Kweli tusipofuata utawala wa sheria tutashitakiwa kila wakatiWameona bombadia zetu hawa...halafu si ile Drimulaini yetu ilianza safari India inabidi tusitishe kwa muda.
Utawala wa sheria ndio kitu Cha mhimu la sivyo tutashitakiwa Sana tu.
Kweli tusipofuata utawala wa sheria tutashitakiwa kila wakatiWameona bombadia zetu hawa...halafu si ile Drimulaini yetu ilianza safari India inabidi tusitishe kwa muda.
Utawala wa sheria ndio kitu Cha mhimu la sivyo tutashitakiwa Sana tu.
Kabudi toka JPM amemuokota Jalalani haeleweki kabisaaa! Anautumbua macho tu.Kwani kabudi ameshasemaje?
Ukiwa tajiri hukosi vikesi vya kudaiwa fidia maana hata wazungu wanajua sisi ni donor country basi tu mambo madogomadogo yanatukwamisha.
Wameona bombadia zetu hawa...halafu si ile Drimulaini yetu ilianza safari India inabidi tusitishe kwa muda.
Utawala wa sheria ndio kitu Cha mhimu la sivyo tutashitakiwa Sana tu.
Hizi ndio zile kampuni type ya symbion power.
Wamiliki wanaweza kuwa mafiisadi wa kitanzania waishio Tanzania halafu ofisi yao iko london kwenye flat ya kupanga. TIC wajitokeze na full document za huyu mwekezaji mwizi.
Hivi ni virusi vichache vilivyobaki vilivyokuwa vikiishambulia afya ya Tanzania.
Kama CCM ilivyo haribu mazingira kwenye Ubongo wako, kwa kuipenda mwenyewe.Hawo.. ndio wale mwananchi wa eneo hilo.. hawakuwasaidia kitu.. kurudisha kwa jamii walikuwepo.. zaidi ya kutuharibia mazingira tu na kutaka watu waugue..
Lisu ndie kawaomba kuwa nikishinda kesi tutagawana nusu kwa nusu kitakachopatikana wala wao hawakuwa na mpango wa kufungua kesiAcha usingiziaji, ina maana hiyo kampuni haina wanasheria wake?
Lissu angekuwa Beberu ukweli ni kwamba angewazilisha sana! Maana MaCCM mnambenulia mikia sana humu.Sio mabeberu ni watanzania wenzetu na engineer alyefungua hiyo kesi ni Lisu kwa niaba ya mafisadi watanzania wenye hiyo kampuni ndie kaifungua kupitia proxy Wake wanasheria wa nje
Lisu ni hatari sana kwa nchi hana uzalendo na ni part ya genge la wezi mafisadi
Bado barrick kile kishika uchumba lazima mkitapikeLisu ndie kawaomba kuwa nikishinda kesi tutagawana nusu kwa nusu kitakachopatikana wala wao hawakuwa na mpango wa kufungua kesi
Wakamwambia go ahead
These clowns are full of themselves. Hapa inabid wawe wapole ili gharama zao za exploration zirudi. hizi mambo za kuleta neocolonialism sio poa maana assets ata kama walidiscover wao wenye sovereignity ni sisi. hapa kama wananchi ni lazima kua wamoja regardless ya itikadi na tofauti zetu. hili jambo linaffect vizazi vijavyo sio kitu cha miaka 10Kampuni ya utafiti wa dhahabu ya Indiana Resources iliyopo Australia imeanzisha madai ya kutaka fidia ya dola za kimarekani million 95 (takribani TZS Bilioni 220) dhidi ya Serikali ya Tanzania juu ya unyakuaji haramu wa mradi wa madini ya Nikeli (Ntaka Hill Nickel project) uliopo kusini mashariki mwa Tanzania...
Mnaingia mikataba mkiwa gizani halafu mnaanza kuweweseka jua likichomoza?Kampuni hii IPO Tanazania kweli?
Rais ajae atajikuta analipa fidia nyingi kwa mambo mabaya ya kukurupuka yaliyofanywa na utawala huu wa sasaTuna hasara sana watanzania!
Ndege zitaanza kukamatwa tena , hizo hasara husababishwa na wabunge wa ccm kupitisha mikataba Bungeni kwa kutumia wingi waoMnaingia mikataba mkiwa gizani halafu mnaanza kuweweseka jua likichomoza?
Na ni makada wawezeshaji wa CCM.Hadi majina wanajulikana wawili wana rangi nyeupe Ila waswahili wenzetu
Kuna kesi nyingi zinakuja za kudai fidia zikiwemo za wamiliki wa maduka ya kubadili pesa za kigeni nkVery sad, tumepata mtawala mkurupukaji, ambaye hafanyi analysis ya kile ambacho kitatokea kwa maamuzi anayoyafanua
Huu 'mzigo wa misumari' wa kuubeba Ni Magufuli na genge lake.Ndege zitaanza kukamatwa tena , hizo hasara husababishwa na wabunge wa ccm kupitisha mikataba Bungeni kwa kutumia wingi wao
Magufuli yupi hakurupuki? Yule wa meli ya samaki kituo cha mafuta mwanza au mwingine?Mbona!!! Umeambiwa na nani hayo?? Wizi wao wa miaka mingi na ujanja janja.. awamu hii na ijayo.. wataomba po tu
Magufuli huwa hakurupuki.. andastudi?
Ni jembe.. smati balaa..
Moto unawaka..Kampuni ya utafiti wa dhahabu ya Indiana Resources iliyopo Australia imeanzisha madai ya kutaka fidia ya dola za kimarekani million 95 (takribani TZS Bilioni 220) dhidi ya Serikali ya Tanzania juu ya unyakuaji haramu wa mradi wa madini ya Nikeli (Ntaka Hill Nickel project) uliopo kusini mashariki mwa Tanzania...
Anasema ata watishia kwa macho ya bundiKwani kabudi ameshasemaje?
Ukiwa tajiri hukosi vikesi vya kudaiwa fidia maana hata wazungu wanajua sisi ni donor country basi tu mambo madogomadogo yanatukwamisha.
Watakuja kuondolewa kinga ya kutoshitakiwa kama kule Malawi na South Africa alivyo Jacob Zuma kutwa anashinda mahakamaniHuu 'mzigo wa misumari' wa kuubeba Ni Magufuli na genge lake.