Kampuni ya Indiana yafungua kesi ya madai ya takribani Sh. Bilioni 220 dhidi ya Tanzania

Very sad, tumepata mtawala mkurupukaji, ambaye hafanyi analysis ya kile ambacho kitatokea kwa maamuzi anayoyafanua

Mbona!!! Umeambiwa na nani hayo?? Wizi wao wa miaka mingi na ujanja janja.. awamu hii na ijayo.. wataomba po tu

Magufuli huwa hakurupuki.. andastudi?
Ni jembe.. smati balaa..
 
Hizi ndio zile kampuni type ya symbion power.
Wamiliki wanaweza kuwa mafiisadi wa kitanzania waishio Tanzania halafu ofisi yao iko london kwenye flat ya kupanga. TIC wajitokeze na full document za huyu mwekezaji mwizi.
Hivi ni virusi vichache vilivyobaki vilivyokuwa vikiishambulia afya ya Tanzania.
Hadi majina wanajulikana wawili wana rangi nyeupe Ila waswahili wenzetu
 
Wameona bombadia zetu hawa...halafu si ile Drimulaini yetu ilianza safari India inabidi tusitishe kwa muda.

Utawala wa sheria ndio kitu Cha mhimu la sivyo tutashitakiwa Sana tu.
Ndicho anachotaka Beberu mweusi
 
Wameona bombadia zetu hawa...halafu si ile Drimulaini yetu ilianza safari India inabidi tusitishe kwa muda.

Utawala wa sheria ndio kitu Cha mhimu la sivyo tutashitakiwa Sana tu.
Kama tumeokoa zaidi ya hiyo bilioni 200 kwa kuvunja hilo li mkataba lao sioni shida hata tulilipa fidia.
 
MAGUFULI njoo huku mabeberu wanakuita
Sio mabeberu ni watanzania wenzetu na engineer alyefungua hiyo kesi ni Lisu kwa niaba ya mafisadi watanzania wenye hiyo kampuni ndie kaifungua kupitia proxy Wake wanasheria wa nje

Lisu ni hatari sana kwa nchi hana uzalendo na ni part ya genge la wezi mafisadi
 
Mbona!!! Umeambiwa na nani hayo?? Wizi wao wa miaka mingi na ujanja janja.. awamu hii na ijayo.. wataomba po tu

Magufuli huwa hakurupuki.. andastudi?
Ni jembe.. smati balaa..
Wewe ni mjinga kwelikweli toka lini wazungu waliomba pooo Kwa waafrica?
 
Sio mabeberu ni watanzania wenzetu na engineer alyefungua hiyo kesi ni Lisu kwa niaba ya mafisadi watanzania wenye hiyo kampuni ndie kaifungua kupitia proxy Wake wanasheria wa nje

Lisu ni hatari sana kwa nchi

Ule mkaa wa mawe aliojiuzia Mkapa , ulipata share ya kurithi ??
 
Very sad, tumepata mtawala mkurupukaji, ambaye hafanyi analysis ya kile ambacho kitatokea kwa maamuzi anayoyafanua
Nyie ndio wapumbavu! Hamjui tumeokoa kiasi gani kwa kuvunja huo mkataba!
Bilion 200 ni kitu gani?
 
Kampuni ya utafiti wa dhahabu ya Indiana Resources iliyopo Australia imeanzisha madai ya kutaka fidia ya dola za kimarekani million 95 (takribani TZS Bilioni 220) dhidi ya Serikali ya Tanzania juu ya unyakuaji haramu wa mradi wa madini ya Nikeli (Ntaka Hill Nickel project) uliopo kusini mashariki mwa Tanzania...
KILA NJAMA KUELEKEA UCHAGUZI ZITAJITOKEZA ILA MWISHO RAIS NI MAGUFULI TU
 
Sio mabeberu ni watanzania wenzetu na engineer alyefungua hiyo kesi ni Lisu kwa niaba ya mafisadi watanzania wenye hiyo kampuni ndie kaifungua kupitia proxy Wake wanasheria wa nje

Lisu ni hatari sana kwa nchi hana uzalendo na ni part ya genge la wezi mafisadi
Thibitisha, attach your evidence here, sio unaongozwa na chuki
 
Kampuni ya utafiti wa dhahabu ya Indiana Resources iliyopo Australia imeanzisha madai ya kutaka fidia ya dola za kimarekani million 95 (takribani TZS Bilioni 220) dhidi ya Serikali ya Tanzania juu ya unyakuaji haramu wa mradi wa madini ya Nikeli (Ntaka Hill Nickel project) uliopo kusini mashariki mwa Tanzania...
Polepole ataliyolea ufafanuzi hili. Mbona jambo rahisi sana
 
Back
Top Bottom