cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 26,757
- 73,414
Very sad, tumepata mtawala mkurupukaji, ambaye hafanyi analysis ya kile ambacho kitatokea kwa maamuzi anayoyafanua
Mbona!!! Umeambiwa na nani hayo?? Wizi wao wa miaka mingi na ujanja janja.. awamu hii na ijayo.. wataomba po tu
Magufuli huwa hakurupuki.. andastudi?
Ni jembe.. smati balaa..