Kampuni ya Kenya iliyokataliwa na Hayati Magufuli yaletwa nchini

Japokuwa hoja yako inaweza kuwa na mantiki, lakini naona kama wewe kwa upande wako kama vile kuna maslahi yako pia yametishiwa na kamouni hii! Je, wewe binafsi una uhakika kwamba huna mgongano wa maslahi kuhusiana na ujio au uwepo wa Kampuni hii hapa nchini Tz????????
Huyo ni wristle brower, tusimzalau. DP World nayo ilianza hivi, tusizalau, jamaa anaonrkana anajua anachokieleza, nimemuelewa vzr sana. Tanzania sio shamba la bibi, wageni waje kuchuma na kuondoka.

Hiyo tahadhali vzr ichukuliwe, hayo makampuni yenye unasaba na nchi za Africa Magharibi ni wapigaji. Hivi nchi ina Audit firms zaidi ya 200 registered na NBAA, iweje una engage foreign Audit firm bila sheria za manunuzi ya huduma kufuatwa. CDR ni jambo la siri, watu wanakagua mpk cm za mama kwa watendaji wake. Iko wap xax siri ya utaifa wetu kama nchi, wajui wakenya then waghana!!!

Haya ni madai serious, taasisi usika lazima zifanyie kazi. Sio jambo la kuchukulia kisiasa.
 
Rais Samia wanasiasa wabaya wamekuwekea mtego mwingine hatari sana, wameleta kampuni toka Kenya yenye masilahi na wao inayomilikiwa na Mkenya Andrew Chege kwa kushirikiana na baadhi ya wanasiasa wa Tanzania


Kampuni iliyokataliwa na JPM yarudishwa kinyemela (Safari tech) ya Kenya
Wametapeli Ghana na sasa wameingizwa Tanzania , kwa nini sisi watanzania ni wajinga namna hii?
Kwa nini serikali yetu kuna watu hawafikiriii?
kwa nini viongozi wetu wanawaza 10% tu?

Kampuni hii inayomilikiwa na Mbunge wa Kenya aitwaye Andrew Chege
ili wahi kuletwa na wanasiasa na JPM akaikataa
Ni kampuni yenye historia za kitapeli (Hewa)
Inajitangaza kuwa iko sponsored na IMF ,USAID ,World Bank na makao makuu yake inasema yako UK(Uingereza)
Taarifa za kiuchunguzi kipindi cha JPM ziliobaini kuwa kampuni hio haina mafungamano na World Bank ,IMF wala USAID bali hutumia mwamvuli huo kupata tender

Kampuni hio ambayo baadhi ya wana siasa wa Tanzania wana hisa kupitia kwa mwanasiasa mwanzilishi aitwaye Andrew Chege (Mbunge wa Kenya) Imerudi tena
Maafisa kadhaa wa Ikulu na baadhi ya waandamizi wa wizara ya fedha tayari wameshaingia makubaliano ya awali kuileta kampuni hio kuja kufanya auditing kwenye makampuni mbali mbali na watalipwa fedha nyingi sana za walipa kodi wa Tanzania

Kampuni hio itapewa tenda ya kufanya auditing ya kampuni nyingi zikiwemo kampuni za simu (vodacom, Honora/Tigo, Airtel etc), pia TRA itafanyiwa auding na makampuni mengine yanayotakiwa kulipa kodi mbalimbali, lengo ni kutaka kuona kama kuna mianya ya kodi kwenye makampuni hayo
Swali langu la msingi

1. CAG hua anafanya ukaguzi ambao haujitoshelezi mpaka iletwe kampuni toka Kenya?

2. Internal auditors na external auditors wa kampuni zilizo nchini hazikufaa mpaka ikatafutwa kampuni ya Safaritech toke kenya?

3. Makampuni ya simu ya Call detailed records(CDR) , tunaruhusu kampuni ya kenya ije ishike taarifa za siri za watanzania?

Yaani kampuni ya mwana siasa wa kenya ije iangalie CDR za simu za watanzania?
Kumbuka CDR zinaonyesha wewe umepiga simu wapi,kwa nani ,ukiwa wapi na taarifa nyingine nyingi za siri
4.Kwa nini JPM alikataa wakenya kuja na kufikia taarifa za siri za watanzania lakini serikali hii inaruhusu sasa?

Ghana kuna kampuni dada ya safari tech , walienda kukagua MTN Ghana , na kwa sababu walikua wanalipwa asilimia ya kodi iliyokwepwa wanayoigundua , walibambikia kampuni ya ghana ukwepaji wa kodi wa Billion 8 USD ili walipwe 30% ya pesa hio.

Kwa Tanzania, kampuni za simu jiandaeni kubambikiwa madeni ili hawa mabwana wapate cha juu.

Kwa kua suala la kampuni hii lina masilahi na wanasiasa kadhaa wa Tanzania ,ambao wameidanganya Ikulu na ikulu kuruhusu Kampuni hio iongee na wizara vya fedha , watu wa usalama wa Taifa na vyombo vya ulinzi na usalama wafanye special vetting ya wanasiasa wote waliohusika kuingiza nchini kampuni hii.

Pia Kampuni ya nchi jirani ambayo ni washindani wa nchi yetu ,kuruhusiwa kugusa taarifa za siri za watanzania ni hatari sana, tunauza taarifa za nchi kwa taifa jirani chini ya kampuni hewa isiyo na uwezo wa kufanya auditing.

Nawawekea reference za mmiliki wa kampuni hio Andrew Chege (Mbunge wa Kenya)

Nawawekea kasheshe walioisababisha Ghana kwa kufanya audit fake

1.https://commsrisk.com/ghana-tax-authority-defends-appointment-of-dodgy-telco-revenue-assurance-auditors/
2.https://www.techfocus24.com/mtns-ghs8-billion-tax-gra-ditched-kpmg-for-imf-agent-safaritech/
3.https://www.techfocus24.com/mtns-ghs8-billion-tax-gra-ditched-kpmg-for-imf-agent-safaritech/
4.https://theindependentghana.com/gra-denies-contract-with-safaritech-uk/
5.https://starrfm.com.gh/2023/07/pac-demands-details-of-engagement-between-gra-auditing-firm-safaritech/?amp=1


Nisiwachoshe sana, niwaambie tu kwamba Nchi hii imepitia kampuni janja na zenye mikono ya wanasiasa wenye nguvu kama IPTL na nyingine nyingina sasan mnaletewa kampuni itakayolitwa Billions of TZS kodi za watanzania ambazo wanasiasa wetu wanaenda kuzichukulia Kenya

Mawaziri wanaohusika na hii kampuni wameidanganya Ikulu na sasa wanataka kumwingiza Rais Samia kwenye scandal nyingine kubwa sana ambayo inaweza kumgharimu 2025

View attachment 2843149
wacha kumtumia Magufuli kama SI ya kujua kampuni tapeli na isiyo tapeli. Mbona yeye mwenyewe aliletewa kampuni toka Kenya ya kununua korosho iliyoitwa Indo Power Solution. Tapeli wa Kenya alikuw Brown Mtembei na kwa upande wa Tanzania wote akina kabudi, Bashungwa na Kakunda na Luoga walishuhudia na kuaini mkataba
 
wacha kumtumia Magufuli kama SI ya kujua kampuni tapeli na isiyo tapeli. Mbona yeye mwenyewe aliletewa kampuni toka Kenya ya kununua korosho iliyoitwa Indo Power Solution. Tapeli wa Kenya alikuw Brown Mtembei na kwa upande wa Tanzania wote akina kabudi, Bashungwa na Kakunda na Luoga walishuhudia na kuaini mkataba
JPM hakua Mungu , reference ni kuonyesha kua kampuni hio imeshakua vetted na kuonekana sio
 
Rais Samia wanasiasa wabaya wamekuwekea mtego mwingine hatari sana, wameleta kampuni toka Kenya yenye masilahi na wao inayomilikiwa na Mkenya Andrew Chege kwa kushirikiana na baadhi ya wanasiasa wa Tanzania


Kampuni iliyokataliwa na JPM yarudishwa kinyemela (Safari tech) ya Kenya
Wametapeli Ghana na sasa wameingizwa Tanzania , kwa nini sisi watanzania ni wajinga namna hii?
Kwa nini serikali yetu kuna watu hawafikiriii?
kwa nini viongozi wetu wanawaza 10% tu?

Kampuni hii inayomilikiwa na Mbunge wa Kenya aitwaye Andrew Chege
ili wahi kuletwa na wanasiasa na JPM akaikataa
Ni kampuni yenye historia za kitapeli (Hewa)
Inajitangaza kuwa iko sponsored na IMF ,USAID ,World Bank na makao makuu yake inasema yako UK(Uingereza)
Taarifa za kiuchunguzi kipindi cha JPM ziliobaini kuwa kampuni hio haina mafungamano na World Bank ,IMF wala USAID bali hutumia mwamvuli huo kupata tender

Kampuni hio ambayo baadhi ya wana siasa wa Tanzania wana hisa kupitia kwa mwanasiasa mwanzilishi aitwaye Andrew Chege (Mbunge wa Kenya) Imerudi tena
Maafisa kadhaa wa Ikulu na baadhi ya waandamizi wa wizara ya fedha tayari wameshaingia makubaliano ya awali kuileta kampuni hio kuja kufanya auditing kwenye makampuni mbali mbali na watalipwa fedha nyingi sana za walipa kodi wa Tanzania

Kampuni hio itapewa tenda ya kufanya auditing ya kampuni nyingi zikiwemo kampuni za simu (vodacom, Honora/Tigo, Airtel etc), pia TRA itafanyiwa auding na makampuni mengine yanayotakiwa kulipa kodi mbalimbali, lengo ni kutaka kuona kama kuna mianya ya kodi kwenye makampuni hayo
Swali langu la msingi

1. CAG hua anafanya ukaguzi ambao haujitoshelezi mpaka iletwe kampuni toka Kenya?

2. Internal auditors na external auditors wa kampuni zilizo nchini hazikufaa mpaka ikatafutwa kampuni ya Safaritech toke kenya?

3. Makampuni ya simu ya Call detailed records(CDR) , tunaruhusu kampuni ya kenya ije ishike taarifa za siri za watanzania?

Yaani kampuni ya mwana siasa wa kenya ije iangalie CDR za simu za watanzania?
Kumbuka CDR zinaonyesha wewe umepiga simu wapi,kwa nani ,ukiwa wapi na taarifa nyingine nyingi za siri
4.Kwa nini JPM alikataa wakenya kuja na kufikia taarifa za siri za watanzania lakini serikali hii inaruhusu sasa?

Ghana kuna kampuni dada ya safari tech , walienda kukagua MTN Ghana , na kwa sababu walikua wanalipwa asilimia ya kodi iliyokwepwa wanayoigundua , walibambikia kampuni ya ghana ukwepaji wa kodi wa Billion 8 USD ili walipwe 30% ya pesa hio.

Kwa Tanzania, kampuni za simu jiandaeni kubambikiwa madeni ili hawa mabwana wapate cha juu.

Kwa kua suala la kampuni hii lina masilahi na wanasiasa kadhaa wa Tanzania ,ambao wameidanganya Ikulu na ikulu kuruhusu Kampuni hio iongee na wizara vya fedha , watu wa usalama wa Taifa na vyombo vya ulinzi na usalama wafanye special vetting ya wanasiasa wote waliohusika kuingiza nchini kampuni hii.

Pia Kampuni ya nchi jirani ambayo ni washindani wa nchi yetu ,kuruhusiwa kugusa taarifa za siri za watanzania ni hatari sana, tunauza taarifa za nchi kwa taifa jirani chini ya kampuni hewa isiyo na uwezo wa kufanya auditing.

Nawawekea reference za mmiliki wa kampuni hio Andrew Chege (Mbunge wa Kenya)

Nawawekea kasheshe walioisababisha Ghana kwa kufanya audit fake

1.https://commsrisk.com/ghana-tax-authority-defends-appointment-of-dodgy-telco-revenue-assurance-auditors/
2.https://www.techfocus24.com/mtns-ghs8-billion-tax-gra-ditched-kpmg-for-imf-agent-safaritech/
3.https://www.techfocus24.com/mtns-ghs8-billion-tax-gra-ditched-kpmg-for-imf-agent-safaritech/
4.https://theindependentghana.com/gra-denies-contract-with-safaritech-uk/
5.https://starrfm.com.gh/2023/07/pac-demands-details-of-engagement-between-gra-auditing-firm-safaritech/?amp=1


Nisiwachoshe sana, niwaambie tu kwamba Nchi hii imepitia kampuni janja na zenye mikono ya wanasiasa wenye nguvu kama IPTL na nyingine nyingina sasan mnaletewa kampuni itakayolitwa Billions of TZS kodi za watanzania ambazo wanasiasa wetu wanaenda kuzichukulia Kenya

Mawaziri wanaohusika na hii kampuni wameidanganya Ikulu na sasa wanataka kumwingiza Rais Samia kwenye scandal nyingine kubwa sana ambayo inaweza kumgharimu 2025

View attachment 2843149
Hoja yako inaweza kuwa na mashiko hisipokuwa inaonyesha wazi ujio wa hii kampuni unatishia maslahi yako binafsi kutokana na jinsi ulivyowasilisha.

Si kweli kwamba kila kitu kilichokataliwa na JPM kilikuwa kibaya na kwamba Rais Samia kila wakati anadanganywa. Sijuhi kuhusu hii kampuni, lakini kuwepo kwa wakaguzi wa ndani hakuzuii wakaguzi wa nje pale serikali inapoona kuna uhitaji wa kufanya hivyo.
 
Umefanya vizuri kwa ku 'blow the whistle' hatujapigwa tena na kitu kizito. Ikidhibitika hayo uliyoyasema ni ya kweli, hao mawaziri waliohusika na dili hili akiwamo waziri wa fedha inabidi waachie ngazi. La sivyo bunge letu litakinukisha pale mbunge kama Mpina atakapisimama kidete akiwa na ushahidi kamili wa dili hilo.
 
Rais Samia wanasiasa wabaya wamekuwekea mtego mwingine hatari sana, wameleta kampuni toka Kenya yenye masilahi na wao inayomilikiwa na Mkenya Andrew Chege kwa kushirikiana na baadhi ya wanasiasa wa Tanzania


Kampuni iliyokataliwa na JPM yarudishwa kinyemela (Safari tech) ya Kenya
Wametapeli Ghana na sasa wameingizwa Tanzania , kwa nini sisi watanzania ni wajinga namna hii?
Kwa nini serikali yetu kuna watu hawafikiriii?
kwa nini viongozi wetu wanawaza 10% tu?

Kampuni hii inayomilikiwa na Mbunge wa Kenya aitwaye Andrew Chege
ili wahi kuletwa na wanasiasa na JPM akaikataa
Ni kampuni yenye historia za kitapeli (Hewa)
Inajitangaza kuwa iko sponsored na IMF ,USAID ,World Bank na makao makuu yake inasema yako UK(Uingereza)
Taarifa za kiuchunguzi kipindi cha JPM ziliobaini kuwa kampuni hio haina mafungamano na World Bank ,IMF wala USAID bali hutumia mwamvuli huo kupata tender

Kampuni hio ambayo baadhi ya wana siasa wa Tanzania wana hisa kupitia kwa mwanasiasa mwanzilishi aitwaye Andrew Chege (Mbunge wa Kenya) Imerudi tena
Maafisa kadhaa wa Ikulu na baadhi ya waandamizi wa wizara ya fedha tayari wameshaingia makubaliano ya awali kuileta kampuni hio kuja kufanya auditing kwenye makampuni mbali mbali na watalipwa fedha nyingi sana za walipa kodi wa Tanzania

Kampuni hio itapewa tenda ya kufanya auditing ya kampuni nyingi zikiwemo kampuni za simu (vodacom, Honora/Tigo, Airtel etc), pia TRA itafanyiwa auding na makampuni mengine yanayotakiwa kulipa kodi mbalimbali, lengo ni kutaka kuona kama kuna mianya ya kodi kwenye makampuni hayo
Swali langu la msingi

1. CAG hua anafanya ukaguzi ambao haujitoshelezi mpaka iletwe kampuni toka Kenya?

2. Internal auditors na external auditors wa kampuni zilizo nchini hazikufaa mpaka ikatafutwa kampuni ya Safaritech toke kenya?

3. Makampuni ya simu ya Call detailed records(CDR) , tunaruhusu kampuni ya kenya ije ishike taarifa za siri za watanzania?

Yaani kampuni ya mwana siasa wa kenya ije iangalie CDR za simu za watanzania?
Kumbuka CDR zinaonyesha wewe umepiga simu wapi,kwa nani ,ukiwa wapi na taarifa nyingine nyingi za siri
4.Kwa nini JPM alikataa wakenya kuja na kufikia taarifa za siri za watanzania lakini serikali hii inaruhusu sasa?

Ghana kuna kampuni dada ya safari tech , walienda kukagua MTN Ghana , na kwa sababu walikua wanalipwa asilimia ya kodi iliyokwepwa wanayoigundua , walibambikia kampuni ya ghana ukwepaji wa kodi wa Billion 8 USD ili walipwe 30% ya pesa hio.

Kwa Tanzania, kampuni za simu jiandaeni kubambikiwa madeni ili hawa mabwana wapate cha juu.

Kwa kua suala la kampuni hii lina masilahi na wanasiasa kadhaa wa Tanzania ,ambao wameidanganya Ikulu na ikulu kuruhusu Kampuni hio iongee na wizara vya fedha , watu wa usalama wa Taifa na vyombo vya ulinzi na usalama wafanye special vetting ya wanasiasa wote waliohusika kuingiza nchini kampuni hii.

Pia Kampuni ya nchi jirani ambayo ni washindani wa nchi yetu ,kuruhusiwa kugusa taarifa za siri za watanzania ni hatari sana, tunauza taarifa za nchi kwa taifa jirani chini ya kampuni hewa isiyo na uwezo wa kufanya auditing.

Nawawekea reference za mmiliki wa kampuni hio Andrew Chege (Mbunge wa Kenya)

Nawawekea kasheshe walioisababisha Ghana kwa kufanya audit fake

1.https://commsrisk.com/ghana-tax-authority-defends-appointment-of-dodgy-telco-revenue-assurance-auditors/
2.https://www.techfocus24.com/mtns-ghs8-billion-tax-gra-ditched-kpmg-for-imf-agent-safaritech/
3.https://www.techfocus24.com/mtns-ghs8-billion-tax-gra-ditched-kpmg-for-imf-agent-safaritech/
4.https://theindependentghana.com/gra-denies-contract-with-safaritech-uk/
5.https://starrfm.com.gh/2023/07/pac-demands-details-of-engagement-between-gra-auditing-firm-safaritech/?amp=1


Nisiwachoshe sana, niwaambie tu kwamba Nchi hii imepitia kampuni janja na zenye mikono ya wanasiasa wenye nguvu kama IPTL na nyingine nyingina sasan mnaletewa kampuni itakayolitwa Billions of TZS kodi za watanzania ambazo wanasiasa wetu wanaenda kuzichukulia Kenya

Mawaziri wanaohusika na hii kampuni wameidanganya Ikulu na sasa wanataka kumwingiza Rais Samia kwenye scandal nyingine kubwa sana ambayo inaweza kumgharimu 2025

View attachment 2843149
" Watanzania mtanikumbuka,na mtanikumbuka kwa mazuri na kwa mabaya kwasababu nimesacrifice kwa wananchi masikini "
 
Hoja yako inaweza kuwa na mashiko hisipokuwa inaonyesha wazi ujio wa hii kampuni unatishia maslahi yako binafsi kutokana na jinsi ulivyowasilisha.

Si kweli kwamba kila kitu kilichokataliwa na JPM kilikuwa kibaya na kwamba Rais Samia kila wakati anadanganywa. Sijuhi kuhusu hii kampuni, lakini kuwepo kwa wakaguzi wa ndani hakuzuii wakaguzi wa nje pale serikali inapoona kuna uhitaji wa kufanya hivyo.
Nimeweka hoja hapa ,nina aamini watu wanaakili timamu ,watafanya upekuzi wa hii kampuni na watafanya maamuzi sahihi, argument yako naipokea ,jambo la muhimu ujumbe umefika na wahusika wanajua
 
Umefanya vizuri kwa ku 'blow the whistle' hatujapigwa tena na kitu kizito. Ikidhibitika hayo uliyoyasema ni ya kweli, hao mawaziri waliohusika na dili hili akiwamo waziri wa fedha inabidi waachie ngazi. La sivyo bunge letu litakinukisha pale mbunge kama Mpina atakapisimama kidete akiwa na ushahidi kamili wa dili hilo.
Moja ya kanuni yangu ni kutosema uongo , nilichokisema kipo wazi na wakifanya uchunguzi watayaona ninayoyasema haya.
Najua watachukia sana ,hasa mawaziri ambazo wameweka nguvu kwenye hili lakini Nimesema watanzania lazima wajue hata wakiamua kuichukua hio kampuni
 
The beautiful one is not yet born
Mtu msafi ndani ya ccm hajazaliwa bado
Mimi bado naamini taasisi ya uraisi inajukumu la kumlinda Rais na siasa chafu kama za hii kampuni ya kikenya ,10% ya mawaziri itateketeza taifa na kumcost rais 2025
 
wacha kumtumia Magufuli kama SI ya kujua kampuni tapeli na isiyo tapeli. Mbona yeye mwenyewe aliletewa kampuni toka Kenya ya kununua korosho iliyoitwa Indo Power Solution. Tapeli wa Kenya alikuw Brown Mtembei na kwa upande wa Tanzania wote akina kabudi, Bashungwa na Kakunda na Luoga walishuhudia na kuaini mkataba
Kwa hiyo kisisemwe kitu kwa sababu wewe ni samia?
 
Rais Samia wanasiasa wabaya wamekuwekea mtego mwingine hatari sana, wameleta kampuni toka Kenya yenye masilahi na wao inayomilikiwa na Mkenya Andrew Chege kwa kushirikiana na baadhi ya wanasiasa wa Tanzania


Kampuni iliyokataliwa na JPM yarudishwa kinyemela (Safari tech) ya Kenya
Wametapeli Ghana na sasa wameingizwa Tanzania , kwa nini sisi watanzania ni wajinga namna hii?
Kwa nini serikali yetu kuna watu hawafikiriii?
kwa nini viongozi wetu wanawaza 10% tu?

Kampuni hii inayomilikiwa na Mbunge wa Kenya aitwaye Andrew Chege
ili wahi kuletwa na wanasiasa na JPM akaikataa
Ni kampuni yenye historia za kitapeli (Hewa)
Inajitangaza kuwa iko sponsored na IMF ,USAID ,World Bank na makao makuu yake inasema yako UK(Uingereza)
Taarifa za kiuchunguzi kipindi cha JPM ziliobaini kuwa kampuni hio haina mafungamano na World Bank ,IMF wala USAID bali hutumia mwamvuli huo kupata tender

Kampuni hio ambayo baadhi ya wana siasa wa Tanzania wana hisa kupitia kwa mwanasiasa mwanzilishi aitwaye Andrew Chege (Mbunge wa Kenya) Imerudi tena
Maafisa kadhaa wa Ikulu na baadhi ya waandamizi wa wizara ya fedha tayari wameshaingia makubaliano ya awali kuileta kampuni hio kuja kufanya auditing kwenye makampuni mbali mbali na watalipwa fedha nyingi sana za walipa kodi wa Tanzania

Kampuni hio itapewa tenda ya kufanya auditing ya kampuni nyingi zikiwemo kampuni za simu (vodacom, Honora/Tigo, Airtel etc), pia TRA itafanyiwa auding na makampuni mengine yanayotakiwa kulipa kodi mbalimbali, lengo ni kutaka kuona kama kuna mianya ya kodi kwenye makampuni hayo
Swali langu la msingi

1. CAG hua anafanya ukaguzi ambao haujitoshelezi mpaka iletwe kampuni toka Kenya?

2. Internal auditors na external auditors wa kampuni zilizo nchini hazikufaa mpaka ikatafutwa kampuni ya Safaritech toke kenya?

3. Makampuni ya simu ya Call detailed records(CDR) , tunaruhusu kampuni ya kenya ije ishike taarifa za siri za watanzania?

Yaani kampuni ya mwana siasa wa kenya ije iangalie CDR za simu za watanzania?
Kumbuka CDR zinaonyesha wewe umepiga simu wapi,kwa nani ,ukiwa wapi na taarifa nyingine nyingi za siri
4.Kwa nini JPM alikataa wakenya kuja na kufikia taarifa za siri za watanzania lakini serikali hii inaruhusu sasa?

Ghana kuna kampuni dada ya safari tech , walienda kukagua MTN Ghana , na kwa sababu walikua wanalipwa asilimia ya kodi iliyokwepwa wanayoigundua , walibambikia kampuni ya ghana ukwepaji wa kodi wa Billion 8 USD ili walipwe 30% ya pesa hio.

Kwa Tanzania, kampuni za simu jiandaeni kubambikiwa madeni ili hawa mabwana wapate cha juu.

Kwa kua suala la kampuni hii lina masilahi na wanasiasa kadhaa wa Tanzania ,ambao wameidanganya Ikulu na ikulu kuruhusu Kampuni hio iongee na wizara vya fedha , watu wa usalama wa Taifa na vyombo vya ulinzi na usalama wafanye special vetting ya wanasiasa wote waliohusika kuingiza nchini kampuni hii.

Pia Kampuni ya nchi jirani ambayo ni washindani wa nchi yetu ,kuruhusiwa kugusa taarifa za siri za watanzania ni hatari sana, tunauza taarifa za nchi kwa taifa jirani chini ya kampuni hewa isiyo na uwezo wa kufanya auditing.

Nawawekea reference za mmiliki wa kampuni hio Andrew Chege (Mbunge wa Kenya)

Nawawekea kasheshe walioisababisha Ghana kwa kufanya audit fake

1.https://commsrisk.com/ghana-tax-authority-defends-appointment-of-dodgy-telco-revenue-assurance-auditors/
2.https://www.techfocus24.com/mtns-ghs8-billion-tax-gra-ditched-kpmg-for-imf-agent-safaritech/
3.https://www.techfocus24.com/mtns-ghs8-billion-tax-gra-ditched-kpmg-for-imf-agent-safaritech/
4.https://theindependentghana.com/gra-denies-contract-with-safaritech-uk/
5.https://starrfm.com.gh/2023/07/pac-demands-details-of-engagement-between-gra-auditing-firm-safaritech/?amp=1


Nisiwachoshe sana, niwaambie tu kwamba Nchi hii imepitia kampuni janja na zenye mikono ya wanasiasa wenye nguvu kama IPTL na nyingine nyingina sasan mnaletewa kampuni itakayolitwa Billions of TZS kodi za watanzania ambazo wanasiasa wetu wanaenda kuzichukulia Kenya

Mawaziri wanaohusika na hii kampuni wameidanganya Ikulu na sasa wanataka kumwingiza Rais Samia kwenye scandal nyingine kubwa sana ambayo inaweza kumgharimu 2025

UPDATE
Website ya safaritech imeondolewa hewani baada ya taarifa hii


View attachment 2843149
Mkuu ingekuwa sahihi zaidi ungeorodhesha kampuni makini za kitanzania ambazo zina uwezo wa kufanya kazi hiyo. Vinginevyo malalamiko yapo too general with personal hatred!
 
Back
Top Bottom