Kampuni ya Samsung yazindua simu yake mpya ya Galaxy Note 8

Kampuni ya Samsung yazindua simu yake mpya ya Galaxy Note 8

Windows phone thr biggest failure? Wamewalaghai Nokia wash...nzi wale!

Sijawahi kupata ishu ya lag kwenye safari hata moja. The only issue with Safari ni kuwa ukichange tab tu ile ya mwanzo ina stop mpaka ufungue tena. Kama unaexperience hii basi sio lag, wameitengeza iwe ivo.

Nakwambia ivo kwa sababu iphone has been my phone for looong time, its only this year nimenunua note 5 ambayo ni ya T-mobile. Full freezing.... nimekwambia nipe ur digits nikutumie video yake ujionee. 4GB ram in note 5 inafreeze tena ata haijatiwa vitu, nyimbo 7 na app ya insta na 2 games tu inafreeze??? Why?

Msihadaike na specs, tizama efficiency.

Apple anawapiga bao android phones kwa sababu ana design hardware zake mwenyewe na ios anaichezea yeye tu. Android os inatolewa na google then kila mtu anachokonoa atakavo. Tena isiwe na lag?

Samsung anauza simu jina tu, maana hao kina Xiami, oneplus wako sambamba nae. Sam anajaribu kustand out from other android phones na sio kwa Apple. Kama yeye ni kidume na anajiamini zaidi aunde os yake then ndio ashindane na Apple.

Kwani unafikiri Apple walishindwa kuweka izo 6gb ram?
Watu wanaenda na mahesabu, Apple wanatengeza kitu ambacho ni usable and efficient. Unaeka 6gb rams wakati mpaka simu inafika miaka 4 hukuwa na haja nazo faida zake ni zipi sasa?

Kama hii note 5 nlokuwa nayo eti specs ni 8 CPUs, kisha ina lag, cpu zote zinafanya nini kama wameshindwa kuzigaia task za kufanya? Apple mpaka leo ana dual cpu tu mana hakuina haja ya CPU nne wala nane kwanza.

Mi nakwambia ka macbook changu ni 4gb rams tu, lakini na run apps kamaza adobe na games kama za flight simulator vizuri tu. Lakini sijaona izi complex app kwenye ios na kwenye droid kiasi kwamba you will need 6gb rams.

Hizi specs ni kuwadanganya watu tu wavutiwe basi, next year sam atakuja na 8gb ram apple mara anabaki na 4!!
Watumiaji wa apple bwana! Hivi kujitengenezea Os ndo kigezo cha kufanya apple izidi Sam? Afadhali android ni ya google, mbona iPhone x ina amoled ambayo ni tech ya sam? Apple kuna vitu ana outsource japo anajitengezea OS. Sam ana outsource Os ila tech ya display na nyinginezo ni zake.
 
Watumiaji wa apple bwana! Hivi kujitengenezea Os ndo kigezo cha kufanya apple izidi Sam? Afadhali android ni ya google, mbona iPhone x ina amoled ambayo ni tech ya sam? Apple kuna vitu ana outsource japo anajitengezea OS. Sam ana outsource Os ila tech ya display na nyinginezo ni zake.
Mkuu umeelezwa vizuri tu hapo tena kwa pointi tupu,
Sio kwamba apple wana os yao ndio kigezo cha kuizidi Samsung hapana.
Apple devices zao perfomance yake ni nzuri kuanzia laptop zao mpaka simu na tablet zao yaani ipad.
Samsung kasitisha biashara ya laptop ulaya kisa soko linakwenda hovyo huku apple wao wakitesa tu.
Apple kama ukiwafuatilia vizuri ni kampuni ambayo hawana papara.
Ngoja nikupe mifano.
Apple hawashindwi kutoa octa core ila kwa nini hawajatoa?
Apple kwa nini wamechelewa kuwa na wireless charger?
Kwa nini apple pia wamechelewa katika oled screens?
Kwa nini apple kwenye ram anakuwa nyuma?
Lakini still wana compete katika soko na devices zao katika speed zinazidi za 6gb ram na octa core zaandroid?
Vitu ana vyo fanya samsung ni kuwapotosha watu,mkorea muache atengeneze vioo vya simu ila sio kulinganisha simu zao na apple.
Tazama feature za note 4 galaxy mfano.
Heart rate sensor.
Spo2-hii inapima kiasi cha oxygen katika haemoglobin.
gesture.
Na feature nyingine nyingi ambazo kimsingi zitapelekea kujaza simu,kufanya simu ichemke na kuwa fool watu ili wapigwe bei wakati feature zenyewe hazipo accurately.
Mfano galaxy s3 ikaja na face unlock ambayo inaweza kuwa tricked na picha ya mtumiaji kwenye karatasi na ikafunguka.
Kwa hiyo mkuu naamini siku zinavyokwenda samsung atazidi kujifunza zaidi mistake anazofanya.
Sijawahi ona apple and amekuja na vitu vya kitoto kama hivyo eti air gesture.
Au smart pause.
Kama apple angekuwa na papara na yeye angepachika lakininangalia sasa wangapi wanatumia hizo feature sijui heart beat rate,spo2 n.k.
Kwa hiyo Samsung naona bado wana safari ndefu ya kujifunza toka kwa apple hasa katika suala zima la hii biashara ya simu za mkononi.
 
Back
Top Bottom