Serikali yawasilisha pingamizi la kulipa fidia ya Tsh. Bilioni 267 kwa kuvunja Mkataba wa Uchimbaji Madini

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,118
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Eliezer Feleshi, amesema tayari Serikali imewasilisha maombi yenye sababu 15 za kubatilishwa kwa hukumu hiyo pamoja na kusitishwa kwa utekelezaji wake.

Pia, imeelezwa kuwa maombi ya kusitisha utekelezaji wa hukumu ya ICSID yanalenga kulinda Ndege za Serikali zilizopo hatarini kukamatwa kutokana na uamuzi wa kesi hiyo.

Julai 14, 2023, Kituo cha Kimataifa cha Usuluhishi wa Migogoro ya Uwekezaji (ICSID), kiliiamuru Tanzania kuilipa kampuni ya Indiana Resources na wadai wengine fidia ya kukiuka Mikataba ya Uchimbaji Madini.

========
 
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Eliezer Feleshi, amesema tayari Serikali imewasilisha maombi yenye sababu 15 za kubatilishwa kwa hukumu hiyo pamoja na kusitishwa kwa utekelezaji wake.

Pia, imeelezwa kuwa maombi ya kusitisha utekelezaji wa hukumu ya ICSID yanalenga kulinda Ndege za Serikali zilizopo hatarini kukamatwa kutokana na uamuzi wa kesi hiyo.

Julai 14, 2023, Kituo cha Kimataifa cha Usuluhishi wa Migogoro ya Uwekezaji (ICSID), kiliiamuru Tanzania kuilipa kampuni ya Indiana Resources na wadai wengine fidia ya kukiuka Mikataba ya Uchimbaji Madini.

========
Ahaa
 
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Eliezer Feleshi, amesema tayari Serikali imewasilisha maombi yenye sababu 15 za kubatilishwa kwa hukumu hiyo pamoja na kusitishwa kwa utekelezaji wake.

Pia, imeelezwa kuwa maombi ya kusitisha utekelezaji wa hukumu ya ICSID yanalenga kulinda Ndege za Serikali zilizopo hatarini kukamatwa kutokana na uamuzi wa kesi hiyo.

Julai 14, 2023, Kituo cha Kimataifa cha Usuluhishi wa Migogoro ya Uwekezaji (ICSID), kiliiamuru Tanzania kuilipa kampuni ya Indiana Resources na wadai wengine fidia ya kukiuka Mikataba ya Uchimbaji Madini.

========
,😅😅😅😅Wacha nicheke tu.

Muomnbeni Msamaha Tundu Lissu
 
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Eliezer Feleshi, amesema tayari Serikali imewasilisha maombi yenye sababu 15 za kubatilishwa kwa hukumu hiyo pamoja na kusitishwa kwa utekelezaji wake.

Pia, imeelezwa kuwa maombi ya kusitisha utekelezaji wa hukumu ya ICSID yanalenga kulinda Ndege za Serikali zilizopo hatarini kukamatwa kutokana na uamuzi wa kesi hiyo.

Julai 14, 2023, Kituo cha Kimataifa cha Usuluhishi wa Migogoro ya Uwekezaji (ICSID), kiliiamuru Tanzania kuilipa kampuni ya Indiana Resources na wadai wengine fidia ya kukiuka Mikataba ya Uchimbaji Madini.

========
Dawa ya kula hela ya mwanaume rijali ni kutoa shoo tu
 
Wajaribu tuone itakavyokuwa, kama wakibahatika kiasi kikapunguzwa afadhali, kisipopungua kikabaki hicho hicho wacha tudaiwe ilimradi kulinda heshima yetu, wazungu na waarabu wamezoea sana kuchezea akili za viongozi wetu wajinga, wacha yule mmoja awaachie somo.
 
...maombi ya kusitisha utekelezaji wa hukumu ya ICSID yanalenga kulinda Ndege za Serikali zilizopo hatarini kukamatwa kutokana na uamuzi wa kesi hiyo.
Duh!
Nchi itafilisika hii.
Kuna madai mengine kwa Tz yanajengwa huko kutokana na Zenji kuvunja mkataba pia!
 
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Eliezer Feleshi, amesema tayari Serikali imewasilisha maombi yenye sababu 15 za kubatilishwa kwa hukumu hiyo pamoja na kusitishwa kwa utekelezaji wake.

Pia, imeelezwa kuwa maombi ya kusitisha utekelezaji wa hukumu ya ICSID yanalenga kulinda Ndege za Serikali zilizopo hatarini kukamatwa kutokana na uamuzi wa kesi hiyo.

Julai 14, 2023, Kituo cha Kimataifa cha Usuluhishi wa Migogoro ya Uwekezaji (ICSID), kiliiamuru Tanzania kuilipa kampuni ya Indiana Resources na wadai wengine fidia ya kukiuka Mikataba ya Uchimbaji Madini.

========

Ndiyo madhara ya kukurupuka kwenye maamuzi ,feleshi mjifunze kuingia mikataba yenye maslahi ya taifa na si maslahi binafsi ndiyo maana akija rais mpya lazima avunje mikataba ya nyuma coz ni ya kibinafsi isiyojali maslahi ya taifa....Msifanye makosa tena kwenye DPW.

Hizo 267B lazima mziteme hakuna namna milivunja mkataba kibabe na mlishauriwa na Lissu lazima mtashitakiwa ,ndege zenu lazima zipigwe pIni.
 
Ndiyo madhara ya kukurupuka kwenye maamuzi ,feleshi mjifunze kuingia mikataba yenye maslahi ya taifa na si maslahi binafsi ndiyo maana akija rais mpya lazima avunje mikataba ya nyuma coz ni ya kibinafsi isiyojali maslahi ya taifa....Msifanye makosa tena kwenye DPW.

Hizo 267B lazima mziteme hakuna namna milivunja mkataba kibabe na mlishauriwa na Lissu lazima mtashitakiwa ,ndege zenu lazima zipigwe pIni.
Siku hizi hutasikia neno
"Mzee wa MIGA" wala kejeli zile za Accassia na makinikia baada ya kujua Lissu aliwaambia ukweli kuhusu ripoti rubbish ya professor Osoro na trilion 400 za Kabudi.
Sema shida ya wananchi wa Tanzania wana macho lakini hawaoni hata wakionyeshwa, wana masikio hawasikii hata wakiambiwa na ubongo wanao lakini haushughulishwi kwa mambo ya msingi ila ya kipuuzi tuu
 
Siku hizi hutasikia neno
"Mzee wa MIGA" wala kejeli zile za Accassia na makinikia baada ya kujua Lissu aliwaambia ukweli kuhusu ripoti rubbish ya professor Osoro na trilion 400 za Kabudi.
Sema shida ya wananchi wa Tanzania wana macho lakini hawaoni hata wakionyeshwa, wana masikio hawasikii hata wakiambiwa na ubongo wanao lakini haushughulishwi kwa mambo ya msingi ila ya kipuuzi tuu
takataka ya kwanza ilikuwa ya mruma ndo zikafuata hizo takaka za akina osoro na prof majalala.
 
Back
Top Bottom