lovebitelol
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 964
- 972
Hehehehhe aya msemaji wa iphone keshokutwa utakuja kusema iphone wanaweza kutengeneza fridge ila hawajaamuaApple kutumia oled sio sifa au apple hawaoni hill
ila sana maana yako sisemi kuwatetea ila naongea ukweli Kwani we unahisi oled Kwa nini unaihitaji au ukisikia oled tu unajua Ni vioo bora sana.
Apple wanatumia hekima katika maamuzi wanayofanya na sio kukurupuka tu kuiga mwenzio nini anafanya kama mpaka tecno wana oled apple watashindwa?
Hapana IPO hivi.
Amoled Ni active matrix organic light emitting diode ambapo ufanyaji wake wa Kazi Ni differ na LCD ambapo katika amoled kila pixel Ina generate light kivyake Ni kama tu bulb tudogo sana tunatotoa mwanga tofauti hivyo amoled haihitaji backlight kama LCD.
Amoled vioo vyake kwanza vina tumia much power almost ten times ya LCD pindi vinapoonyesha rangi nyeupe ambapo Ni pigo Kwa iOS.
Ni vigumu kuona picha katika amoled katika jua either uongeze mwanga.
Uangavu wa amoled unakwenda na muda jinsi muda unavyokwenda ndivyo uangavu unapungua katika kifaa chako katika matumizi pia maisha ya kila Rangi za oled films hutofautiana life span cause life span ya oled films za red na green zinaishi zaidi kuliko blue hivyo kupelekea wakati Fulani kioo kutokuwa vizuri katika kuonyesha Rangi Kwa uzuri Kwa sababu kumbuka Ni organic materials ndio zimetumika na organic material zina life span kama sisi binadamu Ni organic material.
Kuna kitu pia kinaitwa burn in kwenye amoled ambapo pixel zake huungua kutokana na baadhi ya ui elements au niseme notifications Fulani kukaa Kwa muda mrefu katika kioo hivyo kioo kuwa na dots Fulani.
Amoled Ni ghali zaidi katika utengenezaji.
Kwa hivyo kampuni kama apple lazima wakae na kutafakari na sio tu kukurupuka.
Kuhusu fast charge nna iPhone 6 imekuja na charge yake Ina USB 2 moja inatoa 2.1A moja inatoa 1A nikitumia ya 2.1A within 30 minutes battery IPO full au unazumgumzia fast charge ipi au dk 1kukurupuka kubaya ndio maana simu zinalipuka ovyo na kushusha soko.
Ulivyosema poor resolution si kweli.