Wakaniambia kama nimebeba vitu vya kupasuka hawana dhamana ya mzigo
Wakaangalia mzigo wangu wakasema kwa thamani ya mzigo nilipe 55000, cha ajabu receipt ya machine ikatoka 45000, hii nlikuja ku notice baadaye
Mzigo umefika mbeya taa karibu zote zimevunjika