Kampuni ya Samsung yazindua simu yake mpya ya Galaxy Note 8

Kampuni ya Samsung yazindua simu yake mpya ya Galaxy Note 8

Ni wewe kuna ambao hawataki kubeba simu kama daftari,kila mtu na mapenzi yake.
Sio daftari tu. Iphone bado wanatumia technolojia ya zamani sana. No curved/infinity display, no OLED display, Low battery capacity, small screen size, LCD display have poor picture and power inefficiency, no fast charging technology nk.

Wakati teknolojia inaenda mbele na samsung wana3enda nayo, iphone bado wanatumia teknolojia za zamani alafu mtu aniambie iphone nzuri kuliko samsung. Sijawahi kushawishiwa kabisa.

Nimesikia Iphone 8 inaweza itatoka na curved display, watumiaji wa samsung tunayo hiyo display mwaka wa pili huu tunaelekea wa 3 alafu mtu aniambie iphone nzuri.

Mimi samsung washaniroga na midisplay yao hii.
 
Mimi hii infinity display ndio inaniua kabisa.

Pia screen size, napenda sana masim makubwa.

Nashangaa mtu ananiambia iphone nzuri hata hua simuelewi. Watu ambao bado wanatumia LCD display, watu ambao bado hawana fast charge technology, watu wenye sim zina screen size kama nokia ya tochi, betri uwezo mdogo, hata sijui watanishawishi kwa lipi.

Mimi samsung wananiua kwa hii infinity diaplay. Hii sim nilikua naingoja.

Safi sana samsung.
hapo kwenye display hata mimi nimekubali kuhusu design siidhani kama kuna simu itaweza kuipita hii infinity display huku ikitumia AMOLED kwa kweli hapo nawakubali ila tukirudi kwenye camera na uimara pamoja na audio bado nokia ataendelea kuwapiga wenzake
 
Habari wana JF kama wewe ni mfuatiliaji wa teknolojia pamoja na tovuti yetu ya Tanzania Tech lazima utakuwa unajua kuwa Samsung Jana ilitoa simu mpya ya Samsung Galaxy Note 8. Na kukusogezea karibu leo Tanzania Tech tunakuletea sifa za simu hiyo mpya iliyotoka hivi karibuni...


  • Ukubwa wa Kioo - inch 6.3 3840x2160 chenye teknolojia ya Super AMOLED curved Infinity Display with 18.5:9 ratio
  • Ukubwa wa Simu - 162.5mmx74.6mmx8.5mm
  • Ulinzi - Iris scanner/fingerprint scanner
  • Processor - Samsung Exynos 8895 CPU
  • RAM - 6GB
  • Kamera ya Nyuma - Zikombili zenye 12MP dual rear-facing camera,
  • Kamera ya Mbele - 8MP front-facing camera
  • Sehemu ya Kuchaji - USB-C connectivity,
  • Sehemu ya Kuchomeka Headphone - 3.5mm headphone jack
  • Mfumo wa Uendeshaji - Android 7.0 Nougat
  • Ukubwa wa Memory ya Ndani - 64GB pia ina sehemu ya memory card (microSD expansion)
  • Uwezo wa Battery - 3,300mAh battery yenye uwezo wa Fast charging, wireless charging support
  • Rangi - Midnight Black, Maple Gold, Orchid Grey and Deep Sea Blue colour
  • Bei 2,300,000 (Bei inaweza kubadilika kwa Tanzania)
KUMBUKA : Kwa habari zaidi za teknolojia endelea kutembelea Tanzania Tech pia unaweza kudownload App ya Tanzania Tech ili kupata habari zote za teknolojia kwa haraka, pia usisahu kujiunga na channel yetu ya Tanzania Tech ili kupata habari na maujanja mbalimbali ya teknolojia kwa Video.

Acheni nipambane na tecno wereva tu
 
Mimi bado sijaelewa kabisa. Yan kweli samsung ndio wamefikia hapo.? Hii TECNO yangu siwezi kuiacha kamwe kama mambo yenyewe ndio hayo. Loooh
 
Mimi bado sijaelewa kabisa. Yan kweli samsung ndio wamefikia hapo.? Hii TECNO yangu siwezi kuiacha kamwe kama mambo yenyewe ndio hayo. Loooh
Acha kufananisha sim na takataka. Tecno ni takataka. Ni sawa na kufananisha Buggati na vits alafu useme vits ni nzuri kuliko Bugati v, inabidi upimwe makasi, inawezekana ukawa unapenga ubongo unaacha kamasi kichwani.
 
Acha kufananisha sim na takataka. Tecno ni takataka. Ni sawa na kufananisha Buggati na vits alafu useme vits ni nzuri kuliko Bugati v, inabidi upimwe makasi, inawezekana ukawa unapenga ubongo unaacha kamasi kichwani.
Umepovoka siyo kwa sababu una elimu ila una kifaa cha mawasiliano
 
Nokia na Apple pekee ndio nawaaminia kwenye hiyo sekta.
Apple wana kitu gani extra cha ku offer zaidi ya samsung, LCD display? Low battery capacity? Lack of fast charging technology? Au nini?

Hakuna kitu kipya apple wanaweza kuja nacho ambacho samsung hana. Nasikia iphone 8 inaweza kuja na curved display ambayo samsung anayo mwaka wa 2 sasa anaenda wa 3.
 
1. kuna dolphin emulator, sd835 inacheza games nyingi za gamecube na nintendo wii. wii games ni nzuri kushinda ps2 na ilikuwa ni equivalent ya ps3 na xbox 360 japo ilizidiwa nguvu kidogo.
But we playing on a very small screen compare to a desktop. Au hii screensize doesn't matter kwenye matumizi ya rams?

2. multiuser, unakuta simu moja ina user zaidi ya mmoja na zote zinafanya kazi kwa pamoja kila user ina whatsapp yake playstore yake etc mwisho wa siku hata hio 6GB haitoshi.
Hapa kidogo sijafahamu, 1 phone multi user. From what i know, mfano kama kwenye pc ukiwa na 2 users, ukilogin for one user, you will still have full capscity in perfomance and it will not get affected by the other user because haitumiki at the time. Au inakuaje?

3. simu haina dedicated memory ya gpu, hivyo unapocheza games au kutumia graphics intensive apps gpu nayo inamega hapo hapo.

Okey hii naweza kuelewa ikiwa in games ama labda hizo 4k video recordings. But Apps the simu hazina complexity ya kufanya kutumia all those rams. Whatsapp? No, Instagram? Comeon, Snapchat? Not at all.... Tuje kwenye productivity apps, Example of which will require atleast 4gb ram efficiently..... I mean ambayo kweli inahitaji izo rams sio itumie 4gb rams bure bure.


4. ni future proof una uhakika miaka 2 ijayo hata kukitokea kitu kizito simu itahandle

This one make sense. But hawa ni wajanja. In 2 more years we going to have 2 new more powerful devices, and this one utaanza kuikuta ina lag. I think this is done in purpose ili kutufanya tununue toleo jipya la simu. Wanatutajia big specs, tunaamini ni future proof, ukimaliza mwaka tu, they make those big specs for you to look like you need more


Kuna some sort of cheating the consumer hapa.
 
But we playing on a very small screen compare to a desktop. Au hii screensize doesn't matter kwenye matumizi ya rams?
screen haijalishi mkuu, resolution ndio ina matter, simu za sasa nyingi ni Quad HD na Full HD zina pixel nyingi kuliko vioo vya laptop vya kawaida, hivyo gpu pia itahitaji ram ya kutosha ku process pixel zote hizo.


Hapa kidogo sijafahamu, 1 phone multi user. From what i know, mfano kama kwenye pc ukiwa na 2 users, ukilogin for one user, you will still have full capscity in perfomance and it will not get affected by the other user because haitumiki at the time. Au inakuaje?
yap multi user ya simu inatumika muda mmoja na zikija notification za user mmoja unapata kwenye user mwengine kwa kupitia mlio au blink ya notification led.



Okey hii naweza kuelewa ikiwa in games ama labda hizo 4k video recordings. But Apps the simu hazina complexity ya kufanya kutumia all those rams. Whatsapp? No, Instagram? Comeon, Snapchat? Not at all.... Tuje kwenye productivity apps, Example of which will require atleast 4gb ram efficiently..... I mean ambayo kweli inahitaji izo rams sio itumie 4gb rams bure bure.
yap ni kweli app za kawaida hazihitaji ram yote hiyo, nipe homework nitafute hio app kubwa




This one make sense. But hawa ni wajanja. In 2 more years we going to have 2 new more powerful devices, and this one utaanza kuikuta ina lag. I think this is done in purpose ili kutufanya tununue toleo jipya la simu. Wanatutajia big specs, tunaamini ni future proof, ukimaliza mwaka tu, they make those big specs for you to look like you need more


Kuna some sort of cheating the consumer hapa.
kwa case ya samsung anayo Tabia ya kuweka bloatware nyingi, unakuta simu mpya tayari ina apps 50 au zaidi na zote huwezi kuzitoa kawaida, muda wote zipo open zinakula tu resource za simu.
 
Kunasim nazio watu wanazisifia zinaitwa oppo vip kunamtu amesha itumia na kujuwa uwezo wake maana nataka niachane na samsung

Sent using Jamii Forums mobile app
inategemea umetoka samsung gani, unataka ununue oppo ipi, na kwenye samsung unapenda nini na nini ila kifupi sasa hivi soko lipo hivi.

-kama wewe ni geek unajali zaidi perfomance kuliko camera na quality ya display soko lina simu nyingi sana za design hio, toka oppo, oneplus, xiaomi, huawei etc tena kwa bei rahisi kushinda samsung

-kwa display, batterylife na camera nothing beat samsung kwa sasa. vioo vyao vya super amoled vipo level nyengine, simu zao za 2017 zinakaa na chaji kupita kiasi hasa A series na camera zao ni decent.

zipo pia simu ambazo sio za samsung lakini zina share vitu hivyo, mfano oneplus ina kioo cha amoled pia.
 
inategemea umetoka samsung gani, unataka ununue oppo ipi, na kwenye samsung unapenda nini na nini ila kifupi sasa hivi soko lipo hivi.

-kama wewe ni geek unajali zaidi perfomance kuliko camera na quality ya display soko lina simu nyingi sana za design hio, toka oppo, oneplus, xiaomi, huawei etc tena kwa bei rahisi kushinda samsung

-kwa display, batterylife na camera nothing beat samsung kwa sasa. vioo vyao vya super amoled vipo level nyengine, simu zao za 2017 zinakaa na chaji kupita kiasi hasa A series na camera zao ni decent.

zipo pia simu ambazo sio za samsung lakini zina share vitu hivyo, mfano oneplus ina kioo cha amoled pia.
Asante mkuu kwaa ushauli mfano samsung A8 NA OPPO F1 ipi nzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watamzania ni wale wale kwenye siasa ni wajinga na huwa wanabishana na ukweli kwa kisa cha kubisha tuu. Mtu hajawahi kitumia simu kubwa kubwa kwa mfano note series na s series kwa samsung alafu leo hii anakuja hapa na kusema hamna cha ziada. Kama unatumia iphone yako au techno na unaona huwezi kununua Samsung kwa sababu za kiuchumi wee nyamaza tuu. Hivi vitu vina watu wake na wanao zitumia ndio wataendelea kununua tuu sio wewe. Kwa mfano mimi ni mgonjwa aisee ninavopata utamu na hizi simu kila toleo jipya kubwa lazima niwe nayo
 
Back
Top Bottom