Kati.
My take;
Tozo hizi ziwe rafiki kwa watu na sio adui
Serikali iweke tozo ambayo unaweza anzia 50-100 )kwa miamala ya 1000-10000, 100-200 kwa miamala ya 10001- 30000 etc, hapo wla hakuna mtu atalalama na kwa wale wa milion plus tozo isizidi 20000. Turinde ajira za vijana kwa amani ya taifa letu, tusiwatupe tueashirikishe kujenga taifa.
 
View attachment 1859184

Kampuni zinalalamika maana yake serikali haikushirikisha wadau muhimu

Wananchi wanalalamika maana yake wabunge waliagizwa na nani kufanya yale

My Take
Rais ajiuzulu
Simlisema wabunge wa upinzani wanakwamisha maendeleo
Mama ajiuzulu Tu , sio kila mtu anaweza kuwa Raisi bhana , unatuwekeaje tozo za ajabu ajabu alaf unavunga kama huelewi kinachoendelea
Kama kujiuzulu angejiuzuru yule muuaji wa binadamu,Hadi mwishoe akafa yeye
 
Nchi yenyewe ni maskini, mnaanzisha na kujenga miradi mingi mikubwa kwa pamoja, sijui mlitegemea miujiza bila mipango makini ya wapi mtapata pesa bila kuumiza wananchi... hata nchi zile zile zilizoendelea zenye uwezo, mambo haya ya miradi mikubwa, hujaribu kufanya 'projects stagerring planning' kwa stages za implementation, na sio kwa mihemko ya kisiasa na matokeo yake ndo haya yanayoendelea....
Anajaribu kuendana na speed ya jpm bila kujua jpm alikuwa anafanyaje na hata kama anajua anaona kama njia alizozitumia jpm sio sawa kwake sasa ndio jumba bovu anatuangushia cc wa kipato cha kawaida.
 
Samahan ndugu nataka kufaham ,kwa mfano ktk hiz huduma za kifedha kivip kampun za sim zinaiba au ilitakiwa iweje ili waonekane wasiibe ,maana kwa uwelewa wang mm ni kwamba kabla ya aya makato ya serikal mfano elf 10 walikua kampun za cm zilikua zinakata elf 1 mia nne ela iyo inagawanyika kama mara nne hiv wa kwanza wao wenyewe ,pil wakala apa wakala analipwa mara mbil yan mfano umekatwa elf 1 mia nne mteja wakala watakupa labda mia 3 alaf apo apo ukituma wakala elf 10 kumbuka ukituma mteja hakatwi watakulpa tena wakala kama mia 2 hiv ,fungu la tatu linaenda serikalin,lakn sasa iv elf kum iyo iyo utakatwa kwanza elf 1 mia 400 ya mtandao alaf utakatwa utakatwa 320 ya serikal ,kumbuka ktk iyo elf 1 mia 400 kuna kodi ya serikal ,sasa apo mwiz nan apo nimezungumzia kutoa tu bado kuituma iyo elf 10
Mwizi ni serikali.sijui magaidi sikuhizi hawapo? Bora wafe na korona kuliko kutuumiza kiasi hiki
 
Hizi ni kelele za kitambo tuu kama mafuta afu mtatulia tuliii.

Yaani nchi ambayo unamwambia mwananchi adai risiti hafanyi afu umuwekee kodi mbadala ndio awe analia Lia? Sitegemei Serikali kusalimu amri kwa upuuzi.

Hayo makampuni yanatuibia Sana eti nao wanalia.Afu wauza magaseti wanatafuta habari za kuuzia magaseti hakuna chochote
Imesalimu sasa, hapo unasemaje wewe mropokaji au mzee lomolomo au mzee wa kupepeta domo au wewe domo kaya
 
Hata Wakala mwenye huduma ya Bank hapo ukienda kutuma akaona unashtushwa na makato atakushauri utumie bank upate unafuu....na tafsiri yak ni kuwa Mitandao ya simu Wataisoma namba.
 
Ni swala la muda, hizi Tozo za serikali kwenye miamala makampuni yote ya simu muda si mrefu yatageuka upande wa wananchi, kwani Now mapato yao yanashuka kwa kasi hasa kwenye kipengele cha miamala
 
Juzi kuna mfanyakazi wa bank (.......) akanipigia simu kunieleza umuhimu wa sim banking, maneno kibao nikaona isiwe nongwa, nkamwambia ntatembelea tawi lao kuweza kupata taarifa zaidi..... kichwani mie nawaza tozo wakatazo bank kwenda kwa simu... kisha simu kwenda cash.. nikajiambia katuu sijiungi na simbanking kwanza hadi makato yazoeleke
sijawahi tumia simu banking ila nasikia nao makato yao nao si haba
 
Back
Top Bottom