Kampuni za simu zaiangukia Serikali tozo ya miamala. TPSF yataka benki zisiachwe

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,191
103,711
E6my7rAWQAIr9eT.jpeg


Kampuni zinalalamika maana yake serikali haikushirikisha wadau muhimu

Wananchi wanalalamika maana yake wabunge waliagizwa na nani kufanya yale

My Take
Rais ajiuzulu
 
Tokea lini kampuni za simu zikawaonea huruma wateja wake?

Mama anaupiga mwingi

Kazi iendelee
Hapo kampuni za simu zinajaribu kuepuka mdororo utakaowakumba kwa kukimbiwa na wateja!

Unakumbuka kipindi cha JPM Jiwe jinsi mabenki walikimbiwa kwa watu kuhamisha pesa zao?

Dawa ni chukua chako mapema na ujipangie mwenyewe jinsi ya kukitumia!!
 
View attachment 1859184

Kampuni zinalalamika maana yake serikali haikushirikisha wadau muhimu

Wananchi wanalalamika maana yake wabunge waliagizwa na nani kufanya yale

My Take
Rais ajiuzuru
Hizi ni kelele za kitambo tuu kama mafuta afu mtatulia tuliii.

Yaani nchi ambayo unamwambia mwananchi adai risiti hafanyi afu umuwekee kodi mbadala ndio awe analia Lia? Sitegemei Serikali kusalimu amri kwa upuuzi.

Hayo makampuni yanatuibia Sana eti nao wanalia.Afu wauza magaseti wanatafuta habari za kuuzia magaseti hakuna chochote
 
Juzi kuna mfanyakazi wa bank (.......) akanipigia simu kunieleza umuhimu wa sim banking, maneno kibao nikaona isiwe nongwa, nkamwambia ntatembelea tawi lao kuweza kupata taarifa zaidi..... kichwani mie nawaza tozo wakatazo bank kwenda kwa simu... kisha simu kwenda cash.. nikajiambia katuu sijiungi na simbanking kwanza hadi makato yazoeleke
 
Punda (mwananchi) akizidishiwa mzigo hugoma kwenda. Waweza mchapa mijeredi utakavyo na kwa nguvu yako yote lakini yeye(punda) badala ya kwenda huamua kulala.
(Tafsiri yake ni mgomo wa mwananchi (punda) dhidi ya ukandamizwaji)

Kama mwenye punda atazidisha kipigo kwa punda wake (mwananchi) yule punda huamua kugalagala na ule mzigo. Lengo la punda huwa ni kuuharibu mzigo aliofungiwa mgongoni, na huanza kurusha mateke km mwenye punda atajaribu kumsogelea
(Tafsiri yake ni kuanza kwa vurugu na maandamano)

Tulipe tozo
 
Hizi ni kelele za kitambo tuu kama mafuta afu mtatulia tuliii.

Yaani nchi ambayo unamwambia mwananchi adai risiti hafanyi afu umuwekee kodi mbadala ndio awe analia Lia? Sitegemei Serikali kusalimu amri kwa upuuzi.

Hayo makampuni yanatuibia Sana eti nao wanalia.Afu wauza magaseti wanatafuta habari za kuuzia magaseti hakuna chochote
Kampuni za simu wameinvest sana mpaka hii system ya pesa kwenye simu kua apo ilipo .....

Then wapo kishetria na wanalipa kodi kama inavyotakiwa....:

Sasa anatokea bongo lala anaweka ela nyingi kuliko ni hlkuaribu uwekezaji
 
Back
Top Bottom