Kampuni ya Airtel kujiondoa Tanzania

Kampuni ya Airtel kujiondoa Tanzania

Status
Not open for further replies.
hata kwenye hili pia kuna wanasiasa uchwara wanamlaum raisi...
kama vile aitel wamekuwa ndo mara ya kwanza kubadili jina.

yani huwa nasikitika kuna mimbuzi kila ikilala ikiamka inaiombea mabaya nchi yetu ili yapate cha kusema.
 
Wee huo ni mchezo wa kibiashara, ili kuuza kampuni waseme inapata hasara, soon watabadili jina, ila wateja wao watabaki wale wale, jua kuna ukwepaji mkubwa wa kodi kwa kutangaza kampuni inafilisika, ili wauze kwa bei cheeee wakifcha mauzo halisi, kisha wanaendelea na business, hili Airtel wanafanya sana, ndio mchezo wao kila baada ya miaka kama 7 hv wanabadili jina tu..
Kwa awamu hii hiyo itawezekana?
 
ni
Wanakwepa kodi. .watabadilisha jina tu lakini watu ni wale wale...hii tabia inakera sana....MOLA aingilie kati. ..
ni kwa jinsi gani kampuni ikibdili jina inapelekea kukwepa kodi?? naomba kufahamu tafadhali
 
Kama la UDA bado imeporwa hivi hivi, na hisa za jiji 51% Kisena kazichukua kwa wizi, hakuna linaloshindikana..!! Imani yangu inapungua kabisa
Hayo ni makubaliano ya kibiashara baina ya Jiji na Kisena hakuna longolongo hapo.
 
Hizo ni fix zao za kukwepa kodi ambazo zimezoeleka kupitia mtandao huo, airtel wamekubuhu kukwepa kodi kwa mtindo wa kubadirisha jina....
VodaCom yatosha wengine janja janja tu
 
wakiondoka ghafla bila kuzingatia haki za wateja wao washikiliwe watoe fidia kwa wateja wao
 
Isitoshe hawana mashiko sana kwa watumiaji, na hapa itakuwa wanataka kuvunja mkataba wao na kampuni hiyo. Thou tutegemee ujio mpya wa wawekezaji wengine. Kila la kheri Airtel.
 
Hayo ni makubaliano ya kibiashara baina ya Jiji na Kisena hakuna longolongo hapo.

Kumbe ww layman..!! Humu wengi bado giza sana
Hakuna makubaliano ya kuuza shirika la UMMA na mtu binafsi bila kufuata taratibu za umma.. na hakukuwa na haja za jiji kuuza hizo 51% shares.. ni ufisadi.. unaelewa..?

1: CHC haijui uuzwaji wa UDA

2: PPRA laws zimekiukwa hazikufuatwa ktk uuzwaji wa UDA..

3: UDA imeuzwa kihuni na kujipangia tu 5.8 bil sawa na hisa 51% za JIJI.. nani kasema hizo 51% ni sawa na 5.8 bil.. kwa mali zote za UDA..? HUU NI WIZI..!!

4: HAKUNA sbb za kuuza UDA hisa za jiji kwa Kisena, hakuna sbb.. ndio maana wananchi + UKAWA wanalilia 51% yote irudishwe JIJI haraka, sbb ni ufisadi mkubwa na Kisena apewe hela zake 5.8 bil, ziko ktk account tu..!!

Ww it seems hujui kitu kuhusu mali ya UMMA.. umelala kichwa kibuyu..

UDA 51% zirudi jiji, hiki ndio kilio cha wananchi
 
"Wawekezaji" wengi ndivyo walivyo Mkuu. Wameshazijua loopholes chungu nzima za kukwepa kodi shamba la bibi hivyo wanazitumia kisawasawa.

Celtel - Zain - Airtel - what next _______?? Farutel or ..?

Wee huo ni mchezo wa kibiashara, ili kuuza kampuni waseme inapata hasara, soon watabadili jina, ila wateja wao watabaki wale wale, jua kuna ukwepaji mkubwa wa kodi kwa kutangaza kampuni inafilisika, ili wauze kwa bei cheeee wakifcha mauzo halisi, kisha wanaendelea na business, hili Airtel wanafanya sana, ndio mchezo wao kila baada ya miaka kama 7 hv wanabadili jina tu..
 
Halafu ni juzi tu nilipata ndoto nikawa naota hivi hawa Airtel mbona safari hii wamekua kimya sana hawajabadili jina kwa muda mrefu sana kumbe ndio walikua kwenye mchakato?? Hamna tofauti sana na wale jamaa wa mgodi wa dhahabu! Wezi tu!
 
Anayeweza kujiondoa ni mmiliki kwa kuuza hisa zake kwa mtu mwingine na si mitambo
Asante mkuu kwa post hii nilihofia namba yangu maana mwaka wa kumi na nne huu na huwa sipendi kubadilisha line maana unawapoteza watu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom